I WAS IN....
Uchaguzi huu haukuwa uchaguzi bali ulikuwa ni uchafu usiofaa hata kuangaliwa kwa macho matakatifu...
Nilishiriki kama msimamizi. Lengo langu lilikuwa kupata siri ya kila kilichokuwa kinafanyika ndani. Nimeona kwa macho yangu. Hakuna cha kupepesa macho wala kusita kuusema ukweli kuwa, CCM hawatakiwi, hawakubaliki na wakiachiwa tena kidogo tu wataiteketeza kabisa nchi hii na taifa letu...
Wapiga kura, watu waliususia na kuukataa kabisa uchaguzi huu kwa moyo na kwa vitendo. Kama kuna kituo cha kupigia kura Tanzania nzima kilichofikisha watu wapiga kura halali waliokwenda kupiga kura hata 30 tu, basi hicho kituo kilikuwa ndani ya chumba cha Samia Suluhu mwenyewe na ukoo wake ndo walimpigia kura hizo...!!
Tunataka uchaguzi mpya na watu wote tushiriki..!!!
Hawa wapumbavu wote wakae pembeni tena wakiwa nyuma ya nondo za magereza (behind prison bars) kwa kuliingiza taifa katika hasara kubwa..
Dr Emmanuel Nchimbi hafai, ni walewale na hana tofauti na Samia na Kikwete...
We need a new election. That's only option...