Nchi za kiarabu zinashindwaje kuwafikia Israel kiuchumi wakati Israel ni kanchi kadogo na wamezingirwa na maadui?

Ndio uweke hapa ni mabilioni kiasi gani?
Ok kwa kuwa umekaza mshipa wacha nikutwange na facts.

Israel ni nchi inayoongoza kwa density ya startups za teknolojia ya kilimo, Nchi ndogo lakini kuna starups 400 zimeminyana humo

Netafim ni kampuni ya Israel inaongoza duniani kwa teknolojia za umwagiliaji na kilimo cha kidijitali

Katika ukanda wa nchi za kiarabu, Israel pekee ndio nchi iliyomo kwenye orodha kibao za nchi duniani kiujumla zinazofanya vizuri kwenye teknolojia za kilimo, hata Iran hasogelei.
Nayekaza mishipa mimi au wewe??
Aina ya teknolojia uliyoleta ni ile ile moja tu ya kilimo cha jangwani.
Kuhusu Netafim sikupingi naifaham hii kampuni inaunda vifaa vingi na bora vya irrigation agriculture.
 
startuo nation
Startups in terms of agricultural advancement,ila sio total start ups.
Katika mataifa yenye start ups nyingi kiujumla katika teknolojia Israel top five haipo.
Screenshot_2024-03-07-15-53-52-76_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Nayekaza mishipa mimi au wewe??
Aina ya teknolojia uliyoleta ni ile ile moja tu ya kilimo cha jangwani.
Kuhusu Netafim sikupingi naifaham hii kampuni inaunda vifaa vingi na bora vya irrigation agriculture.
Yawezekana hao misri walizitumia hizo teknolojia kitambo lakini why israel ana shine ?

Hata tv zipo tangu zamani za chogo lakini huwezi linganisha na za kisasa

Ni kweli hata kilimo cha jangwani kipo tangu kitambo ila huwezi kufananisha na cha sasa, ni gap kubwa mno, kwa sasa kuna drip irrigation, kuongeza mavuno, digital farming, kutumia robots. kutumia akili bandia, n.k.
 
Yawezekana hao misri walizitumia hizo teknolojia kitambo lakini why israel ana shine ?

Hata tv zipo tangu zamani za chogo lakini huwezi linganisha na za kisasa

Ni kweli hata kilimo cha jangwani kipo tangu kitambo ila huwezi kufananisha na cha sasa, ni gap kubwa mno, kwa sasa kuna drip irrigation, kuongeza mavuno, digital farming, kutumia robots. kutumia akili bandia, n.k.
Kwa upande wa aina hiyo ya teknolojia sikatai Israel iko vizuri.
Huwenda labda asili ya ardhi yao ndio imeleta chachu ya ku develop zaidi katika aina hii ya teknolojia japo si kila aina ya teknolojia ya kilimo Israel yuko juu.
 
Hapo ushaona Saudi Arabia kampita Israel.
Tukija kwa Iran naweza sema ni taifa lenye nguvu za kiuchumi kuliko taifa lolote hapo middle east kwasababu licha ya vikwazo vya kiuchumi toka 1980 mpaka leo hii ni middle upper income country.
Jiulize kama Iran isingewekewa vikwazo ingekua wapi.
Israel ni nchi inayolelewa na haina uchumi imara kama udaivyo.
Vita ya miezi mitano tu imeiangusha kiuchumi Israel kuliko udhaniavyo.
Umerithishwa chuki kutoka kwenye maandiko yenu
 
Startups in terms of agricultural advancement,ila sio total start ups.
Katika mataifa yenye start ups nyingi kiujumla katika teknolojia Israel top five haipo.View attachment 2927162
Kipimo cha startups kilichozoeleka ni start up density, mfano Rwanda iwe na startups 20 huku Tanzania ikiwa nazo 30, Kwa density Rwanda anakuwa juu kwasababu kuna concetration kubwa ya startups, na ndio maana hata wewe umekimbilia huko umekimbia vipimo vilivyozoeleka.

Hizi Takwimu za startup output zina wekness kwamba haziangalii ukubwa wa nchi wala hazijali population, na ndio maana hata kwenye hio post uliyoscreenshoot umecrop population isionekane
 
Ok kwa kuwa umekaza mshipa wacha nikutwange na facts.

