William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,466
Mkuu......nakuomba umuache Mzee Gama (RIP) apumzike kwa amani.......usiandike mambo kwa kusimuliwa kuhusu sera za serikali za wakati huo kuhusu vijiji vya ujamaa......
- Duh leo wamekugusa na wewe kaka mkubwa maana huwa ni bingwa sana wa kutukana wengine, ha! ha! ha! ndio raha ya JF watakubana mbavu mpaka utaonyesha ukweli wako siku moja!! ha! ha! ha!
Le Mutuz

