Nchi kukaa muda mrefu bila Baraza la Mawaziri siyo Sifa, tafadhali teua Majembe ya Kazi Ufanisi uimarike Serikalini

Hahaha 2015 alituambia analala na mafaili akatuletea kina Makonda.

Labda sasa anatafuta warundi jamani, huko ccm hakuna mwenye akili na hawaaminiki afanyeje?!
 
Sidhani kama ni afya sana/ ni sifa mno kwa Baraza la Mawaziri (Cabinet) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?
Alisema hataki kupangiwa. Makatibu wakuu wanafanya kaz za mawaziri. Mwacheni Tanzania sas ni shamba lake atafanya atakavyo
 
Sidhani kama ni afya sana/ ni sifa mno kwa Baraza la Mawaziri (Cabinet) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?

Mkuu GENTAMYCINE, Katiba inasemaje juu ya muda unaostahili baraza liundwe baada ya kua umeapishwa kushika mamlaka ya nchi? Sema mzee anapenda afanye anavyotaka yeye kwa sababu zake! So tuwe wapole atakuambia kwani kuna kitu hakiendi?
 
Moderator uzi wangu umeuunganisha sehemu ambayo haina ulinganifu, kinachotokea kwa kutangazwa baraza la mawaziri ndicho kiini cha bandiko langu but mmeunga na kitu kingine, so sad 😔
Mwezi mmoja na siku kadhaa zinaendelea kuonyesha shauku ya watanzania kuona viongozi wasaidizi wa mkuu wa nchi na waziri mkuu walitangazwa na kuwaona wakifanya kazi, baada ya Rais kuwatangaza na kuwaapisha mawaziri wawili, waziri wa fedha na mambo ya nje na ushirikiano wa Afrika mashariki, wakitegemea siku si nyingi majina ya wateule wengine wapo ubaoni.

Wajuzi na wachambuzi wa mfumo wa kiuongozi wameongea na kujadili mengi ila uhamuzi lazima unafanywa na walioshika mpini.

Kuanzia leo jioni au teseme mwishoni mwa juma hili balaza jipya linaenda kutangazwa na kuna baadhi ya mabadiriko yanaenda kuonekana kwa viongozi wengi waliokuwepo hapo nyuma kukatwa na kuwekwa mawaziri na manaibu wapya kabisa.

Tega sikio kujua nani ni nani ndani siku hizi mbili ndani au nje balaza linapotangazwa.
 
Back
Top Bottom