Nchi nyingi zakatisha mahusiano na Israel. China waifuta kabisa kwenye ramani. Tanzania tufuatie

Webabu

JF-Expert Member
Apr 29, 2010
7,192
10,926
Mpaka nikiandika mataifa yaliyokarisha uhusiano na Israel yamefikia 9. Kwa unyama inaofanya taifa hilo hasa kuuwa watoto ikifika kesho jioni watakaokuwa wamebaki watakuwa ni wachache.

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo hazikuwa na mafungamano na taifa hilo ovu mpaka baada ya miaka mitatu iliyopita.

Uamuzi wa serikali zilizopita ulikuwa sahihi.Huenda wangekuwa hai viongozi wa mwanzo wa taifa hili maarufu kwa kupigania haki za wanyonge basi Tanzania ingekuwa kati ya nchi za mwanzo kufunga ubalozi wake mjini Tel Aviv.
Mataifa yaliyokatisha mahusiano hayo ninayoyakumbuka kwa haraka ni Bolivia,Lebanon,Turkiye,Afrika Kusini,Jordan na kuendelea.

Kwa kiburi ilichonacho Israel na kukataa kusikiliza nasaha za ulimwengu mzima, kukatisha uhusiano ni jambo dogo hata hivyo ni kuonesha moyo na huruma kwa maelfu ya watoto na wanawake wanaouliwa huko Palestina.

Kilichotakiwa hasa ni mataifa kutuma vikosi vyao chini ya UN kwenda kuwapiga Israel ili waache kuuwa watu kama shetani.
 
Mpaka nikiandika mataifa yaliyokarisha uhusiano na Israel yamefikia 9. Kwa unyama inaofanya taifa hilo hasa kuuwa watoto ikifika kesho jioni watakaokuwa wamebaki watakuwa ni wachache.

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo hazikuwa na mafungamano na taifa hilo ovu mpaka baada ya miaka mitatu iliyopita.

Uamuzi wa serikali zilizopita ulikuwa sahihi.Huenda wangekuwa hai viongozi wa mwanzo wa taifa hili maarufu kwa kupigania haki za wanyonge basi Tanzania ingekuwa kati ya nchi za mwanzo kufunga ubalozi wake mjini Tel Aviv.
Mataifa yaliyokatisha mahusiano hayo ninayoyakumbuka kwa haraka ni Bolivia,Lebanon,Turkiye,Afrika Kusini,Jordan na kuendelea.

Kwa kiburi ilichonacho Israel na kukataa kusikiliza nasaha za ulimwengu mzima, kukatisha uhusiano ni jambo dogo hata hivyo ni kuonesha moyo na huruma kwa maelfu ya watoto na wanawake wanaouliwa huko Palestina.

Kilichotakiwa hasa ni mataifa kutuma vikosi vyao chini ya UN kwenda kuwapiga Israel ili waache kuuwa watu kama shetani.
Hahahaha we jamaa tupe habari za yanayoendelea hapo Sudan sasa
 
Wachina wana hasira na wayahudi, wanadai Wayahudi ndiyo waliofinance Upeneyezaji wa madawa ya kulevya(OPIUM)uliokuwa unafanywa na waingereza kwa jamii za wachina ili wachina wapate uraibu halafu Uingereza iweze kutawala uchumi wa China. Hii ilipelekea mfalme wa China kutangaza vita dhidi ya uingereza katika ile inayoitwa Opium wars kitu kilichopelekea China kushindwa vita na moja ya athari hiyo ni Hongkong kuangukia mikononi mwa China kwa miaka zaidi ya 100
 
Mpaka nikiandika mataifa yaliyokarisha uhusiano na Israel yamefikia 9. Kwa unyama inaofanya taifa hilo hasa kuuwa watoto ikifika kesho jioni watakaokuwa wamebaki watakuwa ni wachache.

Tanzania ni miongoni mwa nchi ambazo hazikuwa na mafungamano na taifa hilo ovu mpaka baada ya miaka mitatu iliyopita.

Uamuzi wa serikali zilizopita ulikuwa sahihi.Huenda wangekuwa hai viongozi wa mwanzo wa taifa hili maarufu kwa kupigania haki za wanyonge basi Tanzania ingekuwa kati ya nchi za mwanzo kufunga ubalozi wake mjini Tel Aviv.
Mataifa yaliyokatisha mahusiano hayo ninayoyakumbuka kwa haraka ni Bolivia,Lebanon,Turkiye,Afrika Kusini,Jordan na kuendelea.

Kwa kiburi ilichonacho Israel na kukataa kusikiliza nasaha za ulimwengu mzima, kukatisha uhusiano ni jambo dogo hata hivyo ni kuonesha moyo na huruma kwa maelfu ya watoto na wanawake wanaouliwa huko Palestina.

Kilichotakiwa hasa ni mataifa kutuma vikosi vyao chini ya UN kwenda kuwapiga Israel ili waache kuuwa watu kama shetani.
Hao ni washenzi.

Walitaka Israel ilipovamiwa na raia wake kufuliwa bila sababu ifanyeje?


Hao wote ni MAGAIDI.
 
Wayahudi wakiamua kutorudi nyuma, huwa hawarudi, ni watu wenye msimamo sana
Safi Sana na huo ndo uamuzi wa kiume . " Lengo letu ni kuhakikisha tunawamaliza HAMAS, popote walipojificha tutapafikia bila kujali madhara yatakayotokea " by Netanyahu 🇮🇱🇮🇱🇮🇱
😂😂
MTTm4CaGzKnZ68cL.jpeg
 
Wachina wana hasira na wayahudi, wanadai Wayahudi ndiyo waliofinance Upeneyezaji wa madawa ya kulevya(OPIUM)uliokuwa unafanywa na waingereza kwa jamii za wachina ili wachina wapate uraibu halafu Uingereza iweze kutawala uchumi wa China. Hii ilipelekea mfalme wa China kutangaza vita dhidi ya uingereza katika ile inayoitwa Opium wars kitu kilichopelekea China kushindwa vita na moja ya athari hiyo ni Hongkong kuangukia mikononi mwa China kwa miaka zaidi ya 100
Miaka 100 nyuma Israel state haikuwepo. Usitupige kamba.
 
Hao ni washenzi.

Walitaka Israel ilipovamiwa na raia wake kufuliwa bila sababu ifanyeje?


Hao wote ni MAGAIDI.
Tangu vita hii ianze katibu mkuu wa UN, Antonio Gutierrez alikuwa anawalalamikia Israel kuwa wasitishe mashambulizi.

Israel wakamkatalia ndo kwanza wakamwambia awaondoe wafanyakazi wa mashirika ya UN hapo Gaza Kwa maana wanataka kukichafua .

Katibu mkuu ameona kuendelea kuwalalamikia Israel wasitishe mashambulizi hiyo mbinu haileti matunda yoyote.

Jana aka tweet kuwa anawaomba HAMAS iwaachie mateka wa Israel Ili kuokoa mauaji yanayoendelea Gaza , nenda tweeter ukasome comments za waarabu na waislam walivyomuijia juu😂😂😂.

Kwa kifupi jamaa wanamlalamikia Israel wakati huo hawataki uwalaumu HAMAS 😅😅😅
 
Back
Top Bottom