Raia Fulani
JF-Expert Member
- Mar 12, 2009
- 11,866
- 4,252
Bwana nepi... Sore, nape usihofu. Tutawapa hao madiwani matatu then tutakuongezeeni na shibuda. Hapo vipi
wewe kijana kumbe mjinga. diwani kachaguliwa na wananchi wa arusha. unataka atumie akili ya kuambiwa na chadema makao makuu.
tumechagua madiwani wa nini. tuchague chama basi.
ndio maana pamoja na chadema kukutenda ukabaki kujiumauma tu. mwanasiasa asiye na msimamo wake ni zuzu wa siasa.
kanuni gani hapo imevunjwa. pelekeni roboti wakawawakilishe.
mtazamo wangu binafsi arusha madiwani ambao kwakweli ni wawakilishi wa wananchi na bahati mzuri hakuna aliyepinga kuchaguliwa kwai udiwani, wamekaa na kuamua kumaliza tofauti zao, leo viongozi wao wanapokataa muafaka ule maana yake uzalendo kwa chama ni mkubwa kuliko kwa wananchi wa arusha?
kwa hili la arusha nilidhani ingekuwa wananchi kwanza, chama baadae
Na tume yao ya uchaguzi.Toka lini CCM mkawa na mtazano huo! mbona haikuwa rahisi kuachia chaguo la wananchi juu ya uraisi?... nadhani CCM ishukuru uungwana wa DR Slaa kukaa kimya juu ya wizi wa kura uliofanywa na CCM na NEC yake, amasivyo yangetokea ya kenya
Nnauye,
Come'n!
Unataka Chadema ije mezani katika bargaining/negotaition na bakuli la damu ya watu wanaodai haki huku upande mwingine CCM ije na Unaibu Meya kwa kwa kuvuruga kanuni,kutokufuata sheria,uhalifu wa kisiasa kwa gharama ya damu ?
I need you make something clear: BALANCE in two senses societal and individual.
Societal Balance of Justice demands that that which is good for the goose should be good for the gander in a just society for this reason it is incontestable that we all desire that all non-principled elements be equally prosecuted.
Individual Balance of Justice demands that each man individually will reap what he sows: a karmic effect if you like namely that if you jump up you will fall down, and that what goes around comes around.
Thus in the first sense we speak about societal equality, social justice. In the second sense we speak of justice to the individual.
Chadema ni chama kinachojijenga katika misingi ya maadili,haki na wajibu.Chadema ni tofauti sana na CCM ambayo imekuwa chanzo cha ukosefu wa nidhamu,maadili na hivyo kupoteza uwezo na hata moral Authority ya kuiwajibisha serikali yao pale inapokosa nidhamu kwa wananchi wake.Sidhani kama ni jambo la kheri kwa chama chochote makini cha siasa kulea utovu wa nidhamu,matokeo yake tutakuwa kama CCM ambayo katibu mwenezi wake wa sasa ana historia ya kukosa nidhamu hadi kutaka kuanzisha chama kingine (CCJ) na kufanya jitihada za kugombea ubunge kupitia chama kingine!
Suala la Arusha ni lazima lihusishe makao makuu ya chama cha Chadema,hili ni suala la kitaifa.Ndiyo maana haikuwa makosa kwa katibu mkuu wa chama enzi zile Yusuf Makamba kuliongelea,Ndiyo maana haikulalamikiwa kwamba mbona waziri mkuu Mizengo Pinda kaliongelea(Pamoja na kutuhumiwa kufanya jitihada za aibu za kulidanganya bunge na taifa). Tatizo la Chadema si umeya,haki na wajibu ambao unatokana na kufuata kanuni,taratibu na sheria ndiyo maslahi yanayotakiwa.Muafaka/suluhisho lolote litokanalo na ubakaji wa Demokrasia bila kuzingatia misingi ya haki,kujitoa sadaka nk. ukiachwa utakuja kushuhudia makubaliano ya kuhujumu haki,chama na itikadi! sidhani kama chadema inataka kufika huko.
