Jaribu kutumia lugha ya kupendeza usije ukaharibu uzi wako wewe mwenyewe,sijakupinga kama ulivyoelewa,soma tena comment yangu.View attachment 327918
Mkuu CleverKING rudia tena kupata habari...au lugha kidogo ipo kushoto?Ndege iliyozundua safari ni A380 lakini itakayokuwa inafanya safari za huko baada ya uzinduzi itakuwa B777-200
RIOOOOO natamani sana kwenda Copacabana beach lakini itabidi nipumzike miji miwili kupunguza machovuduuuuuh wanikumbusha safari tokea Oliver Tambo O.T mpaka Rio de Janeiro
Mkuu hiyo ndege sidhani kuwa ni Airbus 380,nijuavyo mimi ilikua ni Boeing 777-200 LR flight number EK 449 na ilifanya hiyo safari tarehe 2-3-2016 imesafiri kilometer 14,203 non stop.
Sifa ya record inakwenda Emirates wakitumia ndege aina ya Airbus A380.Kwa hiyo hapo sifa ya rekodi inakwenda kwa Emirates au A380?
Sio woga tu,inachosha pia.black sniper woga wa nini mkuu?
Mkuu safari ya bus masaa 14 haifanani na ya ndege 14 hrs nonstopSafari ndefu niliyowahi safiri ni masaa 14 Songea to Dar km 1000 New force basi
Mimi masaa 6 ni maximum kukaa angani zaidi ya hapo siweziView attachment 327861 View attachment 327862 View attachment 327863
Ndege ya shirika la Emirates imekamilsha safari ya moja kwa moja ndefu zaidi duniani kutoka Dubai hadi New Zealand.
Ndege hiyo aina ya Airbus 380, ambayo ndiyo kubwa zaidi ya abiria duniani imesafiri angani kwa kilomita 14,200 bila kusimama, safari iliyochukua masaa 17 na dakika 15.
View attachment 327861 View attachment 327862 View attachment 327863
Ndege ya shirika la Emirates imekamilsha safari ya moja kwa moja ndefu zaidi duniani kutoka Dubai hadi New Zealand.
Ndege hiyo aina ya Airbus 380, ambayo ndiyo kubwa zaidi ya abiria duniani imesafiri angani kwa kilomita 14,200 bila kusimama, safari iliyochukua masaa 17 na dakika 15.