Israel ni nchi inayoongoza kwa density ya startups za teknolojia ya kilimo, Nchi ndogo lakini kuna starups 400 zimeminyana humo

Netafim ni kampuni ya Israel inaongoza duniani kwa teknolojia za umwagiliaji na kilimo cha kidijitali

Katika ukanda wa nchi za kiarabu, Israel pekee ndio nchi iliyomo kwenye orodha kibao za nchi duniani kiujumla zinazofanya vizuri kwenye teknolojia za kilimo, hata Iran hasogelei.
Kwanza ni kwa nn usiilinganishe na nchi yako mpaka uilinganishe na nchi za Kiarabu?
Sasa kama anajiweza kwa nn anapokea misaada,kwa nn asiishi kwa kujitegemea mwenyewe?
Uchumi wa Israel ni uchumi bandia na ndio maana mpaka sasa umeshindwa kuhimili vita ya miezi 5 tena dhidi ya adui dhaifu kama Hamas mpaka sasa uchumi wa Israel umesha poteza 20% na kuilazimu serikali ifunge baadhi ya shughuli za kiserikali ili uchumi wake usianguke kabisa.
Yaani asilimia kubwa ya uchumi wa Israel ni uchumi unao tegemea uimara wa hisa na masoko ya kifedha na sio uchumi halisi. Ni sawa na utajiri wa akina Eron music ambao ndani ya masaa 5 unaweza kuporomoka kwa mabilion ya $ na badae soko la hisa likipanda unapanda kwa mabilion ya $.

Ukiachana na msaada wa kijeshi anao pewa na Marekani bado kuna mabilion mengine kwa ajili ya kiuchumi inapokea kila mwaka, Ujerumani inaipatia Israel msaada wa kiuchumi wenye thamani $2.2bilion kila mwaka bado Israel inapokea misaada mingine kutoka umoja wa Ulaya.
Ukuachana na misaada ya kiuchumi bado bidhaa za Israel zimepewa upendeleo maalamu ndani ya nchi zote za umoja wa Ulaya , Uingereza na Marekani , bidhaa zote zinazo tengenezwa nchini Israel zinaingizwa ndani ya nchi za umoja wa Ulaya, Uingereza na Marekani bila kutozwa kodi yeyote ile kitu kinacho yapa faida kubwa makampuni na viwanda vya Israel .
Sasa nchi yenye ofa zote hizo inashindwaje kupata maendeleo ?

Iran tangu mapindizi ya kiislam miaka 45 iliyo pita haijawahi kuchukua mkopo wowote kutoka IMF au benki ya dunia bado ina rundo la vikwazo hiyo nchi ndo uje kuifananisha na hicho kijitaifa kinacho lelewa kama mtoto?
 
Kiasi ambacho Marekani anaisaidia Israel hakifikii hata asilimia 3 ya uchumi wake

Ni sawa na Japan kuisaidia milioni 200 Tanzania ijenge vyoo
Najua umebadili id, ile ya zamani umeweka kapuni na huu uzi uliwahi kuuanzisha na sasa umeanzisha tena ila nakujibu tena na uzi huu.

1. Hio asilimia 3 unayosema ni misaada ya Kijeshi tu, ndio around $3B kwa mwaka.

2. Israel inapokea misaada mingi sana ya Kiuchumi hasa kwa Mafia na watu wengine wanaokimbia Sheria Marekani. Kifupi hilo eneo ukibaka Usa unakimbilia hapo na mifano mingi. Vitu kama hivi hutaviona direct kwenye data.

3. Kampuni za Marekani legally ambazo zina invest Israel zinapewa misamaha ya Kodi ili zianzishe branch hapo

4. Bado kuna mambo mengine kama biashara haramu za viungo (Israel ni halali), inakadiriwa Figo moja ni kama milioni 200 mpaka 300, hivi viungo wanavuna kwa Wapalestina wanaowaua kila siku, wanawachuna Ngozi, wanatoa Pipe za Moyo, Figo na vinginevyo. Israel kanchi kadogo kenye watu milioni kadhaa kama storage kubwa ya vitu kama Ngozi kushinda Usa, India, China etc ma nchi yenye watu hadi Bilioni na upuuzi.

Kifupi Israel ni Genge la wauaji ambao wanafanya kazi chafu mahala mbalimbali duniani wamekutana pamoja kutengeneza nchi hapo.
 
