Hardbody
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 3,551
- 3,807
National Bureau of Statistics (NBS) hatimae imetoa majina ya waombaji wa nafasi za Udadisi katika Utafiti wa Mapato na Matumizi ya Kaya Binafsi (Household Budget Survey - HBS) katika Mkoa wa Dar es Salaam.
Usahili huo Utafanyika 9/10/2017 katika chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE) saa 2:30 asubuhi.
Usahili utakuwa ni wa Kuandika (Written - Interview) Kwahiyo My friend Usisahau kuja na Kalamu hahaaa
Baadhi ya Vitu Vya Kizingatia ni :-
*Njoo na Cheti cha Kidato cha Nne
*Kitambulisho Chochote kati ya hivi
Kitambulisho Cha Taifa/Uraia
Kitambulisho Cha Mpiga Kura
Leseni ya Udereva
Kitambulisho Cha Bima ya Afya ya Taifa - NHIF
Pasi ya Kusafiria
NB:- Atakayechelewa kuja kwenye Usahili Atakuwa amejitoa Mwenyewe.
Kwa Maelezo zaidi ingia humu:- National Bureau of Statistics | Statistics for Development
Sasa ndugu zangu Naomba tuanze Kupeana Dondoo za hapa na Pale za Usahili.
Nakaribisha Michango yenu, Karibuni Jamani.
Usahili huo Utafanyika 9/10/2017 katika chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu (DUCE) saa 2:30 asubuhi.
Usahili utakuwa ni wa Kuandika (Written - Interview) Kwahiyo My friend Usisahau kuja na Kalamu hahaaa
Baadhi ya Vitu Vya Kizingatia ni :-
*Njoo na Cheti cha Kidato cha Nne
*Kitambulisho Chochote kati ya hivi
Kitambulisho Cha Taifa/Uraia
Kitambulisho Cha Mpiga Kura
Leseni ya Udereva
Kitambulisho Cha Bima ya Afya ya Taifa - NHIF
Pasi ya Kusafiria
NB:- Atakayechelewa kuja kwenye Usahili Atakuwa amejitoa Mwenyewe.
Kwa Maelezo zaidi ingia humu:- National Bureau of Statistics | Statistics for Development
Sasa ndugu zangu Naomba tuanze Kupeana Dondoo za hapa na Pale za Usahili.
Nakaribisha Michango yenu, Karibuni Jamani.