Myelife
Senior Member
- Dec 31, 2011
- 165
- 107
mtaala wa chuo kikuu ulishabadilika kitambo... Kama unabisha ni aina ya wanafunzi wanaotoka kutoka katika vyuo , vyuo vyote , kutokana na mfumo uliopo ni assemby line au mass production au voda fasta tu.
Usitegemee watatoa msimamo na ukisikia wametoa msimamo fulani, chunguza kuna rupia imepenyezwa mahali fulani:flame:
Cjawahi kumwamini msomi mzaliwa wa africa na anaeendesha shughuli zake africa. Namwamini sana kijana kidato cha 4 mwingereza wa birmingham kuliko profesa wa dar. Nina mifano mingi sana lkn tazama mfano huu.
Profesa wa sheria au wa uchumi kawekeza ktk daladala za mbagala kariakoo na muuza ubuyu kawekeza ktk rout hiyo hiyo na biashara km hiyo. Wote jioni wanasubiri hesabu ya sh 100,000. Hapa kwa tafsiri ya haraka msomi ni muuza ubuyu.
Jingine dogo na kawaida ni msomi mwajiriwa, kafunga tai, mkononi ana ipad au smartphone kubwa halafu anamkopa mangi dukani mwezi mzima. Halafu mangi mwenye duka ni class 7 na haishi kwa mkopo. Je hapo msomi nani...so wasomi wetu hadi karne ijayo ndo nitajaribu kuwasikiliza