Ndege nne kwa mpigo zilizoahidiwa na Serikali ikiwemo Boeing 787-8 Dream Liner zitaingia nchini Julai, mwaka huu

Mmh hata Boeing inatengenezwa Canada siku hizi?!
 
Hizo ndege Zingefaa kipindi kile cha JK, kwa sasa hata kula yetu tu ni shida ndege wamebaki kupanda wafanyakazi wa asasi za kiraia na mashirika makubwa.. wananchi wa kawaida wanaoweza kujikamua wamebaki wachache mno. Nilipanda fast jet week mbili zilizopita tulikua nusu..ndege ya watu 96 tulikua kama 45 hivi

Ulitaka ijae kama daladala? JK angenunuaje ndege wakati pesa za kununua ndege ndege mlikuwa mnazimbilinyi kwa ulevi kwenye mabaa.
 
Afazal..

Wanunue na madawa ya kutosha hizo Ndege zibebe
 
Dr Hassan Abbas anafaa sana kuwa mwanssiasa kuliko a technocrat. Tumtakie heri katika 'safari yake ya siasa'.
 
Sijapenda taarifa ilivyotolewa nchi inakuwa ya mipasho mipasho kwann?

Kuna chuki iliyojificha nn baba yaani serikali ipambane na changamoto kwa vitendo sio majibu ya mipasho mipasho.

Eti licha ya fitina, serikali imefitiniwa nn?
 
Mkuu mbona unataka kujioa ufahamu,na ushamba uliopitiliza?
Kwani hujui hata haya mabehewa ya treni ya abiria yana natabaka?
Hayo matabaka yalikuwapo na yataendelea kuwapo.
Wewe ndiye huelewi!!

Hayo madaraja ni affordability yako .......... First , business or economy class. Hiyo ni standard dunia nzima. But not dedicating certain wagons to specific people!!

Kinachofanyika hapa ina maana behewa zima litakuwa dedicated to certain individuals ...... kama hawapo, haliendi. Ni sawa na kusema first class ya TT itakuwa ni kwa ajili ya watu fulani tu!! Hiyo itakuwa ni hasara kwa shirika na serikali ...!!
 
Serikal ina mipango mizur San Apo mbelen tuiunge mkono hayo mambo yafanikiwe
 
Tunahitaji Uhuru,demokrasia na haki kabla ya ndege na vingine vingine!! Huwezi kutunyima stahiki zetu za mishahara ukaenda kununua ndege alafu ukataka tukusifu. In ujinga mkubwa
 
Maneno maneno kila siku kwa ndege nne tu! kampuni moja hapa US American Airline ina ndege 96 sisi tunaongea kila siku ndege nne zinakuja ......tuongeeni mambo ya maana wakati mwingine
 
Back
Top Bottom