Genius Man
JF-Expert Member
- Apr 7, 2024
- 3,559
- 7,914
Hivi ni mimi tu anayeona bunge limepooza ni kwa muda sasa sioni na hakuna cha maana kinachoendelea pale bungeni, mpaka nikasahau kuwa na sisi kwenye nchi yetu tuna bunge.
Tuko kwenye auto modeHivi ni mimi tu anayeona bunge limepooza ni kwa muda sasa sioni na hakuna cha maana kinachoendelea pale bungeni, mpaka nikasahau kuwa na sisi kwenye nchi yetu tuna bunge.