Nchi yetu inaitwa Tanganyika

Nchi yetu inaitwa Tanganyika

kwa mjerumani Tanganyika manayake the land of minerals, fertile land! unalijua hilo?

sasa jina zuri hilo unalifuta kwa jina hamnazo au nothing? is it fair, say mtoto wako umemname kwa jina Tajiri then babu yake aje ampe jina masikini utaridhika au utaanzisha tifu?
 
.......
Lakini research hii ya kusema jina la Tanzania ni la laana (kama nimekunuu sawasawa) huku Tanganyika ni jina la baraka nina mashaka nayo. Binafsi "baraka" inayolenga kuwagawa waafrika tena wakati huu ambao tunaanza kujitambua naipinga waziwazi na ki-ukweli si hitaji kamwe. Nina imani pia kuwa na wewe hauko tayari kuona Waafrika wanarudishwa nyuma kwa jengewa mazingira ya kubaguana.

Ni hayo mkuu.

Mkuu

Chini ya jina Tanganyika, watanganyika (tu)waliunganishwa na jina hili. Habari za ubaguzi zimeibuka baada ya kuleta jina hili jipya, Tanzania.

Lakini ubaguzi ilianza kupandikizwa kwa ustadi na ilichukua muda mrefu. Mbinu za kujenga makundi,matabaka zilifunikwa katika maneno matamu na ujanja ujanja. Leo tunavuna tu kile tulichopanda na kupandikiza.

Umeisoma hii? https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/334649-tundu-lissu-na-kiinimacho-cha-muungano.html
 
Ki historia wakati ujerumani inajigawia Tanganyika kuwa koloni lake, ilikuwa super power, jambo la kujiuliza ni kwa nini super power ya wakati huo ikaamua kuacha sehemu nyingi tuu za africa na kujimegea Tanganyika?

Tunakumbuka pamoja na u super power wake ujerumani pia walikuwa na ushawishi zaidi, walikuwa kaka mkubwa ndio maana hata mkutano wenyewe wa kuligawa bara la africa ulifanyika kwao berlin.

Maswali ya kujiuliza ni kwanini kaka mkubwa akaamua kujigawia Tanganyika? Jibu ni rahisi tuu, Tanganyika is the blessed land, wajerumani wanalitambua hilo ila maajabu ni kwamba sisi waTanganyika hatulitambui, tena wengine mpaka leo hii.

Kama nchi kosa kubwa lilofanya ni kufuta jina la ubarikiwa tulilopewa na Mungu na kuambatana na jina la laana sijui tulilopewa na maono ya mwanafunzi!

Hebu tuirudishe nchi yetu iliyo barikiwa and tuone reaction toka kwa Mungu!

God bress Tanganyika, God bress Africa!

Inakupasa urudie kuandika mchango wako na uweke "l" mahala pa "r" na kinyume chake.
Mfano uandike Ujelumani badala ya Ujerumani
lahisi - rahisi, kujiuriza - kujiuliza
Kama bress badala ya bless.
 
Kama kwa bahati mbaya muungano utavunjika lazima jina TANGANYIKA litumike kwani iliyokuwa imeungana na zanzibar sio tanzania bara ni TANGANYIKA sasa sioni sababu ya kujiita tanzania bara. Kwanza tujiite vipi tanzania bara wakati hata huku kuna visiwa? Ina maana visiwa vyote ndani ya JMT ni zanzibar?
Nakupenda TANGANYIKA,
Nakuchukia nakulaani tanzania
 
kwa mjerumani Tanganyika
manayake the land of minerals, fertile land! unalijua hilo?

sasa jina zuri hilo unalifuta kwa jina hamnazo au nothing? is it fair,
say mtoto wako umemname kwa jina Tajiri then babu yake aje ampe jina
masikini utaridhika au utaanzisha tifu?

waridi litanukia vilevile hata lipewe jina gani!
 
