Ndege ya Emirates yaweka record kukaa hewani masaa 17

Ndege ya Emirates yaweka record kukaa hewani masaa 17

Dubai to Houston tu ilikuwa ni utata. Flight ndefu zinachosha sana
 
Lisaa limoja tu la Fastjet Mwanza - Dar nachokaga sembuse hayo 17?
 
Boeing sasa hivi wameachwa nyuma sana Kitekonolojia na AirBus, wana kazi kubwa sana ya kuwafikia AirBus leo hii, kwa maana AirBus wanauza kama hawana akili nzuri wanavunja rekodi kila siku kila mahali bado kuna ya mizigo Airbus beluga ni noma!

Airbus Beluga - Wikipedia, the free encyclopedia
Si kweli kwamba wamwachwa nyuma
Usinikumbushe........mimi nilitoka North Pole mpaka Antactica.........tulitua kujaza mafuta Darfur.........ile safari sitakaa nisahau.........

Hahahahaha
 
Lisaa limoja tu la Fastjet Mwanza - Dar nachokaga sembuse hayo 17?
Basi nimeamini phastjet kama bus yaahi kwenye ndege lisaa limoja wachoka yawezakana wamebana siti zikawa siti nyingi hili wabebe abiria wengi na haukuwa comfortable hasa miguu kuto kunyooka na ukupata huduma ya kuulizwa kila saa what do you want.Hela yako inakupa kitu cha thamani ukilipa kidogo usitegemee kupata huduma nzuri ukilipa nyingi tegemea huduma nzuri,try precission au mashirika mengine.Safari ya one hour uwezi ifurahia coz ni fupi mno mkipaa tu baada ya nusu saa mwanza shuuka.
 
Dubai to Houston tu ilikuwa ni utata. Flight ndefu zinachosha sana
Ukiwa economy class lazima uchoke lakini ukiwa business class habari nyingine safari inakuwa nzuri na murua sana hata treatment yake tofauti kabisa na economy class,ukiwa daraja la kwanza utajihisi we mfalme katika safari yako kutokana na huduma utakazo pata.
 
Mazingira haya huwezi kuchoka nani ya A380 800.

On board Emirates Airbus A380 in flight


Source: Albaonthego youtube

Ukiwa daraja la kwanza na daraja la pili ndio unaweza faidi hizi uduma na kuna baadi ya mashirika ya ndege kwenye economy class kuna siti ni confortable sana na hili uipate lazima uongeze pesa kidogo jaribu kufanya check in online utaletewa siti ambayo ukitaka ukae lazima uongeze pesa kidogo hata kama umeshakata ticket bila hivyo unachaguliwa siti tena zile ambazo sio nzuri na wewe uwezi jua hila wazungu kwa kuwa huo ndio usafiri wao wa kawaida wanajua siti nzuri ni ipi na upande upi.
 
Ila ni kwamba ...????
Unafanya production kuenda na business plan yako na evaluation modal bila kusahau market target, for me and i think Boeing think the same that it's very expensive to develop a new jumbo plane where by market for a such plane can be challenges,but its better to develop smaller efficient aircraft for short distance flights than developing huge plane.I think Boeing considered also the fact of time and technical difficulty in making a huge plane after Boeing 747.Also the current market trend is for B777's or Airbus A 330's this type can be used interchangeable in short and long haul depends on passenger traffic,all in all this is how market dynamics work.
 
Wa africa sio wasafiri, safari zenyewe zakwenda nikowani wanaziona ndefu,
 
Fanyeni mazoezi wakuu safari ya masaa kumi ni kawaida tuu kwa mtu alie fiti...na ukizingatia tumeanza kuzipanda ukubwani izo..
 
duuuh, masaa 17! heri yao! mimI Abu Dhabi to Dsm, 5 hours tu najionea tabu!
 
Back
Top Bottom