shakur kimboka
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 268
- 357
Bora ujisahaulishe hivyo hivyo,Kuna nchi moja hapa hapa Afrika Mashariki ( nimeisahau Jina kwa sasa ) nasikia ina ' cases ' kama 1350 hivi za wenye COVID-19 na waliokufa hadi sasa ni zaidi ya 75 wanakimbilia 95 sasa. Na nasikia hiyo nchi ukitaka uwekwe ndani Wewe sema tu idadi Kubwa ya wenye COVID-19 utakiona cha Moto. Na hiyo nchi ilivyo ya Kishamba eti yenyewe inadhani kusema kuwa ina Maambukizi mengi ya COVID-19 ni aibu kwa Jumuiya ya Kimataifa ( Duniani )
Ni bahati mbaya sana hiyo nchi nimeisahau kwa Jina ila nikiikumbuka huko mbeleni katika huu huu Uzi wangu nitaitaja tu. Wenye Akili Kenya, Rwanda na Uganda wala hawafichi na wanaonyesha kweli kweli Juhudui zao katika Kupambana na COVID-19 na pia katika Kuwaokoa Watu ( Wananchi ) wao.
Sijui ni kwanini nimeisahau ghafla hiyo nchi. Naanza Kuzeeka ( Kukongweka ) sasa nadhani.
Itakua Kawaambia Wana nchi wake Wasitishike wakati yeye katishika na kalala mbeleNasikia ni yule wa Malawi Mkuu au?
Kama Rwanda haina ' Rasilimali ' nyingi kama zilizoko nchini Kwako lakini Rais wake anaweza Kujibana na Kuzitumia hizo hizo ndogo na nchi yake inaenda na hata Kuiacha yako Kimaendeleo je, huoni kuwa Wewe ambaye una ' Rasilimali ' nyingi ( lukuki ) na idadi hiyo Kubwa ya Watu lakini hamna mbele wala nyuma mtakuwa na ' Upopoma ' mwingi? Nasubiri jibu lako juu ya hili tafadhali.
Wewe POPOMA jasusi fake unastahili kutekwaSafi sana Mkuu hebu dhidi Kumuelimisha huyo Mpuuzi na wapo wengi mno hapa ( katika Uzi ) wangu wamechangia Kipuuzi Kipuuzi hivyo hivyo. Wanyooshe Mkuu hadi waipigie Saluti Rwanda na Rais wake Paul Kagame.
Baada ya haya matatizoMnyonge mnyongeni haki yake mpeni, mtoa mada kamwaga sifa kwa PK na kutoa wasifu mbaya kwa nchi ya kusadikika.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwahiyo ulitaka wapewe Hadi pilipili za kulia mbogaRwanda wanalalamika kua wanapewa kilo moja tu bila kuangalia idadi ya familia no mboga noo mkaa no chochote zaidi ya unga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Watanzania Ni misukule Nani kakwambia lockdown Ni lazima case zipungueAcha ujuaji ww mtoa mada.
Unasema Rwanda mfano wa kuigwa mbona licha yalockdown yao Bado maambukizi yanazidi kuongezeka kuliko nchi zote za EA, mpaka kagame ameamua kuongeza mda wa lockdown mpaka 19 April?
Unasema nchi zinaficha data sahihi, twambie wewe unayejua zilizokamili.
Tatzo upinzani wako umekuharibu akili.
Nyie ndo mnapenda kila siku kusikia idadi ya wagonjwa wameongezeka TanzaniA.
Kwa taarifa yako hakuna lockdown Tanzania na Mungu mkuu yupo juu ya ardhi hii sasa.
Mnatumwa na mabeberu
GIRITA samahani sana naomba niwie radhi maana nilikuwa namaanisha kumjibu mtoa mada ambaue ni GENTAMYCINEM
broken ages
Mbona umeniquote Mimi na kunivisha tuhuma zisizokuwepo hayo maswali muulize mtoa mada sio Mimi.
Mkuu tutumie muda mwingi kuelimisha jamii namna ya kujikinga na ugonjwa huu, tuache lawama
Serikali ya Rwanda kupitia Rais wake imefanya yafuatayo..
1. Inawajali Wananchi wake mara kwa mara juu ya Ugonjwa
2. Inatoa Msaada wa Vyakula bure kabisa kwa Wananchi wake
3. Inatoa bure kabisa Vifaa vya Kujiinga na Ugonjwa kwa Wananchi wake
4. Waziri wake wa Afya hana Unafiki katika Kutoa Taarifa sahihi kwa Wananchi
5. Kwa Rwanda huu Ugonjwa siyo wa Aibu au wa Kuficha kwa Jumuiya ya Kimataifa
6. Viwanja vya Ndege na Mipaka yote Umakini umeongezeka na Kudhibitiwa
7. Imeunganisha nguvu na Jumuiya ya Kimataifa katika Kutafuta Suluhu ya Ugonjwa duniani
Serikali zingine duniani na Marais wao wamefanya yafuatayo
1. Wanaficha Taarifa za Wagonjwa kwa Wananchi wao
2. Marais wao wanajificha Kuuongelea wakidhani ni Ugonjwa la laana
3. Mawaziri wao wa Afya wakizungumza ni Kuchekacheka tu kama Ngiri na Mizaha mingi
4. Wananchi wao wanajazana hovyo hadi Kujambiana sana katika DalaDala
5. Wanajali sana Mapato ya Kodi kuliko kujua idadi ya Wagonjwa wanaoongezeka
6. Wanaficha Taarifa za Ugonjwa ila chini chini wanaomba Misaada ya Pesa WB
7. Viongozi wao wanakataza Mikusanyiko ila wao wakiongea wanakusanya Watu wengi
Nchi zingine za Afrika bado hajizachelewa Kuiiga Rwanda na hasa Kumuiga Rais wake Mahiri na bora kabisa Paul Kagame.
Nimetoka Musoma juzi lakini nilichokiona huko njiani ni kuwa mabasi mengin ehayafuati maelekezo yaliyotolewa na serikali hasa matumizi ya vitakasa mikono kwa abiria. Watu wanapanda bila kutumia vitakasa mikono. Kwa kweli eleimu lazima itolewa na ikibidi kuwepo na ukaguzi standi za mabasi na hata ndani ya basi lenyewe kama kuna vitakasa mikonoMkuu tutumie muda mwingi kuelimisha jamii namna ya kujikinga na ugonjwa huu, tuache lawama
Hatulipi kodi?Kagame atashindwaje kuhudumia hako ka Kijiji,hata wewe ukiwa Raisi wa Rwanda utaweza kuwalisha na kuwataza Wanyarwanda wote, lakini siyo li nchi la Tanzania. Hili ni bara Mzee.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kodi hatulipi?Rwanda ina watu kama wa ubungo pekee ndio unalinganisha na watu mil 63
Tumia akili kufikiri
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimetoka Musoma juzi lakini nilichokiona huko njiani ni kuwa mabasi mengin ehayafuati maelekezo yaliyotolewa na serikali hasa matumizi ya vitakasa mikono kwa abiria. Watu wanapanda bila kutumia vitakasa mikono. Kwa kweli eleimu lazima itolewa na ikibidi kuwepo na ukaguzi standi za mabasi na hata ndani ya basi lenyewe kama kuna vitakasa mikono