Sikonge
JF-Expert Member
- Jan 19, 2008
- 11,550
- 6,062
Hizi ndege zilishapigwa marufuku zisiruke. Wakatumia mabavu zikaanza kuruka.
Wamelifankamia shirika hadi limekufa, very good.
Afadhali ingelishukia tumbo ha hawa Vingunge wawili watatu wapate michubuko ya nguvu (free depilations) na kuvunjika kwa hapa na pale. Hapo ndiyo ingelikuwa kweli fair play Mungu anatuchezesha.
Wamelifankamia shirika hadi limekufa, very good.
Afadhali ingelishukia tumbo ha hawa Vingunge wawili watatu wapate michubuko ya nguvu (free depilations) na kuvunjika kwa hapa na pale. Hapo ndiyo ingelikuwa kweli fair play Mungu anatuchezesha.