Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,014
- 144,371
Nadhani mpaka sasa mmeshajionea maajabu na undumilikuwili wa wanasiasa wetu, hivyo ni jukumu lenu kuamua kama demokrasia mnayoipigania ndio imewewaka wanasiasa wetu madarakani au laa, na kisha muamue kutoa fedha zenu au vinginevyo.
Chagueni kusimama na wananchi au kusimama na wanasiasa.
Kazi kwenu.
Chagueni kusimama na wananchi au kusimama na wanasiasa.
Kazi kwenu.