NCCR-MAGEUZI chama MAKINI kushika dolla 2015

NCCR-MAGEUZI chama MAKINI kushika dolla 2015

kisandu yale maandamano ya kahama vipi acha kufanya siasa kwenye social network
 
Labda kama kuna urais wa kuteuliwa na rais, huo mtaupata kwasababu ndo kilichobakia kwenu. Hivi Hashim Rungwe sijui Rangwe alipata kura ngapi vile?? nafikiri idadi ya kura zake ilikuwa kama zile za uchaguzi wa mwenyekiti wa kitongoji. Acheni ndoto za kwenye jua kali

Umenikumbusha Hashim alivyokuwa anatisha wapiga kura na ndevu zake!
 
Mshike dola? Hebu ngoja nimtafute Lyatonga kama hajawasambaratisha hapo! Tena nyamazeni asiwaskie kabisa...
 
Haki ya mtu huwa haipotei, Chama cha NCCR-mageuzi haki yetu imerudi maana tulikuwa tunasoma upepo tukagundua vyama vyote vina mfumo usio wa kizalendo, NCCR-mageuzi chama makini kinachotarajia kushika dolla 2015 kimejipanga upya katika kutetea UTU WA MTANZANIA, wakati mnalaumiana kuendeleza Udikteta na kuhisiana Ugaidi sisi tuko na Mungu maana tume vuta subira tupate kheri ya Watanzania.

lol..
sasa nyie mnae mgombea urais 2015?
manake mara ya mwisho nakumbuka mwenyekiti akilishindwa ubunge
 
Dola zipo nyingi...siku hizi kuna chocolate za elvan zinaitwa dola.
 
Tanzania hatuhitaji chama cha siasa kutupa kiongozi makini...narudia,'Kiongozi' si mtawala...Tunataka mtu makini anayejua matatizo yetu...hilo tu!
 
Kisandu ndani ya kazi,naona kaka uko busy kuusaka Urais sifahamu kama siku hizi kuna Urais wa kuteuliwa na kama upo basi mtashika nchi ni hayo tu big up kaka

Urais wa kuteuliwa upo mkuu. Au hujui kuwa tuna Rais wa kamati ya Miss Utalii? Labda ndio NCCR-MANUNUZI wanautaka
 
Haki ya mtu huwa haipotei, Chama cha NCCR-mageuzi haki yetu imerudi maana tulikuwa tunasoma upepo tukagundua vyama vyote vina mfumo usio wa kizalendo, NCCR-mageuzi chama makini kinachotarajia kushika dolla 2015 kimejipanga upya katika kutetea UTU WA MTANZANIA, wakati mnalaumiana kuendeleza Udikteta na kuhisiana Ugaidi sisi tuko na Mungu maana tume vuta subira tupate kheri ya Watanzania.
Nenda pia jukwaa la michezo useme hivi: Taifa Stars watacheza fainali za kombe la dunia brazil 2014, na watanyakua kombe!
 
Kichama sina comment, lakini mara zote ninazomsikiliza mwenyekiti wao kwa 90% nakubaliana naye, kwenye ukweli lazima tuseme tuache ushabiki...!
 
Back
Top Bottom