a sinner saved by Christ
JF-Expert Member
- Feb 19, 2017
- 1,991
- 2,241
serikali wachimbe visima ,kisha waisambaze maji ya visima.
Changa miaka 64???Ushasema wenzetu wana black gold. Ile pesa inafaa kufanya lolote . Bajeti yetu ndogo, taifa letu changa ndugu . InshaAllah tutafika.
Miaka nenda miaka Rudi Taifa hili halijabalehe ... Bajeti yenu ndogo........ Majibu ya kitapeli kabisa haya.taifa letu changa ndugu . InshaAllah tutafika
Mnatupigia kelele tu hapa.
Tatizo linaeleweka ni kwamba vyanzo vya maji vumeharibiwa kwa kuchepushwa kwa maji, watu wamekata na wanaendelea kukata miti kwenye misitu ya asili wanatengeneza mikaa bila kukemewa na kuchukuliwa hatua.
Mmekutana wote wasaka tonge(UTEUZI).Asante kwa kufikiri kwa kina , swala la mazingira ni pana sana. Watu wengi wanaliona kama ni dogo ila mazingira ndio kila kitu. Mazingira yanayotuzunguka kuanzia miti, vyanzo vya maji , mabonde , milima , vyombo vya moto tunavyotumia , taka tunazotumia , wanyama tunaowala na kilimo vyote hivi vinaathiri maisha yetu . Joto limezidi duniani kote , barafu zinayeyuka sehemu mbali mbali za dunia . Visiwa na majiji vinamezwa kwa uongezekaji wa maji bahari. Mengi yapo , swala ni utunzaji wq mazingira , sote tunapaswa kuwajibika.
Kuchimba visima kwamba serikali pia haiwezi??we kweli mzalendo uchwaraUshasema wenzetu wana black gold. Ile pesa inafaa kufanya lolote . Bajeti yetu ndogo, taifa letu changa ndugu . InshaAllah tutafika.
Very simple kabisaserikali wachimbe visima ,kisha waisambaze maji ya visima.
Tatizo ni la viongozi wenye mamlaka ambao hawana nia ya dhati ya kumaliza tatizo la maji ,wao wanachowaza wakishaingia madarakani ni kutumia pesa za kodi kubakia madarakani.Una ziwa Victoria la 2 kwa ukubwa Duniani,ziwa Tanganyika lenye kina refu zaidi Duniani,ziwa nyasa,mto mara,maragarasi,ruaha,na mingine mingi bado una sehemu kubwa ya bahari kwamba huko maji yamekauka kutokana na mabadiliko ya tabia nchi au sio???
Bado una ardhi isiyo kame zaidi ya 10% imejaaa maji chini.
Tuache masihara basi unaotokana na uzembe wetu.
Yaani katika vitu rahisi kutatua kwa 100% kwa hapa TZ ni maji lakini nashangaa imekuwa ni JANGA kweli kwenye miti hakuna WAJENZI.........TZ nzima imezungukuwa na water bodies kama zote ,ardhini maji safi na salama kama YOTE lakini DAR nzima week ya pili hakuna MAJI halafu kutwa kumsifia Aweso Aweso Aweso NON SENSE.Ila kuna vitu vya msingi sana havitakiwi kukosekana jamani. Basi maji kweli, maji!!!!!! Kuna watu wanabeba dhima kubwa sana hawajui tu
Halafu ukaniambie nichague chama kikae madarakani ili kinihilikishe...big no
Wao mbona hawakosi maji wala umeme!!!!!! Hawajui wananchi vipi tunaumia na joto hili 🥵
Aisee we jamaa umeongea point sana, kila siku huwa nawaza kwanini DSM hairejeshewi kama inavyoingiza??, yan huwa inafikirisha sana sehemu inayo changia pato la taifa kwa zaidi ya 18% lakini ndo sehem ambayo wanachi wake wanazidi kuteseka, kuanzia miundombinu ya usafiri na barabara na maji. Ki ukweli mapato yanayotokana na dar kuyatumia hayo hayo kuboresha miundominu na mikoa mengine halaf wananchi wanaotafuta hayo mapato wanateseka ni kitu cha kifedhuli sana.Dar kukosa Maji ni sawa na baba mwenye NYUMBA ununue Kuku jogoo aliyekomaa na wakati wa kula wakupe miguu ya jogoo
Ikiwa DSM inashikilia uchumi wa nchi kwa 80% je hatuwezi kuona Aibu kuwakosesha Maji
We don't need to find excuse on this