mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Itamsaidia kukumbuka saa ikitipa atajua saa sitaItamsaidia kuuangalia juu asikiapo lile ngurumo... ukute ataacha hadi jembe lake na kushangilia ndege ndege
Itamsaidia kukumbuka saa ikitipa atajua saa sitaItamsaidia kuuangalia juu asikiapo lile ngurumo... ukute ataacha hadi jembe lake na kushangilia ndege ndege
NDEGE nne kwa mpigo zilizoahidiwa na Serikali ikiwemo Boeing 787-8 Dream Liner zitaingia nchini Julai, mwaka huu.
Akizungumza na vyombo vya habari katika utaratibu wake wa kila mwezi, Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Dk Hassan Abbasi alisema ndege hizo zinatengenezwa nchini Canada na zitakuwa tayari zimetua nchini miezi minne kutoka sasa.
Alisema wakati ndege hizo, zikiandaliwa kuja nchini, serikali imekuwa ikifanya ukarabati, upanuzi, urekebishaji na ujenzi wa viwanja zaidi ya 10 katika maeneo mbalimbali nchini ili miundombinu yake kutumika na ndege hizo. Dk Abbasi alitaja baadhi ya viwanja, vinavyofanyiwa ukarabati, kurekebishwa na kupanuliwa kuwa ni Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe mkoani Mbeya, ambako linajengwa jengo la abiria ambalo halikuwepo siku nyingi.
“Jengo kama hilo linajengwa katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam maarufu kama Terminal III kwa ajili ya kuboresha huduma za abiria. Kwa upande wa uwanja wa ndege mjini Dodoma, Dk Abbasi alisema tayari ukarabati umefanyika, lakini pia kuna shughuli inafanyika katika uwanja mpya unaojengwa katika eneo la Msalato. “Viwanja vingine vinavyofanyiwa ukarabati, kupanuliwa na kujengwa majengo ya abiria ni Tabora, Mwanza, Geita, Musoma, Njombe, Lindi na vingine vingi.
Wakati huo huo, Dk Abbasi alisema serikali inaleta mabehewa 1,590 na vichwa vya treni 25 kwa ajili ya Reli ya Kisasa, inayojengwa kati ya Dar es Salaam na Morogoro na kati ya Morogoro na Dodoma. Alisema reli itakapokamilika katika kipindi cha miezi 36, mabehewa na vichwa vya treni, vinatakiwa kuwepo ili kuanza kazi ya kusafirisha abiria na mzigo mara moja. Alisema tayari zabuni ya kutengeneza mabehewa na vichwa hivyo imeshatangazwa, ambapo kampuni zaidi ya 54 zilijitokeza kuwania fursa ya utengenezaji huo.
Alisema kati ya hizo, kampuni 35 zimerudisha barua za zabuni na hizo uchambuzi wake wa kubaki na kampuni ya kutengeneza mabehewa hayo itakapopatikana. Alisema kampuni itakayoshinda zabuni, inatakiwa kutengeneza kwa miezi 24 na miongoni mwa mabehewa hayo 50 ni ya ngazi mbili, 100 ni ya mafuta, mengine ya watu mashuhuri na mengine ya kawaida. Vile vile, alisema serikali inatekeleza miradi mikubwa ya ujenzi wa meli za kisasa katika Maziwa Makuu nchini ya Victoria, Tanganyika na Nyasa. Alisema kuhusu Ziwa Victoria, serikali inatengeneza meli kupitia Kampuni ya TSX ya Korea Kusini ambayo mkataba wa kutengeneza meli hiyo ulisainiwa mwezi Machi, mwaka huu.
Chanzo: Habari leo
...kiki si ndo dili siku hizi mkuu?Boeing 787 Dreamliner https://g.co/kgs/n4uakp
Ndio maajabu haya! Hata msemaji wa serikali hajui Dreamliner zinatengenezwa wapi? Basi hiyo habari yake ni kiki ya kisiasa tuu.
Kwani Mkwere hela aliitoa mfukoni mwake au ilikuwa ya serikali!Hiyo terminal 3 hapo Julius Nyerere serikali hii ndio imejenga au Mkwere ?
Sio lazima tupande woteWatapanda wenyewe sisi walalahoi tutakuwa tunaziangalia tu
Mkwere ni wa selikali kutoka nchi ganiHiyo terminal 3 hapo Julius Nyerere serikali hii ndio imejenga au Mkwere ?
Sasa kwanini msi mu acknowledge mkwere mnajisifia nyie mtafikiria ndio mlioanza ? Shida yangu haipo kwenye pesa za nani zimetumikaKwani Mkwere hela aliitoa mfukoni mwake au ilikuwa ya serikali!
