Mtazamo WANGU binafsi Arusha madiwani ambao kwakweli NI wawakilishi WA wananchi na bahati mzuri hakuna aliyepinga kuchaguliwa Kwai udiwani, wamekaa na kuamua KUMALIZA tofauti zao, Leo viongozi wao wanapokataa muafaka ule maana yake UZALENDO KWA CHAMA NI MKUBWA KULIKO KWA WANANCHI WA ARUSHA?
Kwa hili la ARUSHA NILIDHANI INGEKUWA WANANCHI KWANZA, CHAMA BAADAE
Na furahi kuona kuwa kuna msemo ambao ukisemwa na mtu kama wewe au aina yako nikimaanisha Mwanaccm kwa walio wengi itaonekana kama ni KITUKO AMA DHIHAKA.
Ni UKWELI usiopingika CCM kama chama kwangu MIMI sijaona tatizo lake,lakini watendaji wa CCM walipokifikisha chama hiki,ni pachungu na pana tia shaka sana kuwa yahitaji watu ama timu mpya sana kukirudishia heshima yake kwa jamii.
Unachokisema wewe kama Mwananchi wa kawaida ni CHEMA NA HERI kwa Wana ARUSHA,lakini ni sumu kali iliyoundwa kwa muda mrefu sana kati ya watawala wa chama dhidi ya wananchi kwa kuwa na majibu yasiopendeza haswa wananchi wanapotaka majibu ya matatizo yao.Ilifika sehemu kiongozi anatamka kana kwamba jambo hilo au hicho kinachotafutwa kupewa ufumbuzi h,akiwezekani na wala hakina nafasi ya kutatuliwa hata kama kina faida kubwa kwa umma wa walio wengi.
Hatimae wananchi waamechoka na wanahitaji majibu na pale wanapogoma bahada ya kufika MWISHO,Wenye busara ndani ya chama cha mapinduzi wanapoamka na kusema sasa tutaenda na njia ya wananchi,bado kwa kuwa wananchi wamefikisha point of n return vitu,vyote sasa vikifikishwa ndani ya ukweli vinageukwa na kuwa si kweli.Kwa kuwa dhamila ya awali ilikuwa kweli IKADHIHAKIWA,basi kinachofuata hata kama ni DHAMILA YA KWELI,walipofikiswa wanaona ni DHIHAKA na mcholesho kama vijana waa siku hizi wanavyosema.
Ikifika hapo swala la maendeleo linakuwa ni simulizi na hekaya za ABUNUASI.Kwa kuwa kinachofuata nani zaidi kwa kuwa aliyeanza,anayefuata anamailiza.
Chama cha CCM,si na wala kamwe aikutakiwa wala kufikilika kama Taasisi ambayo ingetokea hata siku moja, kuwa ama kama Taasisi ya au kupitia mtendaji wake kudiliki KUDHIHAKA au KUPOTOSHA ama VINGINEVYO vyovyote KUHUJUMU au KUDUMAZA jambo lolote lile linalohusu ustawi wa maendeleo yoyote ya umma au raia wa Nchi hii,popote pale ndani ya Jamhuri yetu ya Muungano.
Lakini leo hii Chama hiki KIMELAUMIWA,KIMETUHUMIWA na KUSAKAMWA kwa mengi yenye kila picha ya uovu wa kutowatendea haki wale kinachowaongoza.Hivyo basi inapelekea hata mtendaji wake yoyote atakapo tetea ukweli bado jamii itachukulia ni yaleyale na uzushi ule ule wa kila siku.Nape bado safari ni ndefu hayo uliyosema ISIWE BEZO AU DHIHAKI ILELILE WANANCHI WNAYOPINGANA NAYO.
Kwa msemo mwingine maneno hayo yasiwe ndio yale yaliyokifikisha chama hicho hapo kilipo.Amini yakitoka MOYONI,basi hakika CCM yaelekea kupona kikombe hiki,lakini yasiwe BEZO kama jna kama Leo.