Nchi za kiarabu na viongozi wa kiislamu wakutana Saudi Arabia na kutoka na tamko moja la kuitaka Israel isitishe vita

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,194
10,929
Pamoja na upungufu wa matamko hata hivyo wachambuzi wa masuala ya kisiasa wamesifu namna mkutano huo wa leo ulivyoonesha umoja dhidi ya Israel

Katikati ya mkutano huo katibu mkuu wa umoja wa nchi za kiislamu amelaumiwa na wachambuzi hao kwa kutumia sana maneno yenye kuonesha kuna maatumaini kwa Israel kufannya mambo aliyoyaorodhesha.

Hata hivyo mwishoni mwa kikao hicho kilichowakutanisha wakuu wa nchi zaidi ya 51 na wawakilishi wa nchi nyengine kadhaa tamko kuu limetoka kwa kuitaka Israel isitishe vita na iache kutaja kuwa inajilinda huku ikiuwa wananchi na watoto kwa maelfu.

Katika tamko hilo hakukuwa na sehemu ilipotajwa Hamas kwa kupewa lawama yoyote ile.Hilo limekuwa kama ni kukubaliana na tamko la katibu mkuu wa UN kuwa shambulio la Hamas halikuja bila sababu.

Miongoni mwa waliohudhuria ni pamoja na raisi wa Iran,Mohammed Alraisi na raisi Bashar El Assad wa Syria.
Raisi wa Iran alisema wamekutana hapo kwa niaba ya umoja wa kiislamu ili kutoa tamko la kulaani Israel kutokana na mauwaji yake kwa wapalestina.

kwa upande wake raisi Al Assad alizishutumu nchi zilizorudisha uhusiano na Israel kwa kusema kila tunavyotoa mkono zaidi kwa mazayuni ndio tunavyokaribisha mauwaji kwetu.

1699733873000.png
 
Pamoja na upungufu wa matamko hata hivyo wachambuzi wa masuala ya kisiasa wamesifu namna mkutano huo wa leo ulivyoonesha umoja dhidi ya Israel
Katikati ya mkutano huo katibu mkuu wa umoja wa nchi za kiislamu amelaumiwa na wachambuzi hao kwa kutumia sana maneno yenye kuonesha kuna maatumaini kwa Israel kufannya mambo aliyoyaorodhesha.
Hata hivyo mwishoni mwa kikao hicho kilichowakutanisha wakuu wa nchi zaidi ya 51 na wawakilishi wa nchi nyengine kadhaa tamko kuu limetoka kwa kuitaka Israel isitishe vita na iache kutaja kuwa inajilinda huku ikiuwa wananchi na watoto kwa maelfu.
Katika tamko hilo hakukuwa na sehemu ilipotajwa Hamas kwa kupewa lawama yoyote ile.Hilo limekuwa kama ni kukubaliana na tamko la katibu mkuu wa UN kuwa shambulio la Hamas halikuja bila sababu.
Kwanini wamesubiri mpaka raia 11,000 wamekufa ndio wanakutana sasa hivi ?... anyway tuombe wanaopigana wakubali tamko lao la kusitisha vita.
 
Israel anajua majirani wake ni maadui wake wakubwa, pia hawezi kusema Israel isitishe vita, ikisitisha vita nini hatima ya usalama wa Israel? Nini hatima ya mateka wa Israel? Labda wangekuja na mpango wa Hamas aachie mateka wote halafu ndo watoe tamko la Israel kusitisha vita, hata Kila mtu angewaelewa kuwa Wana Nia njema Kwa pande zote 2 Israel na Hama. Lakini wanatoka na tamko et Israel sitisha vita ,Hilo ni shambulizi la kusema Israel iteketee na kuangamia, maana yake akishambuliwa na Hamas, Hezbollah, Houth inatakiwa atulie na kukubali wananchi wake wafe, katika mazingira hayo hakuna nchi yoyote duniani ambauo inaweza kuvumilia huo, ujinga, Hizi nchi za kiarabu na kiislam ziingie ili tuone moto, zikivamia Israel Kuna nchi hasa majirani zake kama Lebanon, Syria, Jordan, Egypt zitapokonywa ardhi Tena na Jerusalem yote lazima itekwe na kuwa sehemu ya Israel totally.
 
Wameilaani hamas kwa kufanya ugaidi dhidi ya Israeli.?!
Hawakuitaja popote.Ingekuwa ni ujinga kufanya hivyo katikati ya mauwaji ya kimbari ya Israel kwa wapalestina.
Na kuna wengine miongoni mwao wangependa wawapongeze kabisa.
 
wanafiki hao uae alisaini abraham accord wakati wa D.Trump kuitambua rasmi israeli kama nchi hata saudi arabia anaitambua rasmi israeli kama nchi, hivyo uae na saudi arabi hawaitambui palestina kama nchi bali wanaitambua israeli sasa wanakutana kutafuta nini?

