Nchi imeoza. Kila kitu kinaenda mrama

Nchi imeoza. Kila kitu kinaenda mrama

Tunashuhudia jinsi ambavyo mambo yanaenda hovyo kila mahali ukilinganisha na utawala wa marehemu JPM. Hali ni mbaya sana. Huyu Rais kwa kweli hatufai Watanzania. Hili ni jambo la wazi kabisa. Huduma za jamii zimedorora lkn kila kukicha tunaambiwa Serikali inakopa lakini matokeo hatuyaoni. Mashirika ya umma yametamalaki kwa ufisadi unaotisha.
Kwa hali tuliyo nayo kwa sasa, ni vigumu sana kuhamasisha uzalendo
 
Wee iba lkn timiza wajibu kwa Wananchi kwa mambo ya msingi kama umeme, maji, chakula na kadhalika. Lakini cha ajabu wanavyofanya sasa ni uhuni mtupu. Huyu mama ni balaa! Hafai kabisa.
 
Umetukana sana nchi hii, mimi narudi Tz wiki ijayo, hata huku Johannesburg, S. Afrika, yaani S. Africa umeme mgao ni mkali sana, tena angalia online Load shedding schedule, kila siku na ni miaka mingi ijayo S.A umeme utakuwa ni mgao kila siku for many years ahead..

S.A. ni nchi yenye uchumi mkubwa sana na inazidi nchi nyingi za Ulaya, ila umeme unakatika hadi mara 5 kwa siku, sasa hivi ni level 6.. Ingia google uone

Sasa ww unatukana nchi imeoza kweli? Kisa umeme kukatika kidogo tu sbb ya mvua, tumeoza kweli? mimi damu ya kijana CCM hadi roho na damu, unasema hivyo, kwanini lkn unaitusi nchi yetu nzuri kiasi hiki wewe? Unaweza dhibitisha tumeoza!?

Omba radhi haraka sana, JF utafungiwa maisha, serikali ipo aisee, ww ni pumbaf
Hivi nyie jamaa mnajikutaga kina nani hadi kujiona mna haki ya kuwatishia wenzenu?!
Ina maana tukiona
Umetukana sana nchi hii, mimi narudi Tz wiki ijayo, hata huku Johannesburg, S. Afrika, yaani S. Africa umeme mgao ni mkali sana, tena angalia online Load shedding schedule, kila siku na ni miaka mingi ijayo S.A umeme utakuwa ni mgao kila siku for many years ahead..

S.A. ni nchi yenye uchumi mkubwa sana na inazidi nchi nyingi za Ulaya, ila umeme unakatika hadi mara 5 kwa siku, sasa hivi ni level 6.. Ingia google uone

Sasa ww unatukana nchi imeoza kweli? Kisa umeme kukatika kidogo tu sbb ya mvua, tumeoza kweli? mimi damu ya kijana CCM hadi roho na damu, unasema hivyo, kwanini lkn unaitusi nchi yetu nzuri kiasi hiki wewe? Unaweza dhibitisha tumeoza!?

Omba radhi haraka sana, JF utafungiwa maisha, serikali ipo aisee, ww ni pumbaf
Hivi nyie jamaa mnajikutaga kina nani hadi kuwa na Mamlaka ya kuwatisha wenzenu pale wanapokosoa kwa manufaa ya nchi yao?!
Kama wewe unalamba asali, tunaomba ulambe kimya kimya pumbavu mkubwa sana wewe.
Watu tunahangaika na maslahi ya nchi halafu wewe uko kutisha tisha watu..
Kwa hiyo S.A ndo kipimo cha kuipimia nchi yetu?
Mbona awamu iliyopita umeme haukuwahi kukatika kwa kipindi chote cha miaka 5?!
Acha ujuha
 
Labda wakishiba kuiba wataacha. Hatuna cha kuwafanya ni Kuomba Mungu washibe haraka kabla hatujachoka ssna
Kwa kweli, itabidi tuwashitaki kwa Mungu tu,, maana sisi hatuna cha kuwafanya, maana wana nguvu nyingi kutuzidi
 
Kwa kila siku inayopita mambo yanazidi kuwa magumu. Wakati wa JPM mafundi wa Tanesco wanakuja fasta na bajaj ukiwa na tatizo la umeme nyumbani tena wanakupigia simu wapo njiani. Sasa ni kimyaa.
 
