MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,259
Ufisadi wa LOWASSA ni wa kusadikika tu! Hakuna mwenye ushahidi wa moja kwa moja!
Mimi naamini LOWASSA ni msafi kuliko theluji!
Mimi naamini LOWASSA ni msafi kuliko theluji!
kwa akili yako ufisadi wa huyo babu utaulinganisha na wa akina yona? Unaota wewe.ushahidi kwa zaidi miaka 8 bado wanakusanya?mbona akina Yona na Mramba ushahidi wao haukuchukua muda mrefu hivyo?
Heshima kwenu wana JF,
Kwa muda mrefu kumekuwa tuhuma zinaendelea kwenye mtandao ya kijamii hasa humu JF. Kuhusu tuhuma za ufisadi ambazo muhusika anasemwa sana Lowassa.Nakumbuka wakati Lowassa akitangaza nia ya kugombea urais wakati akiwa CCM katika uwanja stadium Arusha alisema mwenye ushahidi yeye ni fisadi aende mahakamani na kama huna ushahidi nyamaza kimya.
Baaada ya mchakato wa Lowassa kuhamia CHADEMA kumekuwa na upotoshaji mkubwa unaofanywa vijana wa Lumumba wakiongozwa na Lizaboni kuhusu Lowassa.
Nchi ipo kwenye hali mbaya kutokana uhaba mkubwa wa sukari nchini bado watu wamekuwa wakileta mambo ya siasa mpaka kwenye kumtuhumu wafanyabiashara ambao wameficha sukari ni marafiki zake Lowassa, je serikali imeshindwa kuwachukulia hatua hao marafiki zake Lowassa?
Tuweke itikadi za vyama pembeni tujadili swala hili fisadi mkubwa ndani ya nchi yetu ni Lowassa tu? Serikali imeshindwa kumchukulia hatua mtu mmoja?
Uko sahihi mkuu naamini hakuna fisadi anayeweza kutoka huko ukoo wa mafisadi akabaki salama wapuuzi wanalalamika na kupiga kelele bila kuwa ushahidiUfisadi wa LOWASSA ni wa kusadikika tu! Hakuna mwenye ushahidi wa moja kwa moja!
Mimi naamini LOWASSA ni msafi kuliko theluji!
Kwa hiyo Chadema ndo wanaendesha nchi ndo maana wanaogopa kumchukulia hatua Lowasa kwa zaidi miaka 8 ya tuhuma zenu?Vijana wa ufipa wanapeana moyo,teh teh teh,inafurahisha sana kumuona kijana wa kitanzania anayejiita mpinzani anawaambia ccm watoe ushahidi!!
mkuu tembelea hapa kuna info zote za mafisadi www.chadema.com/list of shame
mkuu tembelea hapa kuna info zote za mafisadi www.chadema.com/list of shame
Heshima kwenu wana JF,
Kwa muda mrefu kumekuwa tuhuma zinaendelea kwenye mtandao ya kijamii hasa humu JF. Kuhusu tuhuma za ufisadi ambazo muhusika anasemwa sana Lowassa.Nakumbuka wakati Lowassa akitangaza nia ya kugombea urais wakati akiwa CCM katika uwanja stadium Arusha alisema mwenye ushahidi yeye ni fisadi aende mahakamani na kama huna ushahidi nyamaza kimya.
Baaada ya mchakato wa Lowassa kuhamia CHADEMA kumekuwa na upotoshaji mkubwa unaofanywa vijana wa Lumumba wakiongozwa na Lizaboni kuhusu Lowassa.
Nchi ipo kwenye hali mbaya kutokana uhaba mkubwa wa sukari nchini bado watu wamekuwa wakileta mambo ya siasa mpaka kwenye kumtuhumu wafanyabiashara ambao wameficha sukari ni marafiki zake Lowassa, je serikali imeshindwa kuwachukulia hatua hao marafiki zake Lowassa?
Tuweke itikadi za vyama pembeni tujadili swala hili fisadi mkubwa ndani ya nchi yetu ni Lowassa tu? Serikali imeshindwa kumchukulia hatua mtu mmoja?
Kukurupuka itatugharimu sana umeona mpaka kwenye swala la sukari tuliambiwa kuna wafanyabiashara wameficha sukari lakini tatizo la sukari limeshakuwa kubwa wananchi wanateseka kwa sababu ya kauli za kukurupukahasara ya kukurupuka ni kubwa sana
Mkuu hebu jiulize chanzo cha Lowassa kuitwa fisadi kilianzia CCM?Heshima kwenu wana JF,
Kwa muda mrefu kumekuwa tuhuma zinaendelea kwenye mtandao ya kijamii hasa humu JF. Kuhusu tuhuma za ufisadi ambazo muhusika anasemwa sana Lowassa.Nakumbuka wakati Lowassa akitangaza nia ya kugombea urais wakati akiwa CCM katika uwanja stadium Arusha alisema mwenye ushahidi yeye ni fisadi aende mahakamani na kama huna ushahidi nyamaza kimya.
Baaada ya mchakato wa Lowassa kuhamia CHADEMA kumekuwa na upotoshaji mkubwa unaofanywa vijana wa Lumumba wakiongozwa na Lizaboni kuhusu Lowassa.
Nchi ipo kwenye hali mbaya kutokana uhaba mkubwa wa sukari nchini bado watu wamekuwa wakileta mambo ya siasa mpaka kwenye kumtuhumu wafanyabiashara ambao wameficha sukari ni marafiki zake Lowassa, je serikali imeshindwa kuwachukulia hatua hao marafiki zake Lowassa?
Tuweke itikadi za vyama pembeni tujadili swala hili fisadi mkubwa ndani ya nchi yetu ni Lowassa tu? Serikali imeshindwa kumchukulia hatua mtu mmoja?