kama wasomi wenyewe ni wakina Banna, na Mwakyembe unategemea nn hapo?
Tulia wewe nyumbu ukamuliweMabadiliko Mengi Duniani Yanaletwa Na Nguvu Ya Umma
Wanaharakati Lakini Mabadiliko Matakatifu Bila Rabsha Yanaletwa Na Wasomi Hivi Kwanini Hawa Wa Kwetu Wamepooza Hivi?
Hivi Nini Kimempata Shivji Hata Kubadili Msimamo Wa Kutetea Taifa Wanafunzi Wa Vyuo Vikuu Wakiandamana Ni Kwaajili Ya Mikopo Hawajawahi Kutoka Kutetea Taifa
Fedha Yetu Imekufa,wabunge Wanatumia Kodi Zetu Kujadili Bajeti Hewa. Hivi Nani Wakuwatetea Hawa Wananchi Wa Tandahimba Na Namtumbo Wasomi Wetu Semeni Serikali Hii IMECHOKAA
Wasomi uchwara .
Unakuta anajiita msomi alafu eti anatoa maoni kuwa Magufuli hatakiwi kuwa rais ,anatakiwa awe chini ya MTU.
Yani MTU mwadilifu awe chini ya fisadi??
Wasomi Wenye mawazo haya ndio Wenye vyeti feki
Natambua nyumbu wengi mna vyeti feki, mtanyooka awamu hii.Wewe ni km vile vikagosi vya kwenye tv ....kima wewe
Natambua nyumbu wengi mna vyeti feki, mtanyooka awamu hii.
Fukuza wote kwenye ofisi zetu muende kuzungusha mikono na kudeki barabara ili mafisadi wapite.
Kazi yako ni kuosha miguu ya mafisadiuna ofisi gani ...ya baba yako? ...wewe ni kima tu
Wewe ni km vile vikagosi vya kwenye tv ....kima wewe
Wakili msomi Tundu lissu anateswa na nini?Njaa na ufisadi vinaitesa sana Ccm