Inakupasa urudie kuandika mchango wako na uweke "l" mahala pa "r" na kinyume chake.
Mfano uandike Ujelumani badala ya Ujerumani
lahisi - rahisi, kujiuriza - kujiuliza
Kama bress badala ya bless.

Aksante kwa ushauri, ni matumaini yangu kuwa hoja umeielewa, i think i am good when i do foreign language! hahaha!
 
Tunaweza kuita hata jina lingine,muhimu sisi watanganyika tukae kivyetu.
 
Naam! Kuna mwandishi mahiri wa zamani aliyeuliza " kuna nini katika jina" (What's in a name?) Na ndio sababu issue hii inazungumzwa kwa hisia zinazokinzana kwa kiwango kikubwa. Kuna nini katika jina Tanganyika? Kuna nini katika jina Tanzania? Hoja na haja yetu ni nini? Utambulisho? Urithi? Sifa? Amani ya akili na Rohoni?
 
Naam! Kuna mwandishi mahiri wa zamani aliyeuliza " kuna nini katika jina" (What's in a name?) Na ndio sababu issue hii inazungumzwa kwa hisia zinazokinzana kwa kiwango kikubwa. Kuna nini katika jina Tanganyika? Kuna nini katika jina Tanzania? Hoja na haja yetu ni nini? Utambulisho? Urithi? Sifa? Amani ya akili na Rohoni?

kwa bahati nzuri Mungu kanijalia utafiti, can i give you a home work? ongea na mjerumani akuambie maana ya Tanganyika then you will know what i mean! Tanganyika is the blessed name, land!
 
Ohh masikini jamanii Tulisha mzika marehemu, Na leo baada ya nusu karne wanataka kumfufua !! Sijui watakuta maiti ipo haligani??? Nasikitika na simanzi juu ya msiba wake( Tanganyika alikufa zamani na tukafuta kumbukumbu zake zote) wakuu tuache tafrani hizi siye tupo live TANZANIA na tuishi na Tanzania asilimia 90% wamezaliwandani ya Tanzania wanaijua zaidi kuliko TG. Tuwe watu wenye kuendeleza mbele na siyo kurudisha gurudumu na historiya nyuma. hata zije nchi kumi na ziondoke nchi 10 Tanzania itabaki TANZANIA.God bless Tanzania na watu wake.Pamoja tujenge taifa letu.
 
Inakupasa urudie kuandika mchango wako na uweke "l" mahala pa "r" na kinyume chake.
Mfano uandike Ujelumani badala ya Ujerumani
lahisi - rahisi, kujiuriza - kujiuliza
Kama bress badala ya bless.

Kama kitu umenifurahisha ni ujelumani! Hahaha! kwahiyo in english ni gelmany au germany? hahaha!
 
Naam! Kuna mwandishi mahiri wa zamani aliyeuliza " kuna nini katika jina" (What's in a name?) Na ndio sababu issue hii inazungumzwa kwa hisia zinazokinzana kwa kiwango kikubwa. Kuna nini katika jina Tanganyika? Kuna nini katika jina Tanzania? Hoja na haja yetu ni nini? Utambulisho? Urithi? Sifa? Amani ya akili na Rohoni?

nadhani umeielewa hoja, kwa mtazamo wangu kwenye Tanzania kuna, uongo, wizi, uvivu, upole uliokithili, uvivu wa kufikili, woga na mengi mengine mabaya, Tanganyika is the bressed land!
 
Ohh masikini jamanii Tulisha mzika marehemu, Na leo baada ya nusu karne wanataka kumfufua !! Sijui watakuta maiti ipo haligani??? Nasikitika na simanzi juu ya msiba wake( Tanganyika alikufa zamani na tukafuta kumbukumbu zake zote) wakuu tuache tafrani hizi siye tupo live TANZANIA na tuishi na Tanzania asilimia 90% wamezaliwandani ya Tanzania wanaijua zaidi kuliko TG. Tuwe watu wenye kuendeleza mbele na siyo kurudisha gurudumu na historiya nyuma. hata zije nchi kumi na ziondoke nchi 10 Tanzania itabaki TANZANIA.God bless Tanzania na watu wake.Pamoja tujenge taifa letu.

