Taarifa hii mimi sijaielewa kabisa, hasa hayo maneno niliyoyawekea rangi nyekundu.
Taarifa hii mimi sijaielewa kabisa, hasa hayo maneno niliyoyawekea rangi nyekundu.
mkuu usiogope ni typing errors tu ambazo ni kawaida kwa kila binadamu....au wewe mwenzetu uko safi kabisa hukoseagi lolote?
Baada ya kutemwa uwaziri wa mambo ua ndani mhe. Emmaniel Nchimbi juzi jumamosi alienda kutambikia kwenye kabuli la aliyeliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo Marehemu Gama
Taarifa za watu waliokuwa kwenye msafara wa Nchimbi zinasema alifika makabulini hapo kuomba msamaha kwa marehemi Gama kwani anaona yanayotokea pengine ni kwadababu ua ungomvi wake na Gama..walisema ni kama amechanganyikiwa kwani kutoka kwenye mbio za urais sasa hajiamini hata kuupata udiwani kwani hana ushawi kabisa kwenye jimbo na alikuwa akiliendesha jimbo kwa mtutu wananchi wakigoma analeta polisi wa kutosha leo ni mbunge wa kawaida hana jeuri ya kuagiza polisi atakavyo.
Maoni yangu:
Nchimbi ukimalizana na Gama njoo Arusha uwaombe msamaha watu uliowauwa kanisa la olasti kwa bomu na wale wa soweto..
Huyo Nchimbi amepotea maboya. Nafuu angeenda kwenye kaburi la Mwangosi na kumalizia kwenye kaburi la Dr Mvungi!
Watu wanaopata madaraka kwa nguvu za ushirikina utawajua tu kwa mambo yao.Baada ya kutemwa uwaziri wa mambo ua ndani mhe. Emmaniel Nchimbi juzi jumamosi alienda kutambikia kwenye kabuli la aliyeliwa kuwa mbunge wa jimbo hilo Marehemu Gama
Taarifa za watu waliokuwa kwenye msafara wa Nchimbi zinasema alifika makabulini hapo kuomba msamaha kwa marehemi Gama kwani anaona yanayotokea pengine ni kwadababu ua ungomvi wake na Gama..walisema ni kama amechanganyikiwa kwani kutoka kwenye mbio za urais sasa hajiamini hata kuupata udiwani kwani hana ushawi kabisa kwenye jimbo na alikuwa akiliendesha jimbo kwa mtutu wananchi wakigoma analeta polisi wa kutosha leo ni mbunge wa kawaida hana jeuri ya kuagiza polisi atakavyo.
Maoni yangu:
Nchimbi ukimalizana na Gama njoo Arusha uwaombe msamaha watu uliowauwa kanisa la olasti kwa bomu na wale wa soweto..
nkongu ndasu naona ninyi Tume ya uchaguzi tayari mna matokeo ya uchaguzi mkuu wa mwaka 2015, tayari manafahamu chama tawala kita kipi na kipi kitakuwa upande wa upinzani........wapiga kura wakikataka msome matokeo halisi ya kura watakazopiga mtafanyaje?ni kweli mkuu, na inasadikika kama Chadema wataweka mgombea ubunge makini wa CHADEMA mwaka 2015 jimbo linaweza kwenda upinzani...
Ha ha ha...Duh what a great analysis! Kweli CCM ina hazina.Umetoa hoja nzito sana mkuu maana hawa CHADEMA bila kuwafundisha siasa kwa hoja nzito namna hii watasumbua sana wananchi.
NB:Namsikitikia Mwinyi ulivyomdhalilisha hapo kwamba yeye ni duni na bogus alishinda sembuse ....
Haka kajamaa macho kumchuzi mafioso sana. Sasa watu kama hawa ndio wanataka urais wa tanzania!Wakati wa kura za maoni huyu jamaa si alichukua wajumbe waliokuwa wanajulikana kumuunga mkono Gama, akajifanya kwenda kupiga kampeni kwao, akawafungia ndani kwa kufuli hadi upigaji kura ukaisha...
Watu wanadhani wataishi milele...