Nchi ipi ilimpongeza Kikwete kwa ushindi!

Toka uchaguzi umepita na "rais" kupatikana, sijasikia salamu za pongezi kutoka kwa nchi rafiki kama ilivyozoeleka toka zamani, au vyombo vya habari Havitangazi

Nchi za Kiislamu zilipongeza kupitia Misikitini!
 

Hilo la USA nallikumbuka sana.
Obama said: " I congratulate the people of tanzania for a peaceful election and i am looking forward to working with your President..."
He did NOT congratulate JK. You may google his message.
Hata UK PM did not send a message.
 
Hakushinda ndio maana hakupongezwa....hata wale wanao desa mitihani huwa hawa jisikii kupongezwa hata wapate 100%

nimeipenda hii...... hawezi hakasimama mbele ya jumuiya ya kimataifa akatangaza kuwa alishinda coz na yeye anaona aibu.... ana bahati ya ivory cost yametokea baada ya ya kwetu.. na sie tungemchukua slaa tukampeleka kempiski then tukamtangaza mshinda
 
Hilo la USA nallikumbuka sana.
Obama said: " I congratulate the people of tanzania for a peaceful election and i am looking forward to working with your President..."
He did NOT congratulate JK. You may google his message.
Hata UK PM did not send a message.


Obama_statement.jpg
 
Mabalozi wa nchi zote juzi walimpa pongezi. KWANI NI NCHI GANI ILIYOMPA SLAA/LIPUMBA POLE KWA KUANGUKIA PUA?
 
Mabalozi wa nchi zote juzi walimpa pongezi. KWANI NI NCHI GANI ILIYOMPA SLAA/LIPUMBA POLE KWA KUANGUKIA PUA?
Yeye si ndiye aliyewaita ikulu na kuwaandalia ile sijui ni sherehe ya kukaribisha mwaka, kwa nini waitwe ikulu ndio wampongeze??
 
Mnamwonea jk wa watu mbona alipongezwa na nchi nyingi sana!! Ninazokumbuka kwa uchache ni Afghanistan, pakistan, iran, jordan, oman, misri, ivory coast, libya, moroco, tunisia, djibuti, somalia, mali, comoro, madagasca, zimbabwe, saudi arabia, kuwait, uturuki, palestine, uzebekstan, n.k. Jk anafahamika bwana siyo utani!!!

Kweli .. wachovu watupu, bila kusahau ''North'' Sudan, Venezuela, Belarus, North Korea na Cuba
 
Back
Top Bottom