Kuna huduma yoyote unakwama kuipata toka Serikalini kwasababu hakuna Mawaziri?Sidhani kama ni Afya sana / ni Sifa mno kwa Baraza la Mawaziri ( Cabinet ) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?
Kuna huduma yoyote unakwama kuipata toka Serikalini kwasababu hakuna Mawaziri?Sidhani kama ni Afya sana / ni Sifa mno kwa Baraza la Mawaziri ( Cabinet ) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?
SipangiwiSidhani kama ni Afya sana / ni Sifa mno kwa Baraza la Mawaziri ( Cabinet ) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?
Asipoitii hiyo Katiba pia imesema hafanywi chochote! Ndiyo maana anaiendesha katiba, siyo yeye kuendeshwa na katiba!Katiba inataka wawepo mkuu.Hata Kama jpm hawataki analazimishwa na katiba kuwaweka, ndo maana aliapa kuitii katiba
Katiba ya Tanzania inasema kuwa nchi inaweza Kutawalika na Makatibu tu Wakuu na Mawaziri hawana Umuhimu? Halafu nikiwadharau mnachukia.Hao Mawaziri wamekutuma uwasemee ili wateuliwe haraka au? kwanza hakuna umuhimu wa wao kuwepo mbona Makatibu Wakuu wanatosha tu, hawana la maana hao zaidi ya matumbo yao ngoja hela za Mishahara yao ya miezi kadhaa ambayo wangelipwa zifanye kazi za maendeleo
Jamaa lenu lilivyo fisadi papa utakuta linakula hiyo mishahara ya mawaziri ambapo walipaswa wawe wameshachaguliwa kwa sasa.Sidhani kama ni Afya sana / ni Sifa mno kwa Baraza la Mawaziri ( Cabinet ) kutoteuliwa hadi leo. Uliwataka Mwenyewe uletewe kwanini huwaamini?
Mkuu umepoteza sana muda Kumjibu na hata Kumuelimisha huyo Juha ( Mpumbavu ) hivyo. Rais ateue upesi Mawaziri na hatutaki blah blah hapa.Katiba inataka wawepo mkuu.Hata Kama jpm hawataki analazimishwa na katiba kuwaweka, ndo maana aliapa kuitii katiba
Katiba ya nchi na ambayo Rais JPM aliiapa inasemaje kuhusu kuwa na Cabinet? au labda Wewe ulikuwa nae Bedroom na akakuambia siyo Muhimu?KUNA HUDUMA YOYOTE UNAKWAMA KUIPATA TOKA SERIKALINI KWA SABABU HAKUNA MAWAZIRI?
I also Smell something Fishy like that.Jamaa lenu lilivyo fisadi papa utakuta linakula hiyo mishahara ya mawaziri ambapo walipaswa wawe wameshachaguliwa kwa sasa.
Katiba ya nchi na ambayo Rais JPM aliiapa inasemaje kuhusu kuwa na Cabinet? au labda Wewe ulikuwa nae Bedroom na akakuambia siyo Muhimu?
kwani mpaka sasa muda uliowekwa na katiba kuhusu kuunda baraza umepita mpaka uanze kudai, au na wewe ndo walewale unaandika chohote tu muhimu kwako ni jero ya bando tu?Katiba ya nchi na ambayo Rais JPM aliiapa inasemaje kuhusu kuwa na Cabinet? au labda Wewe ulikuwa nae Bedroom na akakuambia siyo Muhimu?
aliomba achaguliwe wabunge au mawaziri?Kama ulishazunguka nchi nzima na Kuwanadi huku ukiwaomba Watu wakuchagulie na wakakuchagulia kwanini leo upate shida Kuteua wanaofaa?
Kwani mmeambiwa hateui mawaziri? Vihelehele vya nini? Nyie ndo mmepewa kuongoza nchi? Mwache ajiridhishe na anachokitaka. Mnataka afanye haraka ili iwe nini.Katiba inataka wawepo mkuu.Hata Kama jpm hawataki analazimishwa na katiba kuwaweka, ndo maana aliapa kuitii katiba
Tena huenda nikawa Mimi ndiyo nampenda na kumkubali zaidi yako Rais JPM na CCM yake ( yetu ) kuliko Takataka Ngumu kama Wewe hapa JF.kwani mpaka sasa muda uliowekwa na katiba kuhusu kuunda baraza umepita mpaka uanze kudai, au na wewe ndo walewale unaandika chohote tu muhimu kwako ni jero ya bando tu?
Pumbavu rejea upesi sana Clips zake zote wakati wa Kampeni zake kisha utapata Majibu ya Kutosha juu ya huu Upuuzi wako ulioniuliza hapa sawa?aliomba achaguliwe wabunge au mawaziri?
Jibu hoja, suala la kumpenda na kumkubali lianzishie uzi wake.Tena huenda nikawa Mimi ndiyo nampenda na kumkubali zaidi yako Rais JPM na CCM yake ( yetu ) kuliko Takataka Ngumu kama Wewe hapa JF.
Jibu swali acha jazba na matusi kuna watu wazima humu.Pumbavu rejea upesi sana Clips zake zote wakati wa Kampeni zake kisha utapata Majibu ya Kutosha juu ya huu Upuuzi wako ulioniuliza hapa sawa?
Absolutely Hogwash!Kwani mmeambiwa hateui mawaziri? Vihelehele vya nini? Nyie ndo mmepewa kuongoza nchi? Mwache ajiridhishe na anachokitaka. Mnataka afanye haraka ili iwe nini.
😂Na hamna mtu anafurukuta tupo kimya ka maji ya mtungiHaahaa jpm anaongoza nchi Kama familia yake chato
Unampelekea lini?jibu hoja, suala la kumpenda na kumkubali lianzishie uzi wake.
Unaipeleka Kwake lini?jibu swali acha jazba na matusi kuna watu wazima humu.