Serikali ya China hivi karibuni ilizindua mpango mpya wa kutoa malipo ya kifedha kwa familia zinazojifungua watoto, ikiwa ni jitihada za kupambana na kupungua kwa kasi kwa viwango vya uzazi.
Kupitia mpango huo, familia zitapokea takribani dola 500 kwa kila mtoto mwenye umri chini ya miaka mitatu.
Mbali na China kuna baadhi ya nchi zenye sera ya kutoa fedha kwa wanachi ili kuongeza watoto
Kupitia mpango huo, familia zitapokea takribani dola 500 kwa kila mtoto mwenye umri chini ya miaka mitatu.
Mbali na China kuna baadhi ya nchi zenye sera ya kutoa fedha kwa wanachi ili kuongeza watoto
- Australia
- Finland
- Estonia
- Japan