lutamyo
JF-Expert Member
- Apr 13, 2011
- 641
- 159
Asante ndugu yangu watu wamekuwa ni wavivu wa kufikiri sn wanafanya majumuisho tu wanadhan kila mtu n mwanachama wa vyama vya sihasa uchwara za Tz... Huku wengine wakiona chama chao ndo makini sana ilihali tunawaona wabunge wao wakiwa wanatolewa jasho na ishu km posho kwa kuzani kila anayeingia cdm n msafi toka moyon, hana tamaa, hii n kazi kweli... Jaman tunahitaji ukombozi wa kweli lakin kwa hali hii sijui....
inawezekana kabisa ili mwanasiasa awe safi lazima awe mwanachama wa CHADEMA? Je wale waliotoka vyama vya magamba wakajiunga CDM nao ni wasafi ili mradi tu sasa ni wana-CDM?. Je wanaotoka CDM wakajiunga na vyama vingine wanatoka huko wakiwa wasafi kwenda kujichafua? na Je tusio na vyama ni wachafu au wasafi kama CDM? nauliza hayo maswali kwa vile inaonekana humu JF ukiongelea issue zihusuyo vyama vingine unaonekana kero kwa baadhi ya watu wenye mrengo wao, kutokana na hisia zao ilimradi tu ionekane kuwa Chama fulani ndo bora. mawazo mafinyu hayo tofauti na matarajio ya wengi katika kuelekea kuimarisha umoja, mshikamano na heshima miongoni mwa Watanzania