Nchi zenye rasilimali nyingi Duniani

Nchi zenye rasilimali nyingi Duniani

Bora umelitambua hilo kuwa sipangiwi cha kuongea KILA mtu na mtazamo wake sio kwamba ukisema wewe ndivyo ilivyo
Hatupo kwenye mitazamo hapa tupo Katika kuongea Mambo yenye uhalisia kuendelea kwa mwafrika sio lazima mpaka ujenge maviwanda . Hata kuelewa Mambo ambayo yanamzunguka mwenye. Sasa umeshindwa hata kugamua na umeleta matizamo yako hapa isiyo ya kweli then na wasomaji wameze uwongo na mtoto wako wakesho naye atakuja kusoma huu ujinga wako kwa kusingizia Ni mitazamo. Kweli wa Africa tuna long journey

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom