Nchi imekauka, mambo hayaendi...

Acha upuuzi wako kwenye mambo ya msingi. Sio kila kitu mnaleta propaganda uchwara.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Saa nyingine laana itatutafuna. Tumemwaga damu zisizo na hatia. Hizo damu zinalia mbele za Mungu. Kuanzia Damu za Albino na hawa wengine tuanaowasikia leo wanaopotea. Hatuko salama sana. Mungu atadai hizo damu mpaka tone la mwisho. Kila aliyemwaga damu ya mtu, yeye na uzao wake mpaka kizazi cha nne watalipa tu.
 
ok sawa kwa ujumbe wako kama vipi tupe na mrejesho wa hali ya maisha kule Venezuela amabako watu wananyang'anyana makombo na mbwa kwenye majalala
 
Viongozi wameshashiba watatujulia wapi sis wenye njaa
 
Jisemee nafsi yako. Wengine maisha Yanaendelea kama kawaida.
TGIT...YOLO.
 

Nilipata kuandika hapa hivi

Kwanini naamini kuwa Serikali ya Magufuli haitafanikiwa hata 20%... - JamiiForums

Hadi leo sijaona chochote cha kunifanya niamini vinginevyo.
 
ok sawa kwa ujumbe wako kama vipi tupe na mrejesho wa hali ya maisha kule Venezuela amabako watu wananyang'anyana makombo na mbwa kwenye majalala

Sasa Venezuela nao wanazingua, kama hali imekuwa mbaya kihivyo si wawale kwanza hao mbwa ili competition ya msosi majalalani isiwepo?.
Mbona wachina na wanyalu wanagonga mbwa na mambo swaaafi
 
Nyie ndio mnafanya baadhi ya wanawake wanaojitqmbua kulera ugumu usio na lazima kwa mambo yenu mkipewa papo kwa papo mnawashusha thaman mademu
Hii inawalazim kutoa kalenda hata kama na wai siku wanjisikia kugongwa haswa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lazima watakuwa wanajua ila wanauchuna tu
Unafikiri Mugabe alikuwa hajui mkate umefika million

Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Saikolojia ya binadamu wa Tanzania wanaotegemea waajiriwa kulipwa mwisho wa mwezi inaniambia hizi tarehe ni mbaya sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…