Ndege Mpya ya ATCL katika picha

Naona haya maana tuna viwanja vya maana lakini ndege tuliyonayo ni sholwe.
 
Wantazania bana pangaboi zaidi ya demokrasia ya kweli machozi machozi machozi.
 
Kumbuka kabila ya mfalme kwanza kisha utajua kwa nini kaanza na ndege.Huenda ilikuwa ni ndoto ya tangu utoto kuwa akiwa mkubwa lazima anunue ndege.
 
Hii nchi ina ndege nyingi sana. Sijui umetoa wapi hiyo dhana kuwa walikua na ndege moja.

Walioondoka wameongeza idadi ya ndege nchini. Huyu wa kufanya malaika wawe mashetani kunakila dalili atazipunguza. Naagiza popcorn kabisa
Usisahau kuagiza na karanga maana hii movie inahitaji ukimya.
 
Asante kwa kuelekeza fikra zako upande mmoja.
 
Bila kubadilisha AKILI hii iliyokuja itakufa na hata wakiletewa helicopter nayo itakufa tuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…