Siku zote mimi nasema,yeyote anayevunja kanuni,ni lazima adhibiwe kwa mujibu wa kanuni bila kujali uwezo,cheo,rangi,kabila,dini,itikadi na hata Jinsia! Hii ndiyo siasa ya demokrasia ya vyama vingi iliyotokana na watu kwa ajili ya watu!
Mtazamo WANGU binafsi Arusha madiwani ambao kwakweli NI wawakilishi WA wananchi na bahati mzuri hakuna aliyepinga kuchaguliwa Kwai udiwani, wamekaa na kuamua KUMALIZA tofauti zao, Leo viongozi wao wanapokataa muafaka ule maana yake UZALENDO KWA CHAMA NI MKUBWA KULIKO KWA WANANCHI WA ARUSHA?
Kwa hili la ARUSHA NILIDHANI INGEKUWA WANANCHI KWANZA, CHAMA BAADAE
Mtazamo WANGU binafsi Arusha madiwani ambao kwakweli NI wawakilishi WA wananchi na bahati mzuri hakuna aliyepinga kuchaguliwa Kwai udiwani, wamekaa na kuamua KUMALIZA tofauti zao, Leo viongozi wao wanapokataa muafaka ule maana yake UZALENDO KWA CHAMA NI MKUBWA KULIKO KWA WANANCHI WA ARUSHA?
Kwa hili la ARUSHA NILIDHANI INGEKUWA WANANCHI KWANZA, CHAMA BAADAE
ben
nimependa sana hoja yako,napenda sana jinsi unavyojua kujieleza.ukiachana na kambi yenu ya kuweka mkakati wa kuweka mgombea uenyekiti wa taifa chadema 2013,utafika mbali sana kisiasa.hilo kundi lenu la akina zitto na kitila achana nalo.hili suala la arusha nalo lisije likaibua mgogoro.
Nape bwana kumbe upo na ID kibao!
uTOTO WA NAPE UNAPOKUJA NIKUKIMBIA HOJA MIMI NDO NAMWOONA MPUMBAVU MJINGA WA MWISHO, NJOO TUYAMALIZE KWANINI USIFUATE YA MALECELA JR, MWENZIO HUWA ANAJIBU HOJA KWA HOJA SASA WEWE KAMA SI KUJIZALILISHA NI NINI UNATUAONA WOOTE HUMU WATOTO WADOGO?Mnahangaika nini kumjibu huyu Nape?
Nilishasema zamani sana kuwa huyu jamaa ni kama F-16. Atakuja kurusha kombora na kurudi zake kwenye Base.
Sasa hivi kaandika na hatokei hapa tena na nyie mnakaa kumjibu wakati yeye sasa hivi anaendelea na shughuli zake na wapambe wanampa tu habari jinsi watu wanavyomshukia. Yeye huko ndiyo anachekaaaaa......
Ni Msanii, mpotezeni.![]()
wewe kijana kumbe mjinga. diwani kachaguliwa na wananchi wa arusha. unataka atumie akili ya kuambiwa na chadema makao makuu.
tumechagua madiwani wa nini. tuchague chama basi.
ndio maana pamoja na chadema kukutenda ukabaki kujiumauma tu. mwanasiasa asiye na msimamo wake ni zuzu wa siasa.
kanuni gani hapo imevunjwa. pelekeni roboti wakawawakilishe.
Ben
Nimependa sana hoja yako,napenda sana jinsi unavyojua kujieleza.Ukiachana na kambi yenu ya kuweka mkakati wa kuweka mgombea Uenyekiti wa taifa Chadema 2013,utafika mbali sana kisiasa.Hilo kundi lenu la Akina zitto na kitila achana nalo.Hili suala la Arusha nalo lisije likaibua mgogoro.
hapo kwenye red,bado ben hujaacha mambo ya makundi?