Nchi imeoza. Kila kitu kinaenda mrama

Nchi imeoza. Kila kitu kinaenda mrama

mama yupo busy;
1. kuwaambia watu aliowateua wale kwa urefu wa kamba zao wasile sana wakaingiliana
2. Kuwaambia watu kama wanataka kushiriki mapenzi ya jinsia moja basi washiriki wakubwa kwa wakubwa tu
3. Kuwaambia wananchi kuwa hataacha kukopa, kazi ya kuwawajibisha wanaoiba mali za nchi hana muda huo
4. Anawaambia watu yeye anafoka kwa karamu, amesahau kuwa karamu anayotumia ni BUTU imeisha makali
5. Amesahau Siku hizi wananchi wake wakiona gari ya V8, wanajua kuna jambazi la fedha zetu linapita lipo ndani ya gari yetu.
 
Tatizo nchi IPO kwenye mpito Kuna mambo yaliyozoeleka yanatakiwa kufutwa mfano sheria kandamizi,ubabe wa Kisheria kuzuia maandamano NK.
Ili kufanikiwa kwenye ZOEZI hili la mpito ni lazima kuweka vyombo vitakavyo Kuwa maalumu Kwa kufukia mashimo.
Leo hii viongozi wanashangaa kwamba misafara Yao inawachelewesha Wananchi, Kama vile siku zote walikuwa hawaoni.
Kama Wanaozuia Magari ili Wakuu hawa wapite salama tunajiuliza hivi wana nia ovu au ni heshima Kwa viongozi hao?
Pamoja na KUKEMEWA Sana basi tahadhali zote zichukuliwe hatutaki yatokee kama ya kipenzi chetu Sokoine.
Pia tutarajie wezi na wahalifu wengine kuongezeka kwasababu TARATIBU za kumfunga mtu Kwa kosa la jinai zimeongezewa maboresho ambayo yanahitaji haki zaidi Jambo ambalo ni jema lakini tatizo wahalifu wengi watakuwa mtaani na tutajua kabisa ni wahalifu lakini hatutaweza KUWAFANYIA lolete maana HAIRUHUSIWI kumkamata mtuhumiwa mpaka upelelezi ukamilike.
Upande wa WATOA HUDUMA ya Jinai NAO hawapo nyuma kwasababu hakuna wa wakuwashtua mbaya zaidi wimbo wa kulaumu mafisadi unashamili na unaimbwa Kwa kupokezana wengine wanaimba Kwa kufuata mkumbo.

Demokrasia huku kwetu Afrika bado Sana nayo yapo kwenye mpito haitakiwi KUWAGUSA pamoja na kwamba maandamano Yao wanayaelekeza Ikulu hali hii INAWEZA kusababisha kipindi cha mpito kiwe kwenye hekaheka kibao.
 
Watanzania kwa unafiki kipindi cha magufuli mlisema vyuma vimekaza mungu akasikia kilio chenu leo tena mnamsema mama hafai mnataka raisi gani hakuna raisi atakaye waekea hela wananchi mfukoni.
 
Tunashuhudia jinsi ambavyo mambo yanaenda hovyo kila mahali ukilinganisha na utawala wa marehemu JPM. Hali ni mbaya sana. Huyu Rais kwa kweli hatufai Watanzania. Hili ni jambo la wazi kabisa. Huduma za jamii zimedorora lkn kila kukicha tunaambiwa Serikali inakopa lakini matokeo hatuyaoni. Mashirika ya umma yametamalaki kwa ufisadi unaotisha.
Duh! Huku WB na IMF wanasema GDP imekuwa, wewe unaona nchi imesimama.
Yawezekana wewe ndo mkweli zaidi ati
 
Miaka mingi uko JF, ila hata akili hujaongeza kidogo, pumbaf ww, iweje unaongea uongo wa wazi, yaani reference yako ni report ya CAG ndio useme nchi imeoza? Huna adabu wewe, omba radhi haraka
Hivi wewe bwege unajiona nani humu ndani?
 
Tunashuhudia jinsi ambavyo mambo yanaenda ovyo kila mahali ukilinganisha na utawala wa marehemu JPM. Hali ni mbaya sana. Huyu Rais kwa kweli hatufai Watanzania. Hili ni jambo la wazi kabisa. Huduma za jamii zimedorora lkn kila kukicha tunaambiwa Serikali inakopa lakini matokeo hatuyaoni. Mashirika ya umma yametamalaki kwa ufisadi unaotisha.
Mrudishe
 
Umetukana sana nchi hii, mimi narudi Tz wiki ijayo, hata huku Johannesburg, S. Afrika, yaani S. Africa umeme mgao ni mkali sana, tena angalia online Load shedding schedule, kila siku na ni miaka mingi ijayo S.A umeme utakuwa ni mgao kila siku for many years ahead..

S.A. ni nchi yenye uchumi mkubwa sana na inazidi nchi nyingi za Ulaya, ila umeme unakatika hadi mara 5 kwa siku, sasa hivi ni level 6.. Ingia google uone

Sasa ww unatukana nchi imeoza kweli? Kisa umeme kukatika kidogo tu sbb ya mvua, tumeoza kweli? mimi damu ya kijana CCM hadi roho na damu, unasema hivyo, kwanini lkn unaitusi nchi yetu nzuri kiasi hiki wewe? Unaweza dhibitisha tumeoza!?

Omba radhi haraka sana, JF utafungiwa maisha, serikali ipo aisee, ww ni pumbaf
Acha kutisha watu, mpuuzi ni wewe na mama yako Sa100. Humo CCM na serikalini kuna watu kibao hawapo na nyie.
 
Kipindi cha jpm mlisema vyuma vimekaza ,leo kipindi cha mama mnasema hali ni mbaya acheni unafiki ,Mama yupo vizuri sana ndio maana WB na IMF wamesema uchumi wetu upo vizuri sana, Kidumu chama chamapinduzi #2025 nimama tu hadi 2030
 
Muda mwingine inabidi tupitie maumivu sana ili tuweze kuelewa namna ya kupata viongozi sahihi.

Watanzania wanaviburi sana. Na ili kiburi kiishe inabidi kupitia maisha ya fedheha. Ujinga umewajaaa na kukomaa hadi umeanza kuwa upumbavu.

Magufuri alikuja hapa kuweka mambo sawa kuna watu wakawa wanawasikiliza hili kundi la wahuni wa msoga wakiongea kila aina ya uongo.

Leo mnaona wakishika wao nafasi namna wanaharibu. Sasa nitashangaa sana kwenye uchaguzi ujao kama watu mtaendelea kucheka nao.
 
JPM alikuwa akidhibiti habari mbaya za serikali na alifanikiwa sana ndio maana hawa wajinga wanashindana kufungua nyuzi kila muda.
 
Hivi wewe bwege unajiona nani humu ndani?

Nyoko ww siku zako zinakuja endelea kujiona hujali kitu, utalia na kusaga meno, mtoto mdogo ww huwezi tukana serikali, ikifika siku yako, we have you very closely na wenzako, ndio utaongea mbele ya sheria mwenyewe, you are shithole.
 
Back
Top Bottom