hapo ndo uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho naona, nikutakie siku njema great thinker.Unaipeleka Kwake lini?
hapo ndo uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho naona, nikutakie siku njema great thinker.Unaipeleka Kwake lini?
Kumbe ni katiba na siyo ufanisi?Katiba inataka wawepo
Ndiyo unaipeleka sasa Dodoma au?hapo ndo uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho naona, nikutakie siku njema great thinker.
Sawa wewe wa mjini kuna nini cha maana ukichokipatia nchi zaidi ya "mshamba"Ile kauli ya Zitto
'tumewapa nchi washamba na malimbukeni'
Ilikuwa kauli yenye maana sana
Wewe kama nani kwa mfano?Sidhani kama ni Afya sana / ni Sifa mno kwa Baraza la Mawaziri ( Cabinet ) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?
KimaWe umejuaje Kama hawaamini kwani we upo kichwani kwake?
Kama Think Tank and Brainiac of all the time.Wewe kama nani kwa mfano?
Kumkosoa au Kumsema Rais JPM haimaanishi kuwa labda tumemchoka au tunamchukia bali ni Wajibu wetu Kumuonyesha pale anapokengeuka tu.Maccm mmechoka kuimba nyimbo za kusifu na kuabudu ?
Inaweza kuwa dalili ya kulewa madaraka ...Sidhani kama ni Afya sana / ni Sifa mno kwa Baraza la Mawaziri ( Cabinet ) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?
Hujawahi kua na akili wewe hata siku moja.Sidhani kama ni Afya sana / ni Sifa mno kwa Baraza la Mawaziri ( Cabinet ) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?
Tunaisubilia kwa hamu wajubaHahahaa undeni haraka hiyo serikali yenu ya chama kimoja tuanze kuona matunda ya 28th October......au mnasemaje wakulungwa wenzangu,,,,,waunde haraka tuone....si ndioo!!???
Possibly.Inaweza kuwa dalili ya kulewa madaraka ...
👣
Wewe mara yako ya mwisho kuwa nayo ilikuwa ni lini?Hujawahi kua na akili wewe hata siku moja.
Nahisi amerudi utotoni kwa kucheza ule mchezo wa ana anadoo katika kufanya uteuziSidhani kama ni Afya sana / ni Sifa mno kwa Baraza la Mawaziri ( Cabinet ) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?
Linasema pale tu Rais akishathibitisha kuwa Wewe mwana CCM Mwenzake Akili zako zimekaa vyema kutoka katika Utahaira wako ndiyo awateue.Katiba ya JMT unasemaje kuhusu uteuzi wa Baraza la mawaziri baada ya Rais kuapishwa. Je ni muda gani ili kuundwa Baraza la mawaziri?
Acha ujinga, kama mcheza kamali. Wapi analazimika raisi kuteua baraza?Sidhani kama ni Afya sana / ni Sifa mno kwa Baraza la Mawaziri ( Cabinet ) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?
Hana shida nao.Sidhani kama ni Afya sana / ni Sifa mno kwa Baraza la Mawaziri ( Cabinet ) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?