Nchi imeoza. Kila kitu kinaenda mrama

Nchi imeoza. Kila kitu kinaenda mrama

Prof Griff

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2008
Posts
6,771
Reaction score
5,268
Tunashuhudia jinsi ambavyo mambo yanaenda ovyo kila mahali ukilinganisha na utawala wa marehemu JPM. Hali ni mbaya sana. Huyu Rais kwa kweli hatufai Watanzania. Hili ni jambo la wazi kabisa. Huduma za jamii zimedorora lkn kila kukicha tunaambiwa Serikali inakopa lakini matokeo hatuyaoni. Mashirika ya umma yametamalaki kwa ufisadi unaotisha.
 
Tunashuhudia jinsi ambavyo mambo yanaenda hovyo kila mahali ukilinganisha na utawala wa marehemu JPM. Hali ni mbaya sana. Huyu Rais kwa kweli hatufai Watanzania. Hili ni jambo la wazi kabisa. Huduma za jamii zimedorora lkn kila kukicha tunasmbiwa Serikali inakopa. Mashirika ya umma yametamallaki kwa ufisadi unaotisha. Huyu mama hatufai kama kiongozi wa nchi.
Hata mimi ningepewa kitengo ningechota bilioni kadhaa na kutulia
 
Tunashuhudia jinsi ambavyo mambo yanaenda hovyo kila mahali ukilinganisha na utawala wa marehemu JPM. Hali ni mbaya sana. Huyu Rais kwa kweli hatufai Watanzania. Hili ni jambo la wazi kabisa. Huduma za jamii zimedorora lkn kila kukicha tunaambiwa Serikali inakopa lakini matokeo hatuyaoni. Mashirika ya umma yametamallaki kwa ufisadi unaotisha. Huyu mama hatufai kama kiongozi wa nchi.
Mnakuza mambo sana nyie sukuma Gang kamfufueni muzikwe nyie
 
Tunashuhudia jinsi ambavyo mambo yanaenda hovyo kila mahali ukilinganisha na utawala wa marehemu JPM. Hali ni mbaya sana. Huyu Rais kwa kweli hatufai Watanzania. Hili ni jambo la wazi kabisa. Huduma za jamii zimedorora lkn kila kukicha tunaambiwa Serikali inakopa lakini matokeo hatuyaoni. Mashirika ya umma yametamallaki kwa ufisadi unaotisha. Huyu mama hatufai kama kiongozi wa nchi.

Miaka mingi uko JF, ila hata akili hujaongeza kidogo, , iweje unaongea uongo wa wazi, yaani reference yako ni report ya CAG ndio useme nchi imeoza? Huna adabu wewe, omba radhi haraka
 
Miaka mingi uko JF, ila hata akili hujaongeza kidogo, pumbaf ww, iweje unaongea uongo wa wazi, yaani reference yako ni report ya CAG ndio useme nchi imeoza? Huna adabu wewe, omba radhi haraka
Hapa nimekaa sina umeme masaa 24 sababu ya mvua ya jana usiku. Nasema najua hii hali haikuwapo wakati wa JPM. Tena nipo mitaa yake huyu mama
 
Tunashuhudia jinsi ambavyo mambo yanaenda hovyo kila mahali ukilinganisha na utawala wa marehemu JPM. Hali ni mbaya sana. Huyu Rais kwa kweli hatufai Watanzania. Hili ni jambo la wazi kabisa. Huduma za jamii zimedorora lkn kila kukicha tunaambiwa Serikali inakopa lakini matokeo hatuyaoni. Mashirika ya umma yametamalaki kwa ufisadi unaotisha.
Ya JPM hakukuwa na aliyesema, ila yalikuwepo sana tu..!! Asad aliposema tu akaliwa kichwa
 
Labda wakishiba kuiba wataacha. Hatuna cha kuwafanya ni Kuomba Mungu washibe haraka kabla hatujachoka ssna
 
Hapa nimekaa sina umeme masaa 24 sababu ya mvua ya jana usiku. Nasema najua hii hali haikuwapo wakati wa JPM.

Umetukana sana nchi hii, mimi narudi Tz wiki ijayo, hata huku Johannesburg, S. Afrika, yaani S. Africa umeme mgao ni mkali sana, tena angalia online Load shedding schedule, kila siku na ni miaka mingi ijayo S.A umeme utakuwa ni mgao kila siku for many years ahead..

S.A. ni nchi yenye uchumi mkubwa sana na inazidi nchi nyingi za Ulaya, ila umeme unakatika hadi mara 5 kwa siku, sasa hivi ni level 6.. Ingia google uone

Sasa ww unatukana nchi imeoza kweli? Kisa umeme kukatika kidogo tu sbb ya mvua, tumeoza kweli? mimi damu ya kijana CCM hadi roho na damu, unasema hivyo, kwanini lkn unaitusi nchi yetu nzuri kiasi hiki wewe? Unaweza dhibitisha tumeoza!?

Omba radhi haraka sana, JF utafungiwa maisha, serikali ipo aisee, ww ni pumbaf
 
Umetukana sana nchi hii, mimi narudi Tz wiki ijayo, hata huku Johannesburg, S. Afrika, yaani S. Africa umeme mgao ni mkali sana, tena angalia online Load shedding schedule, kila siku na ni miaka mingi ijayo S.A umeme utakuwa ni mgao kila siku for many years ahead..

S.A. ni nchi yenye uchumi mkubwa sana na inazidi nchi nyingi za Ulaya, ila umeme unakatika hadi mara 5 kwa siku, sasa hivi ni level 6.. Ingia google uone

Sasa ww unatukana nchi imeoza kweli? Kisa umeme kukatika kidogo tu sbb ya mvua, tumeoza kweli? mimi damu ya kijana CCM hadi roho na damu, unasema hivyo, kwanini lkn unaitusi nchi yetu nzuri kiasi hiki wewe? Unaweza dhibitisha tumeoza!?

Omba radhi haraka sana, JF utafungiwa maisha, serikali ipo aisee, ww ni pumbaf
Load shedsing hamna Tanzania. Issue simple kama ku fix transfoma inachukua masaa 24. Nakwambia hivi. Kuna tofauti kubwa sana ukilinganisha na enzi za JPM. Mimi ndiyo naishi haya maisha na wengine wengi. Tofauti tunaziona. Zipo wazi mkuu
 
Back
Top Bottom