lowestein
JF-Expert Member
- Jul 24, 2011
- 307
- 126
Sidhani kama aliropoka mkuu, yote yanayo ongelewa huwa na ushahidi, na katibu wa bunge aliposema linashughulikiwa na ofisi ya spika hatujui alimaanisha nini.. may be ushahidi ulishapelekwa but kunao wengi wanaohusika na itaharibu picha nzima ya movie ya serikari bungeni that why wamesema linashughulikiwa na bunge.....muda huu wa saa sita na dkk 50 mbunge wa iramba mh. Nchemba amemshika pabay mh. Mnyika bungeni. Nchemba baada ya kuchangia ktk wizara ya maji, amemkumbusha mwenyekiti wa bunge mama mhagama kuwa leo ndiyo siku ya saba na ya mwisho ambazo mnyika alipewa kuthibitisha kuwa nchemba anahusika na wizi wa EPA. Mwenyekiti amemuomba asizungumzie suala hilo kwa kuwa linashughulikiwa na ofisi ya spika. USHAURI WANGU KWA CHADEMA Katika kikao cha kamati kuu ya chadema kinachoendelea, wanachadema wakumbushane kulinda kauli zao bungeni. bunge ni pahala patakatifu! siyo kijiweni. vile nchemba amekumbushia leo, inaelekea anaamii kuwa hahusiki. alijiunga na B.O.T baada ya kashfa ya EPA. na alikua ofisa wa chini. inaelekea suala hili litamkalia pabaya mnyika! tuache kuropoka! Wakatabahu: wakuziba (mzee wa ukweli unaochoma)