Heading yako na hii kitu vinapingana.....subiri zifike ndio uandike heading kama hio, kiherehere cha niniDEGE nne kwa mpigo zilizoahidiwa na Serikali ikiwemo Boeing 787-8 Dream Liner zitaingia nchini Julai, mwaka huu
Yaani ndege kuingia july ni habari ya march? Na july zikiingia ni kutoa taarifa tena?
Lengo la taarifa hii ni nini?
Kawa programmed, ni robot tu.Boeing 787 Dreamliner https://g.co/kgs/n4uakp
Ndio maajabu haya! Hata msemaji wa serikali hajui Dreamliner zinatengenezwa wapi? Basi hiyo habari yake ni kiki ya kisiasa tuu.
How?Jamani hizi habari mgesubiri kamanda apone kule ubelgihji.
Hivi hamumjui mnamuongezea maumivu?
Sasa kama maigizo yamekauka, wafanyeje?Yaani ndege kuingia july ni habari ya march? Na july zikiingia ni kutoa taarifa tena?
Lengo la taarifa hii ni nini?
NDEGE nne kwa mpigo zilizoahidiwa na Serikali ikiwemo Boeing 787-8 Dream Liner zitaingia nchini Julai, mwaka huu.
Akizungumza na vyombo vya habari katika utaratibu wake wa kila mwezi, Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Dk Hassan Abbasi alisema ndege hizo zinatengenezwa nchini Canada na zitakuwa tayari zimetua nchini miezi minne kutoka sasa.
Alisema wakati ndege hizo, zikiandaliwa kuja nchini, serikali imekuwa ikifanya ukarabati, upanuzi, urekebishaji na ujenzi wa viwanja zaidi ya 10 katika maeneo mbalimbali nchini ili miundombinu yake kutumika na ndege hizo. Dk Abbasi alitaja baadhi ya viwanja, vinavyofanyiwa ukarabati, kurekebishwa na kupanuliwa kuwa ni Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Songwe mkoani Mbeya, ambako linajengwa jengo la abiria ambalo halikuwepo siku nyingi.
“Jengo kama hilo linajengwa katika Uwanja wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA) jijini Dar es Salaam maarufu kama Terminal III kwa ajili ya kuboresha huduma za abiria. Kwa upande wa uwanja wa ndege mjini Dodoma, Dk Abbasi alisema tayari ukarabati umefanyika, lakini pia kuna shughuli inafanyika katika uwanja mpya unaojengwa katika eneo la Msalato. “Viwanja vingine vinavyofanyiwa ukarabati, kupanuliwa na kujengwa majengo ya abiria ni Tabora, Mwanza, Geita, Musoma, Njombe, Lindi na vingine vingi.
Wakati huo huo, Dk Abbasi alisema serikali inaleta mabehewa 1,590 na vichwa vya treni 25 kwa ajili ya Reli ya Kisasa, inayojengwa kati ya Dar es Salaam na Morogoro na kati ya Morogoro na Dodoma. Alisema reli itakapokamilika katika kipindi cha miezi 36, mabehewa na vichwa vya treni, vinatakiwa kuwepo ili kuanza kazi ya kusafirisha abiria na mzigo mara moja. Alisema tayari zabuni ya kutengeneza mabehewa na vichwa hivyo imeshatangazwa, ambapo kampuni zaidi ya 54 zilijitokeza kuwania fursa ya utengenezaji huo.
Alisema kati ya hizo, kampuni 35 zimerudisha barua za zabuni na hizo uchambuzi wake wa kubaki na kampuni ya kutengeneza mabehewa hayo itakapopatikana. Alisema kampuni itakayoshinda zabuni, inatakiwa kutengeneza kwa miezi 24 na miongoni mwa mabehewa hayo 50 ni ya ngazi mbili, 100 ni ya mafuta, mengine ya watu mashuhuri na mengine ya kawaida. Vile vile, alisema serikali inatekeleza miradi mikubwa ya ujenzi wa meli za kisasa katika Maziwa Makuu nchini ya Victoria, Tanganyika na Nyasa. Alisema kuhusu Ziwa Victoria, serikali inatengeneza meli kupitia Kampuni ya TSX ya Korea Kusini ambayo mkataba wa kutengeneza meli hiyo ulisainiwa mwezi Machi, mwaka huu.
Chanzo: Habari leo
Usisahau na kuzilipia pia.Watapanda wenyewe sisi walalahoi tutakuwa tunaziangalia tu
Unaelewa maana ya serikali hii na serikali iliyopita ? Jiongeze basi ChiefMkwere ni wa selikali kutoka nchi gani