Mtazamo WANGU binafsi Arusha madiwani ambao kwakweli NI wawakilishi WA wananchi na bahati mzuri hakuna aliyepinga kuchaguliwa Kwai udiwani, wamekaa na kuamua KUMALIZA tofauti zao, Leo viongozi wao wanapokataa muafaka ule maana yake UZALENDO KWA CHAMA NI MKUBWA KULIKO KWA WANANCHI WA ARUSHA?
Kwa hili la ARUSHA NILIDHANI INGEKUWA WANANCHI KWANZA, CHAMA BAADAE
.......
Kwa hili la ARUSHA NILIDHANI INGEKUWA WANANCHI KWANZA, CHAMA BAADAE
Unajua watu wengine ni waajabu sana. Yaani hilio umeliona lifanyike kwa Arusha tuu? Hebu ushauri huo kawape wabunge wa CCM pale Dodoma, waeleze kuwa wananchi kwanza chama baadae. Tutakuelewa,vinginevyo ukifanyacho hapa ni uvuvuzela.Mtazamo WANGU binafsi Arusha madiwani ambao kwakweli NI wawakilishi WA wananchi na bahati mzuri hakuna aliyepinga kuchaguliwa Kwai udiwani, wamekaa na kuamua KUMALIZA tofauti zao, Leo viongozi wao wanapokataa muafaka ule maana yake UZALENDO KWA CHAMA NI MKUBWA KULIKO KWA WANANCHI WA ARUSHA?
Kwa hili la ARUSHA NILIDHANI INGEKUWA WANANCHI KWANZA, CHAMA BAADAE
Nape ungewafundisha hilo wale wabunge wa chama chako wanaoimba ngonjera za kusifia bajeti a100% baadae wanaanza kuorodhesha mapungufu na matatizo kibao!!
Mtazamo WANGU binafsi Arusha madiwani ambao kwakweli NI wawakilishi WA wananchi na bahati mzuri hakuna aliyepinga kuchaguliwa Kwai udiwani, wamekaa na kuamua KUMALIZA tofauti zao, Leo viongozi wao wanapokataa muafaka ule maana yake UZALENDO KWA CHAMA NI MKUBWA KULIKO KWA WANANCHI WA ARUSHA?
Kwa hili la ARUSHA NILIDHANI INGEKUWA WANANCHI KWANZA, CHAMA BAADAE
Mtazamo WANGU binafsi Arusha madiwani ambao kwakweli NI wawakilishi WA wananchi na bahati mzuri hakuna aliyepinga kuchaguliwa Kwai udiwani, wamekaa na kuamua KUMALIZA tofauti zao, Leo viongozi wao wanapokataa muafaka ule maana yake UZALENDO KWA CHAMA NI MKUBWA KULIKO KWA WANANCHI WA ARUSHA?
Kwa hili la ARUSHA NILIDHANI INGEKUWA WANANCHI KWANZA, CHAMA BAADAE
Bravo kaka naona uko deep kwa wazee wa aria na soprano.big upThank you Mr Ludwig Van Beethoveen...hili hata mie nalishangaa....na hata AMADEOUS WOLFGANG MOZART akifufuka atashangaa pia!!Wachilia mbali kaka yao JOSEPH HAYDN!
Labda ni kweli muafaka huo haukuwa sahihi. Lakini njia CHADEMA wanayotaka kutumia italeta hasara kama yale maandamano yalivyoleta hasara. Ninaamini kulikuwa na njia bora zaidi ya maandamano yale. Naamini pia serikali ingeweza kuyashughulikia maandamano yale kwa namna bora zaidi ya kiungwana bila risasi na mauaji kama ilivyotokea. Naamini pia kuwa CHADEMA ilikuwa na njia bora zaidi za kushughulikia tatizo lao la huu muafaka kwa njia bora zaidi na siyo haya malumbano ya kuwapa faida washindani wao. Kumbe ni makosa yamekuwa yakizaa makosa mengine kila upande. Mmi nawatahadharisha kuwa kusahihisha kosa kwa kutumia kosa lingine siku zote humpa faida yule mkosaji wa awali. Hebu tafakarini nyendo zenu na matamko yenu ya sasa kama yana faida kwa wananchi wa Arusha ambao wengine bado wana majeraha na wengine bado wanaugulia misiba. Muafaka wa tangu April mnautolea tamko baada ya miezi miwili, wakati huku watu wameshasherehekea! Mlikuwa wapi siku zote hizo, mlikuwa mnapanga nini?
Sasa wafukuzeni hao wanachama CCM ichukue halmashauri kwa kura bila kuhitaji tena muafaka. Na kwa myumbo huu mnaoonesha, mnawafanya wananchi wajute kuwachagua. Kama kila siku ni kujadili mgogoro tuuuuu, mingine mipya hii inayoibuliwa na akina Mbowe wakiwa Dar kwenye viyoyozi, sisi huku Arusha hayo maendeleo tutayapata lini? Mnatuangusha, siyo siri. Mimi nawaunga mkono madiwani. Kama hamuwataki, wafukuzeni kura zirudiwe za uchaguzi wa madiwani ndipo mtaelewa uharibifu mliojisababishia.
