Nchemba amshika pabaya Mnyika (leo bungeni)

wakuziba

Senior Member
Jun 24, 2012
123
43
muda huu wa saa sita na dkk 50 mbunge wa iramba mh. Nchemba amemshika pabay mh. Mnyika bungeni. Nchemba baada ya kuchangia ktk wizara ya maji, amemkumbusha mwenyekiti wa bunge mama mhagama kuwa leo ndiyo siku ya saba na ya mwisho ambazo mnyika alipewa kuthibitisha kuwa nchemba anahusika na wizi wa EPA. Mwenyekiti amemuomba asizungumzie suala hilo kwa kuwa linashughulikiwa na ofisi ya spika.

USHAURI WANGU KWA CHADEMA

Katika kikao cha kamati kuu ya chadema kinachoendelea, wanachadema wakumbushane kulinda kauli zao bungeni. bunge ni pahala patakatifu! siyo kijiweni. vile nchemba amekumbushia leo, inaelekea anaamii kuwa hahusiki. alijiunga na B.O.T baada ya kashfa ya EPA. na alikua ofisa wa chini. inaelekea suala hili litamkalia pabaya mnyika! tuache kuropoka!



Wakatabahu: wakuziba (mzee wa ukweli unaochoma)
 
muda huu wa saa sita na dkk 50 mbunge wa iramba mh. Nchemba amemshika pabay mh. Mnyika bungeni. Nchemba baada ya kuchangia ktk wizara ya maji, amemkumbusha mwenyekiti wa bunge mama mhagama kuwa leo ndiyo siku ya saba na ya mwisho ambazo mnyika alipewa kuthibitisha kuwa nchemba anahusika na wizi wa EPA. Mwenyekiti amemuomba asizungumzie suala hilo kwa kuwa linashughulikiwa na ofisi ya spika...

Mbona unatoa utetezi? Si ungeshauri Kikao cha Kamati Kuu cha CDM kikumbushane kutafuta ushahidi dhidi ya Nchemba na si vinginevyo? Namshauri Mnyika aje humu na aombe mwenye ushahidi ammwagie...hatakosa hakika!
 
Ofisi ya Bunge iko busy sana, nitashangaa kama ushahidi wa Mnyika utachukuliwa so serious.

Lema aliombwa apeleke ushahidi kuwa "Liwalo na Liwe" alisema uongo na kulidanganya taifa, ushahidi ulipelekwa na haukuzungumzwa mpaka Lema akaondolewa bungeni.

Zitto naye aliombwa apeleke ushahidi kuwa baraza la mawaziri lilirubuniwa, ushahidi ukapelekwa lakini hakuna chochote kilichofanyika mpaka sasa.

Sasa Nchemba atulie tu, hiyo ndiyo siasa ya bongo.
 
fikilia oposite tena kama mnyika akidhibitisha itakuwaje? be a great thinker bana
 
Siasa umeanza jana?
1.majina 11 ya mafisadi akiwemo rais wenu mbona hawajawashitaki chadema?

2.waziri mkuu pinda kutoa kauli za uongo mbona lema hakufukuzwa bungeni kama lingekuwa la kuzusha.

3.mafisadi wenu wa ccm lowas,rostam,chenge kuwapa siku 90 mbona sasa ni 6 months.

Ukishajua siasa lete hoja ccm tumewazoea kwa kukanusha sasa miaka hii kabla ya 2015 mtahaha sana msiwe na haraka ngoja mpate makina ya maofisa wa usalama wa taifa wanotaka kuua viongozi wa chadema ndio mlete hoja poleni kwa machungu
 
Mbona sijaona aliposhikwa pabaya?? Au kushikwa pabaya ndio nini hicho, nonsense!
 
muda huu wa saa sita na dkk 50 mbunge wa iramba mh. Nchemba amemshika pabay mh. Mnyika bungeni. Nchemba baada ya kuchangia ktk wizara ya maji, amemkumbusha mwenyekiti wa bunge mama mhagama kuwa leo ndiyo siku ya saba na ya mwisho ambazo mnyika alipewa kuthibitisha kuwa nchemba anahusika na wizi wa EPA. Mwenyekiti amemuomba asizungumzie suala hilo kwa kuwa linashughulikiwa na ofisi ya spika.



