Nchi za Magharibi zinaongoza kwa rushwa duniani

Nchi za Magharibi zinaongoza kwa rushwa duniani

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
10,906
Reaction score
18,874
Ukichunguza vizuri nchi hizi utaona ndiyo vinara wa rushwa duniani. Rushwa zao wamezifichaficha na kuzihalalisha kwenye makaratasi. US wanapeana rushwa kubwa kubwa wanazoita lobbying. Unakuta wafanyakazi wengi wa serikali wakistaafu wanaenda kupata kazi nono kwenye makampuni yaliyokuwa yanahusiana na kazi walizokuwa wanafanya.
Rushwa kubwa zaidi ipo kwenye kupeana tenda zenye gharama za ukichaa. UK juzi wametoa tenda ya kubadalisha logo. Iligharimu paundi laki tano na elfu thelathini. Logo yenyewe iliyofanyiwa marekebisho.
19570262_20251006104610_jpeg8ee016cec9996627b77223a412e8c7cc.jpeg
 
Kuna Rushwa at different levels na Nyerere alishaulizwa kuhusu Corruption na akasema hata Asia kuna Corruption ila tofauti ya Huku na Asia ni kwamba Daraja likitakiwa kujengwa Asia atapewa ndugu wa Kiongozi na huku atapewa ndugu wa Kiongozi lakini tofauti ni kwamba Asia Litajengwa lakini huku halitajengwa....


View: https://youtu.be/wYP_nfGVxwo?si=A5SnWrsdyHvzjCc2
 
Lakini more to the Point.....

 
Kujifariji kuwa hata matajiri wanakula mno mmoja , au kuna siku hawali kabisa , wakati wao kutokula nikufanya lishe bora na wewe ni kushinda njaa
 
Ukichunguza vizuri nchi hizi utaona ndiyo vinara wa rushwa duniani. Rushwa zao wamezifichaficha na kuzihalalisha kwenye makaratasi. US wanapeana rushwa kubwa kubwa wanazoita lobbying. Unakuta wafanyakazi wengi wa serikali wakistaafu wanaenda kupata kazi nono kwenye makampuni yaliyokuwa yanahusiana na kazi walizokuwa wanafanya.
Rushwa kubwa zaidi ipo kwenye kupeana tenda zenye gharama za ukichaa. UK juzi wametoa tenda ya kubadalisha logo. Iligharimu paundi laki tano na elfu thelathini. Logo yenyewe iliyofanyiwa marekebisho.
View attachment 3485576
Hii ingetokea Tanzania sipati picha maneno yake.

Lakini walewale ambao wangepinga kwa Tanzania ndio watasifia ubunifu huu.

Nchi ina safari ndefu sana.
 
Back
Top Bottom