Mkuu wa chuo
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 7,608
- 5,269
hapo umenena,jumamosi hiyo
hapo umenena, nafikiri jumamosi mzuka.
hapo umenena,jumamosi hiyo
It dependz ka we ni wa kishua beta ukale bata malaika, gold crest au kiwanja cha nyegez kinaitwa shafick, w2 co weng uko bt chaukwel balaa, mbuz katorik nawakubal wa kirumba resor au sansiro hotel pale nyakato ka ni wa uswaz subil wenzako waje wakupe raman za makoroboi, vitunguu na mabatin
he he hey Kabakabana uko na option kibao....kwa sasa ni saa nne na dakika arobaini usiku kuna mpira nenda Gold Crest Hotel level 8 then baada ya hapo...kama wataka mziki leo taarabu villa park ....kitu mdudu maeneo ya bwiru waambie kwa bonda watakupeleka ..nini kama wewe ni mdada..saloon nenda kwa florah wataka shooping nenda mitaa ya salma cone..kuna maduka so many viwanja..club kesho na kesho kuta..nenda Rock Bottom down kabisa ya gold crest .samaki wataka fresh wa kwenda nao dar..kutoka ziwani jioni ni PM nina baharia mmoja anaaweza kukuletea samaki 13 mpaka 14 kwenye ndoo kwa 50k
What else wadada powa wapo ila sishauri sana..vila..kuna mhudumu anao wa uhakika sio wezi na unaweza wa tress anytime nayo yahitaji PM..
Wataka samaki wa kuchomwa mishikaki ya samaki?....Aspen ni wazuri kwa hilo vila nao ni wazuri .
he he hey Kabakabana uko na option kibao....kwa sasa ni saa nne na dakika arobaini usiku kuna mpira nenda Gold Crest Hotel level 8 then baada ya hapo...kama wataka mziki leo taarabu villa park ....kitu mdudu maeneo ya bwiru waambie kwa bonda watakupeleka ..nini kama wewe ni mdada..saloon nenda kwa florah wataka shooping nenda mitaa ya salma cone..kuna maduka so many viwanja..club kesho na kesho kuta..nenda Rock Bottom down kabisa ya gold crest .samaki wataka fresh wa kwenda nao dar..kutoka ziwani jioni ni PM nina baharia mmoja anaaweza kukuletea samaki 13 mpaka 14 kwenye ndoo kwa 50k
What else wadada powa wapo ila sishauri sana..vila..kuna mhudumu anao wa uhakika sio wezi na unaweza wa tress anytime nayo yahitaji PM..
Wataka samaki wa kuchomwa mishikaki ya samaki?....Aspen ni wazuri kwa hilo vila nao ni wazuri .
By Junior. Cux
It dependz ka we ni wa kishua beta ukale bata malaika, gold crest au kiwanja cha nyegez kinaitwa shafick, w2 co weng uko bt chaukwel balaa, mbuz katorik nawakubal wa kirumba resor au sansiro hotel pale nyakato ka ni wa uswaz subil wenzako waje wakupe raman za makoroboi, vitunguu na mabatin
hehehe thanx much mkuu
dah umenikosha kweli, hapo aspen pananihusu
Karibu Mwanza....Sitantoka mwanza mpaka kihama...foleni ni kutoka Buzuruga mpaka Lango lango....Kuna Cheap hotel kama Kimbice....safi kabisa, zingine nyingi mtaa wa kwenda airpork ghana hapo..wewe tu faranga yako less than 50k unalala unoni...nini tena tuseme..uliza.
Niko na wewe mpaka saa sita za usiku za mwanza...nikusaidie nini ..... driver tax..out going lady or men..trusted company...tell me hotel uliko...I wil walk you from there....mwanza sitoki.
hadi kembice mkuu ushafanya kazi, emh nambie sh ngap pale rumz coz huwa napita 2 kwnda lavena s.market bt naogpa ata kuulzia bei ya maji..
aiseee,na wewe upo huku?
aiseee,na wewe upo huku?
kweli maisha magumu kwa kila mtanzania
Haswaaa! Nipo nimejaa tele ! Wewe unapatikana wapi ? Tukuchinjie mnyama wa miguu miwili .
umeonah ehh..
hadi kembice mkuu ushafanya kazi, emh nambie sh ngap pale rumz coz huwa napita 2 kwnda lavena s.market bt naogpa ata kuulzia bei ya maji..
niko antonio hotel,ndo nimemaliza kula
Aisee night usisahau kwenda stone mpya iliyoko njia ya feri....pa ukweli mbaya
Utakuwa mitaa kwa muda gani bi shost ?
Nimepeleka samaki zangu wilayani nikirudi nitakucheki..