UAE na Bahrain wamesign Abraham accord pichani kutambua dola ya Isreali middle east na siyo Palestina.
1699735235662.jpeg
 
Hawakuitaja popote.Ingekuwa ni ujinga kufanya hivyo katikati ya mauwaji ya kimbari ya Israel kwa wapalestina.
Na kuna wengine miongoni mwao wangependa wawapongeze kabisa.
Basi Israeli ana haki ya kujilinda dhidi ya magaidi.
Na wamshukuru Muyahudi maana ndio anawaunganisha.
 
Alwaz

Al Arabi:

Saudi Arabia, the UAE, Bahrain, and Morrocco rejected the draft proposal for an oil ban and banning the US from using the Arabic airspace to deliver arms or bombs to other countries in the region.

Ndugu yangu, hawa hawana jeuri, ulinzi wao wanategemea kwa US.
 
Alwaz

Al Arabi:

Saudi Arabia, the UAE, Bahrain, and Morrocco rejected the draft proposal for an oil ban and banning the US from using the Arabic airspace to deliver arms or bombs to other countries in the region.

Ndugu yangu, hawa hawana jeuri, ulinzi wao wanategemea kwa US.
HIvi ilikuwaje ile vita ya mwaka 1947 au USA alitia mkono?
 
Alwaz

Al Arabi:

Saudi Arabia, the UAE, Bahrain, and Morrocco rejected the draft proposal for an oil ban and banning the US from using the Arabic airspace to deliver arms or bombs to other countries in the region.

Ndugu yangu, hawa hawana jeuri, ulinzi wao wanategemea kwa US.
Ulinzi wao dhidi ya nani?! I mean nani ni adui wa UAE, Saudi Arabia, Bahrain na Morocco
 
Pamoja na upungufu wa matamko hata hivyo wachambuzi wa masuala ya kisiasa wamesifu namna mkutano huo wa leo ulivyoonesha umoja dhidi ya Israel

Katikati ya mkutano huo katibu mkuu wa umoja wa nchi za kiislamu amelaumiwa na wachambuzi hao kwa kutumia sana maneno yenye kuonesha kuna maatumaini kwa Israel kufannya mambo aliyoyaorodhesha.

Hata hivyo mwishoni mwa kikao hicho kilichowakutanisha wakuu wa nchi zaidi ya 51 na wawakilishi wa nchi nyengine kadhaa tamko kuu limetoka kwa kuitaka Israel isitishe vita na iache kutaja kuwa inajilinda huku ikiuwa wananchi na watoto kwa maelfu.

Katika tamko hilo hakukuwa na sehemu ilipotajwa Hamas kwa kupewa lawama yoyote ile.Hilo limekuwa kama ni kukubaliana na tamko la katibu mkuu wa UN kuwa shambulio la Hamas halikuja bila sababu.

Miongoni mwa waliohudhuria ni pamoja na raisi wa Iran,Mohammed Alraisi na raisi Bashar El Assad wa Syria.
Raisi wa Iran alisema wamekutana hapo kwa niaba ya umoja wa kiislamu ili kutoa tamko la kulaani Israel kutokana na mauwaji yake kwa wapalestina.

kwa upande wake raisi Al Assad alizishutumu nchi zilizorudisha uhusiano na Israel kwa kusema kila tunavyotoa mkono zaidi kwa mazayuni ndio tunavyokaribisha mauwaji kwetu.

View attachment 2810991
Mbona hawajawahi kukutana kuishinikiza Hamas waache kuirushia Israel maroketi na kujificha hospital hao viongozi wa kiarabu ni wanafiki na matapeli na baadhi yao ndio wadhamini wa Hamas kwenye huo mkutano nashangaa hata iran nae anaongea mdhamini mkubwa wa magaidi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
 
Alwaz

Al Arabi:

Saudi Arabia, the UAE, Bahrain, and Morrocco rejected the draft proposal for an oil ban and banning the US from using the Arabic airspace to deliver arms or bombs to other countries in the region.

Ndugu yangu, hawa hawana jeuri, ulinzi wao wanategemea kwa US.
Watamjua mlinzi wao hasa ni nani siku atakapodidimia.Waache uzuzu.
 
Mbona hawajawahi kukutana kuishinikiza Hamas waache kuirushia Israel maroketi na kujificha hospital hao viongozi wa kiarabu ni wanafiki na matapeli na baadhi yao ndio wadhamini wa Hamas kwenye huo mkutano nashangaa hata iran nae anaongea mdhamini mkubwa wa magaidi

Sent from my Infinix X663 using JamiiForums mobile app
Unataka wapoteze muda na gharama kuzungumzia vitu vidogo kama kuilaani Hamas ambao hawana ndege ya kivita wala kifaru hata kimoja.
 
Unataka wapoteze muda na gharama kuzungumzia vitu vidogo kama kuilaani Hamas ambao hawana ndege ya kivita wala kifaru hata kimoja.
Kwa hiyo unabariki kile Hamas walifanya october 7? Na kama wanaona Gaza anaonewa waingie kati kwa sababu si Hamas hawana hizo zana za kivita. Tuone mbivu na mbichi siyo kubweka tu kama jibwa koko.
 
Back
Top Bottom