Hapo ushaona Saudi Arabia kampita Israel.
Tukija kwa Iran naweza sema ni taifa lenye nguvu za kiuchumi kuliko taifa lolote hapo middle east kwasababu licha ya vikwazo vya kiuchumi toka 1980 mpaka leo hii ni middle upper income country.
Jiulize kama Iran isingewekewa vikwazo ingekua wapi.
Israel ni nchi inayolelewa na haina uchumi imara kama udaivyo.
Vita ya miezi mitano tu imeiangusha kiuchumi Israel kuliko udhaniavyo.
Iran ina watu wenye akili sana. Ni kama North Korea. Pengine tatizo la hizi nchi ni uongozi?
 
Kipimo cha startups kilichozoeleka ni start up density, mfano Rwanda iwe na startups 20 huku Tanzania ikiwa nazo 30, Kwa density Rwanda anakuwa juu kwasababu kuna concetration kubwa ya startups.

Hizi Takwimu za startup output zina wekness kwamba haziangalii ukubwa wa nchi wala hazijali population, na ndio maana hata kwenye hio post uliyoscreenshoot kuna sehemu wameandika It is important to note that countries with larger populations, such as China, India, Brazil, and Japan, are expected to have higher positions in the total startup output
Tukiachana na usemacho tuende mbele turudi nyuma kuipambanisha Israel na hayo mataifa uliyotaja hususan China,india na Japan bro ni uongo.
Tunajua uemko wa teknolojia katika hizi nchi ukoje tukiangaza kila aina ya teknolojia.
 
Iran ina watu wenye akili sana. Ni kama North Korea. Pengine tatizo la hizi nchi ni uongozi?
Hapana kaka.
Iran ni nchi iliyokandamizwa na vikwazo vya kiuchumi tangia miaka 40 iliyopita.
Ila kwa ubora wake ni middle upper income country labda iwe imeshuka kwasasa.
Na ndio ujiulize kama isingewekewa vikwazo vya kiuchumi na kuiruhusu ikafanya shughuli zake za kiuchumi kikawaida hili taifa lingefika wapi.??
 
Ok kwa kuwa umekaza mshipa wacha nikutwange na facts.

Israel ni nchi inayoongoza kwa density ya startups za teknolojia ya kilimo, Nchi ndogo lakini kuna starups 400 zimeminyana humo

Netafim ni kampuni ya Israel inaongoza duniani kwa teknolojia za umwagiliaji na kilimo cha kidijitali

Katika ukanda wa nchi za kiarabu, Israel pekee ndio nchi iliyomo kwenye orodha kibao za nchi duniani kiujumla zinazofanya vizuri kwenye teknolojia za kilimo, hata Iran hasogelei.
Hiyo sio Israel mzee bali Marekani anawekeza kwa mgongo wa Israel ili kuiaminisha mashariki ya kati kwamba Isreal ana teknolojia ya juu kumbe mweupe kabisa.
 
Najua umebadili id, ile ya zamani umeweka kapuni na huu uzi uliwahi kuuanzisha na sasa umeanzisha tena ila nakujibu tena na uzi huu.

1. Hio asilimia 3 unayosema ni misaada ya Kijeshi tu, ndio around $3B kwa mwaka.

2. Israel inapokea misaada mingi sana ya Kiuchumi hasa kwa Mafia na watu wengine wanaokimbia Sheria Marekani. Kifupi hilo eneo ukibaka Usa unakimbilia hapo na mifano mingi. Vitu kama hivi hutaviona direct kwenye data.

3. Kampuni za Marekani legally ambazo zina invest Israel zinapewa misamaha ya Kodi ili zianzishe branch hapo

4. Bado kuna mambo mengine kama biashara haramu za viungo (Israel ni halali), inakadiriwa Figo moja ni kama milioni 200 mpaka 300, hivi viungo wanavuna kwa Wapalestina wanaowaua kila siku, wanawachuna Ngozi, wanatoa Pipe za Moyo, Figo na vinginevyo. Israel kanchi kadogo kenye watu milioni kadhaa kama storage kubwa ya vitu kama Ngozi kushinda Usa, India, China etc ma nchi yenye watu hadi Bilioni na upuuzi.