USHAURI WANGU KWA CHADEMA

katika kikao cha kamati kuu ya chadema kinachoendelea, wanachadema wakumbushane kulinda kauli zao bungeni. bunge ni pahala patakatifu! siyo kijiweni. vile nchemba amekumbushia leo, inaelekea anaamii kuwa hahusiki. alijiunga na B.O.T baada ya kashfa ya EPA. na alikua ofisa wa chini. inaelekea suala hili litamkalia pabaya mnyika! tuache kuropoka!



wakatabahu: wakuziba (mzee wa ukweli unaochoma)

up*******
 
muda huu wa saa sita na dkk 50 mbunge wa iramba mh. Nchemba amemshika pabay mh. Mnyika bungeni. Nchemba baada ya kuchangia ktk wizara ya maji, amemkumbusha mwenyekiti wa bunge mama mhagama kuwa leo ndiyo siku ya saba na ya mwisho ambazo mnyika alipewa kuthibitisha kuwa nchemba anahusika na wizi wa EPA. Mwenyekiti amemuomba asizungumzie suala hilo kwa kuwa linashughulikiwa na ofisi ya spika.

USHAURI WANGU KWA CHADEMA

katika kikao cha kamati kuu ya chadema kinachoendelea, wanachadema wakumbushane kulinda kauli zao bungeni. bunge ni pahala patakatifu! siyo kijiweni. vile nchemba amekumbushia leo, inaelekea anaamii kuwa hahusiki. alijiunga na B.O.T baada ya kashfa ya EPA. na alikua ofisa wa chini. inaelekea suala hili litamkalia pabaya mnyika! tuache kuropoka!

wakatabahu: wakuziba (mzee wa ukweli unaochoma)
JItu Patel pamoja na Manji walikuwa wanafanya kazi BOT mpaka wakahusishwa au walikuwa na vyeo gani?
 
Mbona hukuweka alichoambiwa na mwenyekiti, au unafikiri umesikiliza peke yako?Kweli umeziba
 
Mbona unatoa utetezi? Si ungeshauri Kikao cha Kamati Kuu cha CDM kikumbushane kutafuta ushahidi dhidi ya Nchemba na si vinginevyo? Namshauri Mnyika aje humu na aombe mwenye ushahidi ammwagie...hatakosa hakika!
Kuna mmoja aliuweka hapa ...hahahah anasema
kagoda ni CCM na Nchemba ni mmweka hazina wa CCM..
 
muda huu wa saa sita na dkk 50 mbunge wa iramba mh. Nchemba amemshika pabay mh. Mnyika bungeni. Nchemba baada ya kuchangia ktk wizara ya maji, amemkumbusha mwenyekiti wa bunge mama mhagama kuwa leo ndiyo siku ya saba na ya mwisho ambazo mnyika alipewa kuthibitisha kuwa nchemba anahusika na wizi wa EPA. Mwenyekiti amemuomba asizungumzie suala hilo kwa kuwa linashughulikiwa na ofisi ya spika.



USHAURI WANGU KWA CHADEMA

katika kikao cha kamati kuu ya chadema kinachoendelea, wanachadema wakumbushane kulinda kauli zao bungeni. bunge ni pahala patakatifu! siyo kijiweni. vile nchemba amekumbushia leo, inaelekea anaamii kuwa hahusiki. alijiunga na B.O.T baada ya kashfa ya EPA. na alikua ofisa wa chini. inaelekea suala hili litamkalia pabaya mnyika! tuache kuropoka!



wakatabahu: wakuziba (mzee wa ukweli unaochoma)

Lema aliwasilisha je walikubali isomwe?

Hata mnyika akileta haitasomwa. Mbwa kala mbwa system ni wahuni.
 
ushahidi upo tena wa nguvu sana...uruhusiwe kusomwa bungeni uone kma patakalika!!! utafichwa kama kawaida ya magamba

Sijui kwanini watu wahajiulizi ilikuwaje huyu 'rookie' akapewa cheo cha Treasurer wa chama? Kumbuka hii nafasi iliwahi kushikiliwa na RA!
 
