Laface77
JF-Expert Member
- Jul 9, 2008
- 2,117
- 2,845
Na mtakatifu ni mmoja tu Dr. Pombe, yenye huwa hakosei kabisa, ametukuka mno! Ni suala la muda tu "vyura" wa Lumumba wataanza kumtungia nyimbo za kumsifu na kumuabudu. Si ajabu tukaanza kuaminishwa na vyura wa Lumumba kuwa ukitaka kufika Mbinguni huna budi kukiri Dr. Pombe ndio mtakatifu pekee duniani aliyetumwa kuukomboa ulimwengu na maovu.