Felixonfellix
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 1,672
- 182
mhhhhhhhhh
nccr jamani tena
uwazi ni muhimu
nccr jamani tena
uwazi ni muhimu
inawezekana kabisa ili mwanasiasa awe safi lazima awe mwanachama wa CHADEMA? Je wale waliotoka vyama vya magamba wakajiunga CDM nao ni wasafi ili mradi tu sasa ni wana-CDM?. Je wanaotoka CDM wakajiunga na vyama vingine wanatoka huko wakiwa wasafi kwenda kujichafua? na Je tusio na vyama ni wachafu au wasafi kama CDM? nauliza hayo maswali kwa vile inaonekana humu JF ukiongelea issue zihusuyo vyama vingine unaonekana kero kwa baadhi ya watu wenye mrengo wao, kutokana na hisia zao ilimradi tu ionekane kuwa Chama fulani ndo bora. mawazo mafinyu hayo tofauti na matarajio ya wengi katika kuelekea kuimarisha umoja, mshikamano na heshima miongoni mwa Watanzania
Sasa kama cdm ni wengi humu jamvini unategemea iweje? Mbona na ccm ikiongelewa vibaya kihalali kabisa kutokana ubaza waufanyao watu kama wewe wanaibuka lakini hakuna anayejali? Zaidi watu wanapewa za uso wanasepa kimya kimya...Na wengine wanalipwa fedha oa ccm hapa jamvini ili angalau wapangue mashambulizi lakini wapi pessa inafeli.Umewahi sikia cdm/ccm wakijibizana na mtu ambaye hana chama chochote?. Kama huna chama chochote halafu unalialia kutokana na mawe yanayorushwa gizani,usidanganye watu wewe ndo yamekupata,ingia hapa pambana litakalokupata chukuliana nalo.Umenisoma nh.gamba.inawezekana kabisa ili mwanasiasa awe safi lazima awe mwanachama wa CHADEMA? Je wale waliotoka vyama vya magamba wakajiunga CDM nao ni wasafi ili mradi tu sasa ni wana-CDM?. Je wanaotoka CDM wakajiunga na vyama vingine wanatoka huko wakiwa wasafi kwenda kujichafua? na Je tusio na vyama ni wachafu au wasafi kama CDM? nauliza hayo maswali kwa vile inaonekana humu JF ukiongelea issue zihusuyo vyama vingine unaonekana kero kwa baadhi ya watu wenye mrengo wao, kutokana na hisia zao ilimradi tu ionekane kuwa Chama fulani ndo bora. mawazo mafinyu hayo tofauti na matarajio ya wengi katika kuelekea kuimarisha umoja, mshikamano na heshima miongoni mwa Watanzania