Ninachotaka Ujibu ni lini mtawafukuza mapacha watatu,HIVI mnataka NIJIBU NINI? MATUSI MNAYONITUKANA MIE MPUMBAVU? USHAURI WA BURE KWENU NYOTE MNAOISHIA KUTUKANA,KUKEJELI BADALA YA KUKEJELI NA KUTUKANA MKICHOKA ACHENI KUCHANGIA THREAD ZANGU, HAKUNA MTU ANALAZIMISHWA KUCHANGIA NDO MAANA WAKATI MWINGINE NAWAANGALIA TU MNAVYOTUKANA.
WAPO AMBAO KWELI WANA HOJA NA MIE NAWAHESHIMU SANA, LAKINI WA KUTUKANA NA KUKEJELI PAMOJA NA KWAMBA NAJUA HAWAZIDI WAWILI NA IDs KIBAO WACHA WAENDELEE KUTUKANA NA SIONI SHIDA NITAKAA NA KUSOMA MATUSI YENU.
KARIBU KILA MTU HAPA ATAITWA NAPE......SIO VIBAYA KWAKUWA UCHUNGUZI UNAONYESHA WANAOITWA NAPE NI WALE WASIONITUKANA, HII NI SIFA NJEMA, KEEP ON DOING IT GUYS
wewe kijana kumbe mjinga. diwani kachaguliwa na wananchi wa arusha. unataka atumie akili ya kuambiwa na chadema makao makuu.
tumechagua madiwani wa nini. tuchague chama basi.
ndio maana pamoja na chadema kukutenda ukabaki kujiumauma tu. mwanasiasa asiye na msimamo wake ni zuzu wa siasa.
kanuni gani hapo imevunjwa. pelekeni roboti wakawawakilishe.
HIVI mnataka NIJIBU NINI? MATUSI MNAYONITUKANA MIE MPUMBAVU? USHAURI WA BURE KWENU NYOTE MNAOISHIA KUTUKANA,KUKEJELI BADALA YA KUKEJELI NA KUTUKANA MKICHOKA ACHENI KUCHANGIA THREAD ZANGU, HAKUNA MTU ANALAZIMISHWA KUCHANGIA NDO MAANA WAKATI MWINGINE NAWAANGALIA TU MNAVYOTUKANA.
WAPO AMBAO KWELI WANA HOJA NA MIE NAWAHESHIMU SANA, LAKINI WA KUTUKANA NA KUKEJELI PAMOJA NA KWAMBA NAJUA HAWAZIDI WAWILI NA IDs KIBAO WACHA WAENDELEE KUTUKANA NA SIONI SHIDA NITAKAA NA KUSOMA MATUSI YENU.
KARIBU KILA MTU HAPA ATAITWA NAPE......SIO VIBAYA KWAKUWA UCHUNGUZI UNAONYESHA WANAOITWA NAPE NI WALE WASIONITUKANA, HII NI SIFA NJEMA, KEEP ON DOING IT GUYS
HIVI mnataka NIJIBU NINI? MATUSI MNAYONITUKANA MIE MPUMBAVU? USHAURI WA BURE KWENU NYOTE MNAOISHIA KUTUKANA,KUKEJELI BADALA YA KUKEJELI NA KUTUKANA MKICHOKA ACHENI KUCHANGIA THREAD ZANGU, HAKUNA MTU ANALAZIMISHWA KUCHANGIA NDO MAANA WAKATI MWINGINE NAWAANGALIA TU MNAVYOTUKANA.
WAPO AMBAO KWELI WANA HOJA NA MIE NAWAHESHIMU SANA, LAKINI WA KUTUKANA NA KUKEJELI PAMOJA NA KWAMBA NAJUA HAWAZIDI WAWILI NA IDs KIBAO WACHA WAENDELEE KUTUKANA NA SIONI SHIDA NITAKAA NA KUSOMA MATUSI YENU.
KARIBU KILA MTU HAPA ATAITWA NAPE......SIO VIBAYA KWAKUWA UCHUNGUZI UNAONYESHA WANAOITWA NAPE NI WALE WASIONITUKANA, HII NI SIFA NJEMA, KEEP ON DOING IT GUYS
Nape acha kulialia, jibu basi hoja unazodhani zina hikma achana na hayo matusi... Tuone!HIVI mnataka NIJIBU NINI? MATUSI MNAYONITUKANA MIE MPUMBAVU? USHAURI WA BURE KWENU NYOTE MNAOISHIA KUTUKANA,KUKEJELI BADALA YA KUKEJELI NA KUTUKANA MKICHOKA ACHENI KUCHANGIA THREAD ZANGU, HAKUNA MTU ANALAZIMISHWA KUCHANGIA NDO MAANA WAKATI MWINGINE NAWAANGALIA TU MNAVYOTUKANA. WAPO AMBAO KWELI WANA HOJA NA MIE NAWAHESHIMU SANA, LAKINI WA KUTUKANA NA KUKEJELI PAMOJA NA KWAMBA NAJUA HAWAZIDI WAWILI NA IDs KIBAO WACHA WAENDELEE KUTUKANA NA SIONI SHIDA NITAKAA NA KUSOMA MATUSI YENU.KARIBU KILA MTU HAPA ATAITWA NAPE......SIO VIBAYA KWAKUWA UCHUNGUZI UNAONYESHA WANAOITWA NAPE NI WALE WASIONITUKANA, HII NI SIFA NJEMA, KEEP ON DOING IT GUYS