Hii nayo ni the unsinkable ?!View attachment 327861 View attachment 327862 View attachment 327863
Ndege ya shirika la Emirates imekamilsha safari ya moja kwa moja ndefu zaidi duniani kutoka Dubai hadi New Zealand.
Ndege hiyo aina ya Airbus 380, ambayo ndiyo kubwa zaidi ya abiria duniani imesafiri angani kwa kilomita 14,200 bila kusimama, safari iliyochukua masaa 17 na dakika 15.
Bila shaka umesoma Pommerini ha ha haaaa nlisoma huko kidogo pakanishinda hiyo makitu nimepanda sana![]()
Iringa Mjini to Mwatasi
Mkuu kama mimi nimeelewa hiyo 'record" ni ya Emirates kama shirika,kwamba ndege zai hazikuwahi kusafiri umbali mrefu kiasi hicho....Hata ukingalia habari inasema record hii ni kwa ndege ya EmiratesKwa taarifa yako na wengine wasiojua. Hii sio safari ndefu ya ndege ya abiria kama unavyodai. Ilikuwepo safari ya masaa 18:30 kutoka Newark Liberty Intenational Airport -USA hadi Singapore Changi Airport ikifanywa na Singapore airlines. Ndege ilikuwa airbus A340-500 na safari ina umbali wa km 15,343. Ilikuwa ina julikana kama Singapore Airlines flight 21. Hiyo safari kwa sasa imesitishwa.
Ni kweli. Lakini mwanzisha thread yeye ameandika ''Ndege ya shirika la Emirates imekamilsha safari ya moja kwa moja ndefu zaidi duniani kutoka Dubai hadi New Zealand''.Mkuu kama mimi nimeelewa hiyo 'record" ni ya Emirates kama shirika,kwamba ndege zai hazikuwahi kusafiri umbali mrefu kiasi hicho....Hata ukingalia habari inasema record hii ni kwa ndege ya Emirates
Mwenzio nilisafiri masaa 72 kwa basi yaani siwezi kusahau kamweSafari ndefu niliyowahi kwenda ilikuwa masaa 11 nonstop yaani sina hamu kabisa.
Napenda kusafiri lakini masaa mengi hivyo utaangalia movie utachoka utasikiliza music utalala utaamka ndio kwanza unavuka bahari duu shidaaaa
Tokea wapi mpaka wapi mkuu, hakukua na lami wakati huo barabara zikiwa mbovu sanaMwenzio nilisafiri masaa 72 kwa basi yaani siwezi kusahau kamwe
ulikuwa mwaka 1989
Daaah!! Wananikumbusha safari yangu ya Amsterdam to ottawa
Hahaaaa Leo nimecheka jf kla. MTU kaenda mbeleUsinikumbushe........mimi nilitoka North Pole mpaka Antactica.........tulitua kujaza mafuta Darfur.........ile safari sitakaa nisahau.........
duuuuuh wanikumbusha safari tokea Oliver Tambo O.T mpaka Rio de Janeiro
Natamani safari ndefu japo 1 tu kwa mwaka si mbaya. Ila mkuu ndiyo hivyo tena amebana hadi hivi sasa sijui nitasafiri lini tena!
Inaonekana ulikaa class zetu wale wa tmk........Siwezi safiri umbali huo kea ndege ni mateso makubwa. Niliwahi kusafiri masaa 14 toka Amsterdam to Lima Peru nilijuta uchovu.
Halafu ukimuona mbogo ana safari kupitia hiyo route ujue ni punda.simainishi wewe lakiniduuuuuh wanikumbusha safari tokea Oliver Tambo O.T mpaka Rio de Janeiro