johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,931
- 141,894
Nimeona nchi nyingi za Afrika zikiongozwa na kinara wa uchumi Afrika kusini hazijapiga kura kuhusiana na mgogoro wa Ukraine na Russia pale UN
Nchi hizo zimeungana na China ambaye pia hajapiga kura.
Ndio nauliza kuwa kundi moja na China ndio Kutofungamana na Upande wowote?
Ingekuwaje kama China angemuunga mkono Russia?
Maendeleo hayana vyama!
Nchi hizo zimeungana na China ambaye pia hajapiga kura.
Ndio nauliza kuwa kundi moja na China ndio Kutofungamana na Upande wowote?
Ingekuwaje kama China angemuunga mkono Russia?
Maendeleo hayana vyama!