Tengeneza umeme wako mwenyewe,Njia zipo yingi, weka maji Yako mwenyewe , tafuta hela kivyako hakunaga sehemu yeyote mtu kasaidiwa na nchi
 
Tunashuhudia jinsi ambavyo mambo yanaenda hovyo kila mahali ukilinganisha na utawala wa marehemu JPM. Hali ni mbaya sana. Huyu Rais kwa kweli hatufai Watanzania. Hili ni jambo la wazi kabisa. Huduma za jamii zimedorora lkn kila kukicha tunaambiwa Serikali inakopa lakini matokeo hatuyaoni. Mashirika ya umma yametamalaki kwa ufisadi unaotisha.
Unaidai serikali?
 
Kamwambie baba ako bac achukue nchi ili aiongoze vzur kama unaona mama afanyi vzr
 
Nchi IPO imara na inasonga mbele kimaendeleo katika kila secta chini ya uongozi shupavu na madhubuti wa Rais mama samia suluhu Hassani,huduma za kijamii Ni Bora na zinaendelea kuboreshwa na kusogezwa karibu ya mwananchi.

Kwa Sasa vyumba vya madarasa zaidi ya elfu 20 vimejengwa nchini kwote na kupelekea wanafunzi wote wanaofaulu kuanza masomo kwa pamoja,Elimu Ni bure Mpaka kidato Cha sita,bajeti ya mikopo ya Elimu ya juu imeongezeka na kufikia billioni Mia sita 54, wanafunzi wote wenye sifa wanapata mikopo bila shida.

Vituo vya Afya vimejengwa kila Kona,zahanati kila Kijiji na mtaa, huduma za kibingwa zimeboreshwa na kutolewa hapa hapa nchini badala ya kupeleka wagonjwa nje ya nchi, madawa na vifaa Tiba vipo vya kutosha mahospitalini bila kusahau wataalamu wa Afya ambao wamekuwa wakiajiriwa na serikali hii ya Rais Samia kila wakati,

Ukienda katika kilimo Ni Tabasamu na matumaini tupu hasa baada ya kutoa mabillioni ya Ruzuku takribani billioni Mia moja hamsini pamoja na kuongeza bajeti ya kilimo kufikiA billioni Mia Tisa na point ,Bei nzuri ya mazao kwa wakulima.

Ongezeko la mapato kufikia Trioni mbili kwa Mwezi pasipo kukimbizana Wala kufungiana biashara mitaani,hii yote Ni kutokana na ushupavu na umadhubuti wa serikali ya Rais Samia,kujenga mazingira mazuri ya kibiashara, mahusiano mazuri na wafanyabiashara n.k

Kuvutia wawekezaji na watalii,kwa Sasa Tanzania chini ya uongozi wa Rais Samia na serikali yake imeifanya Tanzania kuwa chaguo namba moja la wawekezaji na watalii hasa baada ya kufanyika juhudi za makusudi za kuitangaza nchi yetu na vivutio vya utalii kupitia wazo la mh Rais la Royal Tour.
 
Kwa kila siku inayopita mambo yanazidi kuwa magumu. Wakati wa JPM mafundi wa Tanesco wanakuja fasta na bajaj ukiwa na tatizo la umeme nyumbani tena wanakupigia simu wapo njiani. Sasa ni kimyaa.
Yes, kwasababu Magu alikuwa hakai ikulu anakufuata hata kama uko mbali naye so wanajua watafukuzwa ila Kwa huyu mama wanadharau Kisa ni mwanamke acha tu hujui Hilo mie najua
 
Sisi wengine tunaotamani kuona siku moja ccm inatoka madarakani, tukiona mada kama hizi huwa tunajinyamazia tu kimya.
 
Nakumbuka enzi za JPM nawapigia Tanesco nina shida na umeme nyumbani, walikuja na lori lenye winch na staff 4 au 5 tena wanawasiliana na mimi baada ya kupiga simu ya malalamiko. Fastaa!! Tukubaki mambo yamebadilika sana tena sana leo hii.
 
Back
Top Bottom