Kifupi Israel ni Genge la wauaji ambao wanafanya kazi chafu mahala mbalimbali duniani wamekutana pamoja kutengeneza nchi hapo.
Kwanza kabisa nakutwanga fact ya Kwanza, Israel sio matajiri kwa kusaidiwa, Israel wanaijua pesa, pesa ipo ndani ya damu, hata huko Ulaya walikopelekwa walinyimwa ardhi za kulima ilibidi wageukie mambo ya finance kama banks ziliwatajirisha sana .

Marekani ndio nchi inayongozea kwa mabilionea, Wamarekani wenye asili ya israel ndio wanaongoza kwa kuwa mabilionea wengi.

Kampuni kibao za Marekani zina matawi Israel kwenye vitengo vya Research and Development kwasababu waisrael wana kipaji kikubwa sana cha gunduzi na maboresho ya teknolojia.

Kiufupi ni kwamba hawa jamaa wanaogelea kwenye pesa hata wawe vitani

Hayo mengine ni propaganda tu, jamaa ni wanapiga kazi sio kitoto
 
Hapana kaka.
Iran ni nchi iliyokandamizwa na vikwazo vya kiuchumi tangia miaka 40 iliyopita.
Ila kwa ubora wake ni middle upper income country labda iwe imeshuka kwasasa.
Na ndio ujiulize kama isingewekewa vikwazo vya kiuchumi na kuiruhusu ikafanya shughuli zake za kiuchumi kikawaida hili taifa lingefika wapi.??
Labda wana uongozi unaotafuta confrontation bila sababu za msingi?
 
Hapo ushaona Saudi Arabia kampita Israel.
Tukija kwa Iran naweza sema ni taifa lenye nguvu za kiuchumi kuliko taifa lolote hapo middle east kwasababu licha ya vikwazo vya kiuchumi toka 1980 mpaka leo hii ni middle upper income country.
Jiulize kama Iran isingewekewa vikwazo ingekua wapi.
Israel ni nchi inayolelewa na haina uchumi imara kama udaivyo.
Vita ya miezi mitano tu imeiangusha kiuchumi Israel kuliko udhaniavyo.
Kwakuongezea tu, Israel ni wilaya ya Wamarekani na waingereza. Hao wazuyuni wote ni raia wa mataifa haya mawili. Bible imekua tu kama approval ya hao kenge kuweka makazi hapo
 
Hiyo sio Israel mzee bali Marekani anawekeza kwa mgongo wa Israel ili kuiaminisha mashariki ya kati kwamba Isreal ana teknolojia ya juu kumbe mweupe kabisa.
Hao wamarekani ndio wanawatumia sana waisrael kwenye mambo ya Tech, makampuni kibao kama Intel, Microsoft, Google, Facebook, Apple, Cisco yana makao makuu marekani lakini yamejazana Israel kuweka ofisi za kugundua na kuboresha teknolojia (research and development).

Israel wanaipa elimu na skills thamani kubwa sana, sio vitu vya kubahatisha hivi
 
Hao wamarekani ndio wanawatumia sana waisrael kwenye mambo ya Tech, makampuni kibao kama Intel, Microsoft, Google, Facebook, Apple, Cisco yana makao makuu marekani lakini yamejazana Israel kuweka ofisi za kugundua na kuboresha teknolojia (research and development).

Israel wanaipa elimu na skills thamani kubwa sana, sio vitu vya kubahatisha hivi
Comment hii imekudhihirisha jinsi gani ulivyo kilaza wa kutupwa kiasi cha kushinda kutofautisha kati ya raia wa Israel na watu wenye asili ya kiyahudi.
Kwa hiyo ww ukiona myahudi basi ni Muisrael?
Hijui kuwa Wayahudi ambao ni raia wa Israel ni %30 tu ya wayahudi wote duniani?,hata ukienda Iran,Misri hata Morocco unawakuta?
Hao wayahudi unao wasema eti wana fanya kazi kwenye makampuni ya kimarekani ni wamarekani na sio waisrael.
Alafu unacho takiwa kujua ni kuwa asilimia kubwa ya wafanya kazi kwenye hayo makampuni makubwa uliyo yataja hapo ,ni Waajemi,wahindi, wajerumani ,na waasia ya mbili wayahudi ni wachache sana kwenye hayo makampuni.
 
Back
Top Bottom