Nchi ya Rwanda na Rais wake Paul Kagame wamekuwa mfano bora na wa kuigwa katika kupambana na COVID-19

Bora ujisahaulishe hivyo hivyo,

Tumehifadhi babu zako, wajomba na dada zako hapa kwa kipindi chote wakati hampo stable kiuchumi wala kisiasa(60s-90s) na wengi tumeshawafukia hapahapa kwenye ardhi yetu na hivi ndivyo mnavyo tulipa kwa ukarimu na utu wetu?

Kweli shukrani ya punda ni mateke na sisi tunazidi kujifunza kutokana na makosa tuliofanya mwanzo





Sent using Jamii Forums mobile app
 
nimekumbuka Dada zake wanavyorefusha nyeti na akili zako zako kama zimerefushwa kabla ya muda wake


USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Hii kitu inauma na inaumiza sana kwenye hiki kipindi cha mlipuko wa Covid19...

Hakuna unafuu, taratibu wala mikakati yoyote ya kupunguza makali...


5. Wanajali sana Mapato ya Kodi kuliko kujua idadi ya Wagonjwa wanaoongezeka



Cc: mahondaw
 
Safi sana Mkuu hebu dhidi Kumuelimisha huyo Mpuuzi na wapo wengi mno hapa ( katika Uzi ) wangu wamechangia Kipuuzi Kipuuzi hivyo hivyo. Wanyooshe Mkuu hadi waipigie Saluti Rwanda na Rais wake Paul Kagame.
Wewe POPOMA jasusi fake unastahili kutekwa
 
Watanzania Ni misukule Nani kakwambia lockdown Ni lazima case zipungue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
M

broken ages
Mbona umeniquote Mimi na kunivisha tuhuma zisizokuwepo hayo maswali muulize mtoa mada sio Mimi.
GIRITA samahani sana naomba niwie radhi maana nilikuwa namaanisha kumjibu mtoa mada ambaue ni GENTAMYCINE
na kwa bahati mbaya nikawa nimeku-quote wewe naomba GENTAMYCINE anielewe na wala sina sababu ya kumtuhumu ila nilikuwa tu na maana ya kumwelewesha ili aelewe kwamba TANZANIA hatujifunzi kuishi kama Rwanda ama nchi nyingine yeyote bali tunaishi kama TANZANIA na tunapaswa kuwapenda,kuwathamini na kuwamini viongozi wetu na hasa mkuu wa nchi yetu.
 
Mkuu tutumie muda mwingi kuelimisha jamii namna ya kujikinga na ugonjwa huu, tuache lawama

Wataacha vipi kulaumiwa kama wamejikita kwenye kufanya ndivyo sivyo?

Nini kisichojulikana kuhusiana na ugonjwa huu?
 

Ni aibu kuwa bunge linaendelea.

Bajeti gani wakuu wakati Corona inaweza kuja kutusambaratisha?

Kwanini posho mnazolipana zisije huku kuunga mkono juhudi za kumaliza ugonjwa huu hapa nchini?
 
Mkuu tutumie muda mwingi kuelimisha jamii namna ya kujikinga na ugonjwa huu, tuache lawama
Nimetoka Musoma juzi lakini nilichokiona huko njiani ni kuwa mabasi mengin ehayafuati maelekezo yaliyotolewa na serikali hasa matumizi ya vitakasa mikono kwa abiria. Watu wanapanda bila kutumia vitakasa mikono. Kwa kweli eleimu lazima itolewa na ikibidi kuwepo na ukaguzi standi za mabasi na hata ndani ya basi lenyewe kama kuna vitakasa mikono
 

Kwani ungewasilisha Hoja yako tu bila Kuitaja Musoma isingeeleweka?
 
Mkuu kwa kuwa unauwakika wa kupokea salary ya magufuli kila mwezi ndo unataka na sisi tufungiwe ndani kama hako kakijiji ka Rwanda ili upate sababu ya kushinda kwenye tv ukiangalia mchezo na mkeo?, maisha sio copy and past acha wao wafanye yao kivyao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…