- Kuna wakati huwa ninashindwa kuamini kwamba JF imeshuka this low, kupanda na kushuka kwenye siasa ni mambo ya kawiada sana unless wewe sio mwanasiasa, Nchimbi is only 41 baada ya kushika nafasi zote za Taifa alizowahi kushika leo kwa mtu unayejua siasa kweli unaweza kusema kwamba he is finished? Please hizi analysis mnazitoa wapi?
- I mean mada imejaa maneno mengi ya kimtaaani taani as if hapa ni mtaani why people? Nchimbi alikuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ni wajbu wake kama waziri kuhakikisha Sheria hazivunjwi, sasa mlitaka afanye nini aruhusu Chadema mvunje Sheria na kuwasumbua wanaanchi wengine kisa siasa zenu za kitoto, Mwinyi mbona alijiuzulu na bado akawa Rais sasa leo itakuwa mtu kichwa kama Nchimbi, wewe kweli in your right mind unaweza ukasema kwamba he is done na National Politics? Hizi siasa mnajifunzia wapi?
- Kwenye Siasa za Taifa ni kawaida kushinda na kushindwa, ndio maana Chadema wapo mpaka leo pamoja na kushindwa kila kitu toika waaanzishe chama chao ni kushindwa tu mpaka leo, karibu Miaka 25 sasa lakini wanakomaaa kwa sababu wanajua kwamba huenda ipo siku, ingawa daliliz zipo wazi kwamba hawatakuja kushika dola never! so watabakia kuwajadili Viongozi wa CCM tu maana wao wamekata tamaa kabisa ndio dalili zenyewe topic kama hizi ni watu waliokubali kushindwa yaishe!!
Le Mutuz