Tanganyika alipotelea ughaibuni tuu tukafikili alisha kufa!
 
Nchi hii ni vizuri ikarudia jina lake la asili TANGANYIKA, kwani tukili kataa ni sawa na Mtu analikana jina lake la asili (kikabila), na kujipachika la kigeni. Mfano Mtu anaitwa Kalumanzila akiingia mjini anajiita Buraza Kei!

Tusikatae majina yetu, mbona mikoa na wilaya mpya zinaitwa kwa majina yake yale yale. Kusema Tanganyika litaleta ubaguzi huo ni ujinga, litaleta ubaguzi kivipi? Labda kama tutatunga jina jingine kama walivyofanya Bukinafaso, Zimbabwe, Zambia nk.
 
nadhani umeielewa hoja, kwa mtazamo wangu kwenye Tanzania kuna, uongo, wizi, uvivu, upole uliokithili, uvivu wa kufikili, woga na mengi mengine mabaya, Tanganyika is the bressed land!

Kaka Kasimba...heshima yako! Huoni kama unaikatisha tamaa jamii ya JF na Watanzania kwa tafsiri hiyo? Kubwa zaidi kwa mtazamo wako huu unatueleza kuwa mabadiliko chanya na muafaka ni kupitia matumizi ya jina Tanganyika? Wengi tuna imani kuwa nchi hii bado ni ya matumaini, asali, maziwa na utajiri wa kutosha.
 
Kaka Kasimba...heshima yako! Huoni kama unaikatisha tamaa jamii ya JF na Watanzania kwa tafsiri hiyo? Kubwa zaidi kwa mtazamo wako huu unatueleza kuwa mabadiliko chanya na muafaka ni kupitia matumizi ya jina Tanganyika? Wengi tuna imani kuwa nchi hii bado ni ya matumaini, asali, maziwa na utajiri wa kutosha.

Mkuu i am trying to be a realist! Hebu tuangalie ukweli zaidi!
 
ki historia wakati ujerumani inajigawia tanganyika kuwa koloni lake, ilikuwa super power, jambo la kujiuliza ni kwa nini super power ya wakati huo ikaamua kuacha sehemu nyingi tuu za africa na kujimegea tanganyika?

Tunakumbuka pamoja na u super power wake ujerumani pia walikuwa na ushawishi zaidi, walikuwa kaka mkubwa ndio maana hata mkutano wenyewe wa kuligawa bara la africa ulifanyika kwao berlin.

Maswali ya kujiuliza ni kwanini kaka mkubwa akaamua kujigawia tanganyika? Jibu ni rahisi tuu, tanganyika is the blessed land, wajerumani wanalitambua hilo ila maajabu ni kwamba sisi watanganyika hatulitambui, tena wengine mpaka leo hii.

Kama nchi kosa kubwa lilofanya ni kufuta jina la ubarikiwa tulilopewa na mungu na kuambatana na jina la laana sijui tulilopewa na maono ya mwanafunzi!

Hebu tuirudishe nchi yetu iliyo barikiwa and tuone reaction toka kwa mungu!

God bress tanganyika, god bress africa!

god bless tanganyika
 
kwa bahati nzuri Mungu kanijalia utafiti, can i give you a home work? ongea na mjerumani akuambie maana ya Tanganyika then you will know what i mean! Tanganyika is the blessed name, land!

Ndio kusema NENO TANGANYIKA ASILI YAKE NI UJERUMANI? Kama ndio, inamaana lilikuwepo jina la wenyeji. Lili itwaje?/nchi iliwakilishwa kwa jina gani? Kama TANGANYIKA HALINA ASILI YA UJERUMANI Basi asili yake ni wapi/kabila gani? Na maana yake yaweza kuwa nini?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom