Nchi yenye Rasilimali Kama Tanzania, unataka ujenge uchumi kwa pesa ya Miamala na muda wa hewani bila aibu?

Miaka ya 90 Waziri wa Utalii wa Kenya alikua Mzungu. Aliwasaidia kuweka mifumo ambayo mpaka sasa inawapa faida.

Hebu waza mtalii anaondokaje hajaonja korosho kwenye meal yake, na aelezwe faida ya hii ni hivi na vile. Ukijaribu kuwaza kwa mfano bandari pekee ilitosha kutupatia mapato makubwa mno sasa kwenye huduma unaweka tozo na bei kubwa unadhani kuna mtu atakuja kwako lazima atafute kwenye unafuu, Wajapan wale wanaouza magari USED mtu anashindwa kujiongeza kwenda kuongea nao wafungue branch huku moja kwa moja ili kuwahakikishia kua bei mtazouza tanzania zifanane na japan halafu wao mnunuzi akishanunua ndio analipa zile kodi zao sasa hapo unakua nchi za kusini mwa afrika, afrika mashariki na kati unakua umeteka mahotel yatafanya biashara kubwa na watu wengi watajaa kununua magari hapa na mafuta yatauzwa maana mganda aliekua anaagiza online atakuja hapa na wa nchi nyingine watakuja tu, halafu hapounaambiwa kuna waziri wa biashara ambao hata lobying unaona hawa watu wapo tu
 
Kila mradi nchi hii unakosa usimamizi mzuri. Mwendo kasi pia haina faida ni hasara tupu. Wakati watu wanayatumia kila siku.

Bado mentality za kijamaa, zilituathiri sana no wonder tittle nyingi za kwetu mara dokta, professa, wala hazina faida utasikia huyu kaandika machapisho elfu kumi yanaheshimika duniani unawaza hayo machapisho yamebadilisha namna gani maisha ya watu hata wa jamii zao unakuta hakuna jipya
 
Kwa sasa nimeamini nchi inahitaji mawazo mapya ya kiuongozi hawa wameshajichokea ni vile wananchi hawaoni, utasikia hii sera mara hii sheria ukichunguza unaona kabisa hawa hawaelewi wanachokifanya na wamejawa viburi utahisi wanatumia akili kumbe hakuna lolote
 
Cha ajabu zaidi wameipangia hiyo ela matumizi as if isvthe only source of income kwenye hii nchi..mara kujenga barabAra, mara hospitali mara shule...kwani vyanzo vingine vya mapato vimefia wapi? Nilidhani wangekuwa specific kwenye kitu kimoja baada ya kingine ili wacharge reasonable amount for a specific period of time na sii huu ukanjanja wanaotaka kufanya

Wanachoweza kufanya kwa ufanisi mkubwa ni kukataza mikusanyiko ya Chadema, kosa wapambane na mambo makubwa wao ni chadema tu lakini wajue mbinu wanazotumia ni za muda mfupi sana ukumbuke binadamu ni mnyama na akichoka huna namna ya kumbadilisha
 
Nahisi kuzaliwa Tanzania ni laana kubwa sana maana mtanzania alitakiwa aishi kama mfalme ukanda huu lakini inasikitisha sana inafika hatua eti sukari ni shida, mafuta ya kupikia nayo ni shida wakati unaweza hamasisha kilimo cha michikichi kyela, kigoma na kujenga refinery industries ukaexport nje ziada ya mafuta ya kula hapo umeweka mazingira mazuri ya kiuwekezaji viwanda vitakuja vingi hapohujaweka alizeti inayolimwa allover the country, karanga, ufuta, kote huko kuna mafuta ya kula lakini miaka 60 bado unapambana na mafuta ya kula sababu hauna sera nzuri
 
HILI LA BIASHARA SIYO KAZI YA SERIKALI BALI NI SUAKA LA SECTA BINAFSI

Hebu waza mtalii anaondokaje hajaonja korosho kwenye meal yake, na aelezwe faida ya hii ni hivi na vile. Ukijaribu kuwaza kwa mfano bandari pekee ilitosha kutupatia mapato makubwa mno sasa kwenye huduma unaweka tozo na bei kubwa unadhani kuna mtu atakuja kwako lazima atafute kwenye unafuu, Wajapan wale wanaouza magari USED mtu anashindwa kujiongeza kwenda kuongea nao wafungue branch huku moja kwa moja ili kuwahakikishia kua bei mtazouza tanzania zifanane na japan halafu wao mnunuzi akishanunua ndio analipa zile kodi zao sasa hapo unakua nchi za kusini mwa afrika, afrika mashariki na kati unakua umeteka mahotel yatafanya biashara kubwa na watu wengi watajaa kununua magari hapa na mafuta yatauzwa maana mganda aliekua anaagiza online atakuja hapa na wa nchi nyingine watakuja tu, halafu hapounaambiwa kuna waziri wa biashara ambao hata lobying unaona hawa watu wapo tu
 
E16E98DA-B19B-4DE4-AA0B-16598B0CD305.jpeg
C18CE6ED-EA3E-40C9-997D-3E26EE61FB63.jpeg
 
HILI LA BIASHARA SIYO KAZI YA SERIKALI BALI NI SUAKA LA SECTA BINAFSI

Sekta binafsi haiwezi kushamiri ikiwa kuna sera mbovu, sera zinazoyumba kwa mfano magufuli aliamini serikali inaweza kufanya biashara yenyewe kama yenyewe kumbe alikua anakosea maana ilitakiwa kuandaa mazingira bora yenye ushindani wenye tija huku wao wakijikita kwenye ukusanyaji wa kodi na tozo zinazohimilika kutoka kwenye kampuni binafsi zilizowekeza na sio wao kuingia front kufanya biashara kwa kuua biashara za watu au makampuni mengine kwa mfano fastjet iko wapi hadi leo, kazi ya serikali ni kulea hata bandari anatakiwa atafutwe mtu aisimamie kiweledi huku wao wakiangalia target ya makusanyo lakini kwa sababu hawana maarifa ndio hakuna linalowezekana hata moja
 
Magufuli alikuwa na nia njema na Nchi hii kwa bahati mbaya baadhi ya watu walishindwa kumuelewa
Huyo magufuli ndio aliyetuletea haya matatizo.

Kuanzia kuiba kura na kuleta wabunge vilaza ambao leo ndio hawawezi hata kuishauri serikali juu ya haya makato ya kipuuzi.

Haya yote yameanzia kwake acha kusifia ubwege.
 
Wakuu

CCM sasa imechoka kufikiri, huwezi kua na dhahabu kila kona , Almasi, Makaa ya mawe , Chuma, Korosho, Michikichi, Bahari, Mito, Ardhi safi, Tanzanite, Kahawa, Ufuta, Mbaazi, halafu bila aibu kosa umpe mtanzania unafuu wa maisha unawaza kwenda kuongeza kodi kwenye miamala ya simu eti unajenga uchumi Tuamini sasa nchi haina wachumi.

Huwezi kutaka mapato ambayo haushiriki kuyatengeneza yaani uwaze tu kuvuna bila kupanda kwenye mafuta wameongeza kodi wananchi wako kimya mkumbuke unapoongeza bei ya mafuta na bidhaa hupanda bei hivo gharama za maisha zinapanda,

Walikaa watu wakabuni M PESA wakatatua tatizo la kutuma na kupokea pesa, wewe hujakaa kubuni chochote unataka upate mapato tena kwa kuumiza watu, wanatakiwa kupumzishwa hawa maana kiwango chao cha kufikiri kimefika mwisho

Rasilimali zote hizo bado ukaumize watu, miaka 60 ya uhuru bado nchi haiwezi kujenga barabara hadi ichangishe kwenye miamala vipi M PESA , TIGO PESA , zisingekuepo wangekuja na hoja gani? Wananchi amkeni.
Bila kusahau miamala hiyo n kwa wananchi wa chini kabisa akina sisi, matajiri hawatumii m pesa wao Wana deal na Bank transaction tuu, bibi na Babu zetu kijijini ndiyo wanao umia na miamala, halafu anasimama mnyiramba mmoja anakwambia Kama hutaki hamia Burundi,
Huyohuyo anaye ongea hivyo ana kula, ana kunywa na kila kitu anafanyiwa na wananchi hawahawa anao taka wahamie Burundi,kiukweli viongozi wetu wanadharau Sana, nilitegemea hata aombe msamaha kwa kauli Ile lakini busara ime mpita kushoto.
 
Hii nchi aliiweza magufuli marehemu alikuwa practical zaidi mpaka kuingia mkataba wa nickel .. kwa mwendo wa viongozi washamba wasingeingia ile partnership...sisi tunaviongozi washamba sana wa maendeleo
 
Hakuna mchumi pale ni polojo tuu hajui chochote yule ni janga la Taifa...
Na sijui kwanini wana mng'angania huyu mtu jamani, mpaka inanifanya niamini uchawi upo, wakati wa mwenda zake aliboronga akatimuliwa Mara nikasikia amerudishwa,
Mama nae kuingia tu kaanza na huyo huyo, ninini shida na huyu mtu jamani, kwani hakuna wengine?? Au ni yale mavazi??
 
Ndio maana utajua kwa nini nchi haisongi mbele, aina ya viongozi wanaodandia ubunifu wa watu wengine wao hawana kitu chochote cha kubuni ni hatari sana halafu kutegemea kuongeza tozo kwenye mafuta, tozo kwenye vocha ndio upate pesa za kujenga miundombinu ni aibu kubwa
Raisi Kennedy amesema huwezi kuwaongezea kodi wananchi utegemee kupata maendeleo au pato liongezeka watafakari hili viongozi na bunge bovu
 
Cha ajabu zaidi wameipangia hiyo ela matumizi as if isvthe only source of income kwenye hii nchi..mara kujenga barabAra, mara hospitali mara shule...kwani vyanzo vingine vya mapato vimefia wapi? Nilidhani wangekuwa specific kwenye kitu kimoja baada ya kingine ili wacharge reasonable amount for a specific period of time na sii huu ukanjanja wanaotaka kufanya
Wakati huohuo mihifadhi ama Conservator ana badilisha Vxv8 Kama za ml 350 Kama chupi t, zipo Tatu pale Ngorongoro, na kila muhifadhi analo, Achilia mbali huduma zingine Kama kujilipa night allowances vile wanavyo taka, hata kama safari cyo ya kulala mtu ata taka night mbili,
 
Back
Top Bottom