Nchi 11 tajiri Afrika kulingana na GPD

Kichwa Ze Don

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
226
Reaction score
350
Orodha ya nchi kulingana na pato la taifa;
1. Afrika Kusini $410.34b
2. Egypt $347.34b
3. Algeria $268.89b
4. Nigeria $188.27b
5. Morocco $165.84b
6. Kenya $131.67b
7. Ethiopia $117.46b
8. Angola $113.34b
9. Côte d'Ivoire $94.48b
10. Ghana $88.33b
11. Tanzania $85.98b
 
Hivi inakuwaje gdp ya Nigeria inaporomoka kila uchao?
Mpaka mwaka 2020 gdp Nigeria ilikuwa ni zaidi ya $ 450 bilion lakini ime poromoka mpaka $180bilion ndani ya miaka 4 tu.
Inflation inachangia kuporomoka kwa GDP.
 

Nchi 11 zenye uchumi mzuri Afrika​

1. Afrika Kusini $410.34b
2. Egypt $347.34b
3. Algeria $268.89b
4. Nigeria $188.27b
5. Morocco $165.84b
6. Kenya $131.67b
7. Ethiopia $117.46b
8. Angola $113.34b
9. Côte d'Ivoire $94.48b
10. Ghana $88.33b
11. Tanzania $85.98b. Nachechemea Mimi Tanzania oooh lala nachechemea
 
Nchi 10 au Nchi 11?

😀😀😀
 
Uchumi wa Samia umepaa 😂😂😂!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…