Nchi zenye rasilimali nyingi Duniani

Nchi zenye rasilimali nyingi Duniani

ward41

JF-Expert Member
Joined
Apr 3, 2022
Posts
749
Reaction score
2,540
chrome_screenshot_1649965188197.png

Hizo propaganda zakusema Africa tuna rasilimali nyingi zimetoka wapi?
 
Toa Iraq, Iran, Saudia unless taarifa yako ililenga utajiri wa ( mafuta) uweke DRC kwa upande wa utajiri wa asili Hizo nchi tatu za warabu hawaigusi DRC.
 
Toa Iraq, Iran, Saudia unless taarifa yako ililenga utajiri wa ( mafuta) uweke DRC kwa upande wa utajiri wa asili Hizo nchi tatu za warabu hawaigusi DRC.
Mkuu acha kukalili Iran na Iraq ni mataifa yenye utajiri mkubwa wa madini.
 
Toa Iraq, Iran, Saudia unless taarifa yako ililenga utajiri wa ( mafuta) uweke DRC kwa upande wa utajiri wa asili Hizo nchi tatu za warabu hawaigusi DRC.

Mzigo walio nao DRC hata marekani yenyewe haiwagusi
 
Mkuu acha kukalili Iran na Iraq ni mataifa yenye utajiri mkubwa wa madini.
Madini gani mkuu, kuhusu natural resources ukiitoa Russia, USA, Canada na Australia nakuambia hakuna mwingine anayemfikia DRC.
 
Toa Iraq, Iran, Saudia unless taarifa yako ililenga utajiri wa ( mafuta) uweke DRC kwa upande wa utajiri wa asili Hizo nchi tatu za warabu hawaigusi DRC.
Unaongea usichokijuwa kubusu hizo NCHI. Hizo NCHI ni tajiri wa madini mengi ila tumezowea Zina mafuta tu
 
Unaongea usichokijuwa kubusu hizo NCHI. Hizo NCHI ni tajiri wa madini mengi ila tumezowea Zina mafuta tu
Hayo madini hayana majina ama? Yataje halafu nikupe takwimu za kijiolojia mkuu.. Acha kuwa mvivu wa kusoma.
 
Wana miti mingi na misitu kikubwa tu na sio kingine

diamond, gold, copper, cobalt, tin, tantalum, lithium, uranium, radium bado mafuta bado gesi tena vinapatikana kwa wingi. Usiwaone wale jamaa ukafiri ni wana viuno tu na carolite, kumbuka congo pia kuna sehemu kuna Mvua mwaka mzima bado mito
 
Unaongea usichokijuwa kubusu hizo NCHI. Hizo NCHI ni tajiri wa madini mengi ila tumezowea Zina mafuta tu
download.png

Mkuu hizi ni baadhi ya Mali za kongo DRC kwa uwiano wa dunia.
Kwa hapo juu Iran anawazidi DRC Zink pekee, kwa mbaali Copper.. Labda na mafuta na gesi.
 
Here they are: Cheap labour force, vast fertile land for agriculture, plentiful water resources, sunshine 365 days/year, excellent air quality, coltan for computers, cobalt for cars, tanzanite etc

Kwenye climate nakupinga mkuu! Africa kuna Mbung’o ambaye antung’ata sisi na mifugo yetu tukalala tukashindwa kulima na kufuga kwa wingi.
 
Back
Top Bottom