NCCR-MAGEUZI chama MAKINI kushika dolla 2015

NCCR-MAGEUZI chama MAKINI kushika dolla 2015

Mlishindwa kushika nchi mwaka 1995 mlipokuwa na Mrema na wafuasi wake wa wakati huo! leo mtaupataje urais hata wanachama wenu hawafiki 250? hata mkimrudisha Mrema, Mabere Marando, Tenga, Masumbuko Lamwai, na hata mlete Majini subiani na mapepo, hamtaambulia hata kiti kimoja cha ubunge seuze Urais! labda mjiunge na Chadema, TLP, UDP ndipo mjaribu kushindana na CUF sikwambii CCM (Kigumu Chama Cha Mapinduzi) Kigumu eee!
Yaani wewe ndio mbulula kabisa, Machali alipata kura ngapi dhidi ya mgombea wako wa CHADEMA. Ok, 1995 tulianguka sawa, 2010 CHADEMA mlianguka, tumelingana, sasa zamu yetu tena. WEWE unafanya siasa za upepo ndio maana unatumika kama pedi.
 
??????????????????????????????????????????????????????????????????????
???????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
???????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
 
NCCR MAGEUZI kilikuwa chama makini miaka 1995!

Sasa hivi kimebaki kama jibwa koko!

Utake usitake,huu ni upepo wa CHADEMA,ndiyo maana CCM wanashindwa kupata usingizi!
 
Haki ya mtu huwa haipotei, Chama cha NCCR-mageuzi haki yetu imerudi maana tulikuwa tunasoma upepo tukagundua vyama vyote vina mfumo usio wa kizalendo, NCCR-mageuzi chama makini kinachotarajia kushika dolla 2015 kimejipanga upya katika kutetea UTU WA MTANZANIA, wakati mnalaumiana kuendeleza Udikteta na kuhisiana Ugaidi sisi tuko na Mungu maana tume vuta subira tupate kheri ya Watanzania.

Mkuu kwa haka kapara kamoja katupu na laini hivi ndo mfikiriwe kupewa nchi??..Onyesheni uwezo wa kuongoza tokea chamani afu acha umma useme..!
 
Haki ya mtu huwa haipotei, Chama cha NCCR-mageuzi haki yetu imerudi maana tulikuwa tunasoma upepo tukagundua vyama vyote vina mfumo usio wa kizalendo, NCCR-mageuzi chama makini kinachotarajia kushika dolla 2015 kimejipanga upya katika kutetea UTU WA MTANZANIA, wakati mnalaumiana kuendeleza Udikteta na kuhisiana Ugaidi sisi tuko na Mungu maana tume vuta subira tupate kheri ya Watanzania.

Wala wenye akili timamu hawapati shida kuelewa lengo na dhamira ya huu uzi wako.
HUO NI SEHEMU YA MIKAKATI YA CCM KUENDLEA KUBAKI MADARAKANI, NYIE MNATUMIWA TU KUFANIKISHA LENGO HILO!
NIMEWASHTUKIA!
 
Kwani enisisiara ina wabunge wangapi hivi sasa?
 
BAHATI MBAYA SANA WANASIASA NI WALEWALE WA HAPA TZ.si wamalawi wala wanaigeria..!

NI kama kubadili mavazi tuu kubadili muonekano, ubongo ni uleule
 
:bange:Yaani kwa kuwa tu mwenyekiti wake ambaye ni mbunge wa kuteuliwa ameshupaa na mitaala ya Elimu basi chama chake kinaweza kuchukua dola? Thinking capacity ya watu wengine ni below zero. Jijengeni kwanza.
:behindsofa:
 
Haki ya mtu huwa haipotei, Chama cha NCCR-mageuzi haki yetu imerudi maana tulikuwa tunasoma upepo tukagundua vyama vyote vina mfumo usio wa kizalendo, NCCR-mageuzi chama makini kinachotarajia kushika dolla 2015 kimejipanga upya katika kutetea UTU WA MTANZANIA, wakati mnalaumiana kuendeleza Udikteta na kuhisiana Ugaidi sisi tuko na Mungu maana tume vuta subira tupate kheri ya Watanzania.

Kama ni "dolla" tu, mtashika sana mwaka huu..
 
Yaani wewe ndio mbulula kabisa, Machali alipata kura ngapi dhidi ya mgombea wako wa CHADEMA. Ok, 1995 tulianguka sawa, 2010 CHADEMA mlianguka, tumelingana, sasa zamu yetu tena. WEWE unafanya siasa za upepo ndio maana unatumika kama pedi.

MKa mtaji wa "hoja" nzito hivi lazima mtwae nchi
 
Haki ya mtu huwa haipotei, Chama cha NCCR-mageuzi haki yetu imerudi maana tulikuwa tunasoma upepo tukagundua vyama vyote vina mfumo usio wa kizalendo, NCCR-mageuzi chama makini kinachotarajia kushika dolla 2015 kimejipanga upya katika kutetea UTU WA MTANZANIA, wakati mnalaumiana kuendeleza Udikteta na kuhisiana Ugaidi sisi tuko na Mungu maana tume vuta subira tupate kheri ya Watanzania.

Mkuu mngewaedea wananchi moja kwa moja, humu kwenye mitandao nafasi zimejaaa mpaka mlangoni.
 
haki ya mtu huwa haipotei, chama cha nccr-mageuzi haki yetu imerudi maana tulikuwa tunasoma upepo tukagundua vyama vyote vina mfumo usio wa kizalendo, nccr-mageuzi chama makini kinachotarajia kushika dolla 2015 kimejipanga upya katika kutetea utu wa mtanzania, wakati mnalaumiana kuendeleza udikteta na kuhisiana ugaidi sisi tuko na mungu maana tume vuta subira tupate kheri ya watanzania.

"tupo na mungu" copy and paste from m.c
 
Haki ya mtu huwa haipotei, Chama cha NCCR-mageuzi haki yetu imerudi maana tulikuwa tunasoma upepo tukagundua vyama vyote vina mfumo usio wa kizalendo, NCCR-mageuzi chama makini kinachotarajia kushika dolla 2015 kimejipanga upya katika kutetea UTU WA MTANZANIA, wakati mnalaumiana kuendeleza Udikteta na kuhisiana Ugaidi sisi tuko na Mungu maana tume vuta subira tupate kheri ya Watanzania.

mh! Ivi katika msafara wa hammer ,vits itakaa wapi vile?????
 
Back
Top Bottom