Ndege kubwa kuliko zote Duniani

Ndege kubwa kuliko zote Duniani

Mpaka sasa ni beluga 1-5 cargo planes ndio hazina mpinzani
 
Mpaka sasa ni beluga 1-5 cargo planes ndio hazina mpinzani
1454296090112.jpg
1454296097900.jpg
1454296116080.jpg
 
kwanza hii sio ndege hii ni air balloon

Mkuu Geza unacho sema ni sahihi kabisa - actually zijulikana kama Airships ukubwa wote by volume unejazwa gas ya Helium sio kwamba wanajaza abiria humo, nafasi ya kubeba abiria na mizingo ni ndogo sana imeungwa nje ya Airship sehemu ya chini na ndio hapo wanafunga engine mbili za kuwezesha airship ipate thrust ya kuweza kuisukuma mbele kwa kasi kuliko kutegemea msukumo/mwekekeo wa upepo kama ballon za kawaida - kwa kifupi Airship ni a mechanised Ballon hata siku moja haiwezi kuwa na uwezo wa kubeba abiria wengi au kuwa na kasi ya kufikia jet airliners.

Airships zilikuwa zinatumika sana kabla ya WW-2 kusafirisha abaria kutoka Ujerumani kwenda Merikani, mvumbuzi wa Airship alikuwa ni mjerumani Count Zepplin(sijui kama nimepatia spelling) wakati huo walikuwa wanatunia gas ya Hydrogen kujaza kwenye Airship, gas hiyo ni hatari sana ikigusana na cheche au moto,siku moja wakati inajaribu kutua huko Merikani iligusa nguzo ikatoboka na cheche zinakiripua Airship nzima abiria wote wakapoteza maisha yao, accident hiyo ilifanya abiria kukosa imani ya kusafiti na Hydrogen filled Airships, matokeo yake Kampuni ya Zeppelin ikafirisika.
 
Mambo yakienda sawa, hii ndiyo itakuwa ndege kubwa zaidi duniani. Kwa sasa, ndege aina ya Airbus A380-800 ndiyo ndege kubwa zaidi duniani. Ina uwezo wa kubeba aibiria zaidi ya 250!
Hah hah haha

Boeing 747 (Jumbo Jet) ina uwezo wa kubeba abiria kati ya 400 na 600!
 
Boeing 747 (Jumbo Jet) ina uwezo wa kubeba abiria kati ya 400 na 600!
A380 ina uwezo wa mpk 500 depending on sitting configuration know that one with 250 has private cabins plus washrooms to take shower in the first class also a bar!
 
kuna antonov flani hivi,hizi mnaongelea hapa ni wajukuu
 
. Ndege zina namna,zipo zenye abiria wengi mizigo kidogo na zenye mizigo kidogo abiria wengi..
Mizigo kidogo abiria wengi.............abiria kidogo mizigo mingi..........
 
Hili likitua si naweza pasuka ngoma ya masikio kwa sauti yake.........?......
 

Attachments

  • image.jpeg
    image.jpeg
    21.3 KB · Views: 82
Back
Top Bottom