Ofisi ya Bunge iko busy sana, nitashangaa kama ushahidi wa Mnyika utachukuliwa so serious. Lema aliombwa apeleke ushahidi kuwa "Liwalo na Liwe" alisema uongo na kulidanganya taifa, ushahidi ulipelekwa na haukuzungumzwa mpaka Lema akaondolewa bungeni. Zitto naye aliombwa apeleke ushahidi kuwa baraza la mawaziri lilirubuniwa, ushahidi ukapelekwa lakini hakuna chochote kilichofanyika mpaka sasa. Sasa Nchemba atulie tu, hiyo ndiyo siasa ya bongo.

Hewalaa...Ingekuwa vema kama mpambanaji mnyika angeweza kumuomba mama spika wajadili kwanza ule ushahidi wa "liwalo na liwe" kulidanganya bunge. Ili hatua madhubuti zichukuliwe dhidi ya waziri mkuu kwanza kwa kosa hili halafu tuendelee.

Nina imani kubwa sana na Mbunge wangu mheshimiwa mnyika...ushahidi wa kuhusika kwa nchemba kwa njia moja ama nyingine kwenye wizi wa EPA upo.subirini.
 
muda huu wa saa sita na dkk 50 mbunge wa iramba mh. Nchemba amemshika pabay mh. Mnyika bungeni. Nchemba baada ya kuchangia ktk wizara ya maji, amemkumbusha mwenyekiti wa bunge mama mhagama kuwa leo ndiyo siku ya saba na ya mwisho ambazo mnyika alipewa kuthibitisha kuwa nchemba anahusika na wizi wa EPA. Mwenyekiti amemuomba asizungumzie suala hilo kwa kuwa linashughulikiwa na ofisi ya spika.

USHAURI WANGU KWA CHADEMA

Katika kikao cha kamati kuu ya chadema kinachoendelea, wanachadema wakumbushane kulinda kauli zao bungeni. bunge ni pahala patakatifu! siyo kijiweni. vile nchemba amekumbushia leo, inaelekea anaamii kuwa hahusiki. alijiunga na B.O.T baada ya kashfa ya EPA. na alikua ofisa wa chini. inaelekea suala hili litamkalia pabaya mnyika! tuache kuropoka!



Wakatabahu: wakuziba (mzee wa ukweli unaochoma)
Hivi Nape huwa anawaokota wapi mazezeta kama ninyi?Soma hapo kwenye rangi nyekundu halafu kama zinakutosha jaribu kulinganisha na kichwa cha thread yako utumbo!
 
muda huu wa saa sita na dkk 50 mbunge wa iramba mh. Nchemba amemshika pabay mh. Mnyika bungeni. Nchemba baada ya kuchangia ktk wizara ya maji, amemkumbusha mwenyekiti wa bunge mama mhagama kuwa leo ndiyo siku ya saba na ya mwisho ambazo mnyika alipewa kuthibitisha kuwa nchemba anahusika na wizi wa EPA. Mwenyekiti amemuomba asizungumzie suala hilo kwa kuwa linashughulikiwa na ofisi ya spika.

USHAURI WANGU KWA CHADEMA

Katika kikao cha kamati kuu ya chadema kinachoendelea, wanachadema wakumbushane kulinda kauli zao bungeni. bunge ni pahala patakatifu! siyo kijiweni. vile nchemba amekumbushia leo, inaelekea anaamii kuwa hahusiki. alijiunga na B.O.T baada ya kashfa ya EPA. na alikua ofisa wa chini. inaelekea suala hili litamkalia pabaya mnyika! tuache kuropoka!



Wakatabahu: wakuziba (mzee wa ukweli unaochoma)

Ngoja wakati ufike!, Aache hizo nguvu za soda!, kuhusika amehusika.
 
Vipi na ule Ushahidi wa Kafulila kuhusu akina Zambi na wenzake kuomba rushwa, utasomwa lini?
 
Back
Top Bottom